Anaheshimu hisia za wengine? Sometimes your eyes can be your enemyNi mtamu tu Kwa kumwangalia....nawafeel sana blackmen
π€£π€£π€£π€£π€£ Mbwa kauza sura sana kwenye hii video, halafu mbona huyu Video vixien anarambana na Mbwa?Mm sipendagi Mbwa, Paka na siwez washika shika ivyo...
Kushika simu ya mtu tumekatazaWengine tunasolve mikesi kila siku apo ni mtu kafukunyua simu usiku kakuta nachati na pisi bora ata ingekua demu wanguπ€£ chats zenye za kawaida tu. Adi utelezi nimenyimwa usikuπ₯² apo juu nimefuta mameseji mengi ya lawamaπ
View attachment 2580932
Sinaga baya ipo moja ya uhakika simu yangu sio kitunguu anashika anapoitakaKushika simu ya mtu tumekataza
Ni stress zake tuπ€£π€£ ana feel insecureπ€£π€£π€£π€£π€£Ndo imemtoa mchoz sasa
Bora umenielewaShida ndio huwa inakuwa hapo sasa π π π
Sana mm sasaivi nakituliza kwaza kipoeπ€£π€£π€£π€ Ila muda mwingine mapenz yanachukiza balaaa
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€ Ila muda mwingine mapenz yanachukiza balaaa
Jamani!!πSana mm sasaivi nakituliza kwaza kipoe
Wewe jamaa nawe unakuwaga na misala kwenye mapenzi π€£π€£π€£ vipi wale mamanzi wako walishajifungua?Wengine tunasolve mikesi kila siku apo ni mtu kafukunyua simu usiku kakuta nachati na pisi bora ata ingekua demu wanguπ€£ chats zenye za kawaida tu. Adi utelezi nimenyimwa usikuπ₯² apo juu nimefuta mameseji mengi ya lawamaπ
View attachment 2580932
πππ tena nimefunga na kufuriJamani!!π
Wahuni tunafungua tu hiyo kufuri tunakichakata mpaka utashaanga umekitoaje π€£π€£π€£πππ tena nimefunga na kufuri
Labda muje na nyundoWahuni tunafungua tu hiyo kufuri tunakichakata mpaka utashaanga umekitoaje π€£π€£π€£
Wewe si unapenda pesa tunakulainisha na kibunda kidogo tu unakitoa tunakipiga halafu tunapita hivi π π πLabda muje na nyundo
Kwenye pesa hapo sichomoiWewe si unapenda pesa tunakulainisha na kibunda kidogo tu unakitoa tunakipiga halafu tunapita hivi π π π