unachekesha sana unashindwa kujituma unasingizia chama cha siri! kaa hivyo hivyo na mawazo mgando watu wanapiga pesa na mwisho wa siku mnakaa vijiweni kuwasema ni freemasons
ujumbe Mzuri Ila Ulipomtaja King Wangu Kiba
Lihabari Lako Nimelichukia Vibaya Sana
ahsante Jigo
Huyu mwandishi hunivutia sana,, aina hii ya wandishi wamebaki wachache sana,, asante sana luqman hata sis wahamiaji haramu huku Congo tuna liona hili. kwa DRC, msanii wanaemjua toka Tanzania ni Diamond Platnumz, huyu kijana wa mama Nasibu alianza kwa kuvuma mashariki ya Congo yote,, South and North Kivu, baadae akapanda mpaka mbali zaidi. Mwezi wa 11 nilikua kinshasa wenyewe wanaita KIN,,, nimekuta diamond nyimbo zake zinapigwa club. Labda niseme ukweli DR Congo kupata fursa ya kupenya na mziki wako upigwe club hasa Kinshasa na kwenye club maalrufu kama Chez ntemba. si mchezo kwa waliofika KIN wanajua nisemacho... Huyu kijana kajitangaza sana tuache ushabiki maadazi huwezi mlinganisha na na mwanamuziki yeyote east Afrika kwa sasa. Mwingine ambaye mpaka leo japo ni marehemu ni Kanumba ,, mpaka leo DR Congo hasa mashariki analiliwa,, wakati sisi msiba tukiwa tumeusahau wacongo bado wana mlilia Kanumba. ni hayo tu vijana wangu
MFIKISHIE SALAAM Luqman Maloto,tumekubali andiko lakeUbarikiwe pia! Nakutakia kila la kheri ndugu yangu
inawezekana anabaniwa ila nyimbo ikiwa nzuri utapigwa tu na hata wamachinga kwenye toroli,ile albam ya 20 iliyopita mi nilianza kuisikia kwa wamachinga,ila ukweli sasaivi 20 amefuria toka agombane na man waterSi mlishawashindanisha kwenye fiesta ? Na jibu mkalipata !
20% media zinambania kiukweli anatoa nyimbo nzuri mpka kesho ila nazckia TBC tu
Mkuu ulipotaja Kivu aiseee kuna sehemu ninafanya kazi wamejaa raia wa kicongo hatari nimeona kama umenigusa flani hivi aiseee...ingawa sijawahi fika DRC ila hawa wabembe wa huko kivu wenyewe wanaita Sud Kivu aiseee wananisimuliaga sehemu za huko mpaka nimezikariri kuanzia huko sebele, Nemba, Ruchuru, ebana tafkiri na mimi ni mkongomani aiseee...daaahh...