Huyu ni mwamba haswa... Ndio maana Franco alikuwa anampenda sana although alikuwa back vocal kwenye band yake ya T.P.O.K but baadae aliimprove... Na baada ya kufa kwa Franco 1989 band ilisitisha kufanya muziki kwa mwaka mzima na waliporudi Madilu ndio alikuwa kiongozi wa band hiyo.
Hiyo Faute ya Visa to cut story short...unakutana na mtu katika nchi ambayo unahitaji visa kabla ya kwenda. Mtu ambaye unakutana naye au mtu anayekabiliana nawe hataweza kukutana nawe tena nyumbani. Mtindo wa maisha unayoishi na mahali unakokwenda sio ya viwango vyake. Watu ambao walimpa visa hawajui kwamba atakuwa akisababisha shida huko alikoenda. Madilu unaposema Faute Ya Visa, analaumu ukweli kwamba mtu huyu asiyejali pia alipewa visa. Madilu anajikuta katika nchi ambayo hawezi kufanya mengi.
Sent from my SM-G970U1 using
JamiiForums mobile app