Aaagh mi nalipenda balaaa!Nilidhani ni mimi tu ninaempenda mopao... Kumbe tupo wengi
Hii ndio roho ya Koffi... Anakaita Didi Stone... Kamuimbia nyimbo kadhaa mojawapo ni ile ya Si si si[emoji2]Aaagh mi nalipenda balaaa!
Sasa hivi niko na mwanae anaitwa Olomide Didi tumekuwa mashost balaa juzi kati kaniambia nimtafutie vitu vya culture akafanye window modelling huko france..
Hicho hapo [emoji116] kibishoo hicho balaaView attachment 1659995
Walitoa album ya pamoja mwaka 1996 wake up ndio jina la album na wimbo no. 1...mimi naupenda wimbo no. 4 mi amourUnaitwa "Wake up
Ni noma na nusu
Alikufa 2007, alikuwa kwenye maandalizi ya kushoot video yake ya mwisho kwenye album yake aliyoitoa 2006..alicollapse akakambizwa hospitalini then akafariki kesho yake asubuhi[emoji24] ...ananifurahisha sana kwenye wimbo wa vice versa ambapo alikuwa anawasema vijana wa sasa ambao wanapenda kudate na wanawake waliowazidi umri ila cha ajabu na yeye alipata mwanamke mkubwa kiumri akampiga ndoa ya chapu kule Mombasa[emoji2]Hivi alikufa na nini?
Makambo ni neno pana sana kilingala... Linamaanisha suala, matatizo/shida... Ni wingi wa neno Likambo na nyimbo nyingi za DRC huwezi kosa hilo neno. MfanoKinshasa makambo maana ake ni nini?
Huyu ni mwamba haswa... Ndio maana Franco alikuwa anampenda sana although alikuwa back vocal kwenye band yake ya T.P.O.K but baadae aliimprove... Na baada ya kufa kwa Franco 1989 band ilisitisha kufanya muziki kwa mwaka mzima na waliporudi Madilu ndio alikuwa kiongozi wa band hiyo.Heee li madilu linajua asee[emoji849][emoji849][emoji15]
Kuna kitu kinaitwa" FAUTE YA VISA"ni balaaa
Mkongo aje anitafsirie baaasi[emoji26]
70's uko sekondari?[emoji849][emoji849][emoji15][emoji15]
SawaBaba angu atafikisha 53 January 21 2021
Juzi? asee[emoji1]Bibie hilo halina ubishi
Mbona juzi tu [emoji23][emoji23]
Oops thank u Darling[emoji8][emoji8]Huyu ni mwamba haswa... Ndio maana Franco alikuwa anampenda sana although alikuwa back vocal kwenye band yake ya T.P.O.K but baadae aliimprove... Na baada ya kufa kwa Franco 1989 band ilisitisha kufanya muziki kwa mwaka mzima na waliporudi Madilu ndio alikuwa kiongozi wa band hiyo.
Hiyo Faute ya Visa to cut story short...unakutana na mtu katika nchi ambayo unahitaji visa kabla ya kwenda. Mtu ambaye unakutana naye au mtu anayekabiliana nawe hataweza kukutana nawe tena nyumbani. Mtindo wa maisha unayoishi na mahali unakokwenda sio ya viwango vyake. Watu ambao walimpa visa hawajui kwamba atakuwa akisababisha shida huko alikoenda. Madilu unaposema Faute Ya Visa, analaumu ukweli kwamba mtu huyu asiyejali pia alipewa visa. Madilu anajikuta katika nchi ambayo hawezi kufanya mengi.
Sent from my SM-G970U1 using JamiiForums mobile app
Waooow! Mkuu we ni mcongo?Makambo ni neno pana sana kilingala... Linamaanisha suala, matatizo/shida... Ni wingi wa neno Likambo na nyimbo nyingi za DRC huwezi kosa hilo neno. Mfano
Madilu System kwenye wimbo wake wa Sansa ya Papier aliuliza, “Likambo nini Nzambe asala biso mibali tosalelaka basi…?” Akiwa anamuuliza Mungu kwanini aliumba wanaume wafanye kazi huku wanawake wanaenjoy matunda yao[emoji2].. Kwa kuongezea kidogo tu Mibali ni wanaume kwa wingi na Mobali ni kwa umoja yaani mwanaume.
Sent from my SM-G970U1 using JamiiForums mobile app
Juzi? asee[emoji1]
Weeeee[emoji1][emoji1]Alikufa 2007, alikuwa kwenye maandalizi ya kushoot video yake ya mwisho kwenye album yake aliyoitoa 2006..alicollapse akakambizwa hospitalini then akafariki kesho yake asubuhi[emoji24] ...ananifurahisha sana kwenye wimbo wa vice versa ambapo alikuwa anawasema vijana wa sasa ambao wanapenda kudate na wanawake waliowazidi umri ila cha ajabu na yeye alipata mwanamke mkubwa kiumri akampiga ndoa ya chapu kule Mombasa[emoji2]
Sent from my SM-G970U1 using JamiiForums mobile app
Nimekutumia message PMWaooow! Mkuu we ni mcongo?
Iko vizuri
Ni kweli eti alikuwa akioza anakuwa funza, mke anafagia ndio hela hizoAlikufa 2007, alikuwa kwenye maandalizi ya kushoot video yake ya mwisho kwenye album yake aliyoitoa 2006..alicollapse akakambizwa hospitalini then akafariki kesho yake asubuhi[emoji24] ...ananifurahisha sana kwenye wimbo wa vice versa ambapo alikuwa anawasema vijana wa sasa ambao wanapenda kudate na wanawake waliowazidi umri ila cha ajabu na yeye alipata mwanamke mkubwa kiumri akampiga ndoa ya chapu kule Mombasa[emoji2]
Sent from my SM-G970U1 using JamiiForums mobile app
Hapana those are just myth.. Sukari plus pressure was the issue behind.Ni kweli eti alikuwa akioza anakuwa funza, mke anafagia ndio hela hizo
Alikuwa mshirikina eti sana
Hawa nao walikuwa mabest nashangaa koffi Olomide hakuhudhuria msiba wake[emoji15] urafiki huuWalitoa album ya pamoja mwaka 1996 wake up ndio jina la album na wimbo no. 1...mimi naupenda wimbo no. 4 mi amourView attachment 1660044
Sent from my SM-G970U1 using JamiiForums mobile app
Karibu mpendwa[emoji3059][emoji3059]Oops thank u Darling[emoji8][emoji8]
Hapana napenda tu nyimbo zao... At glance nina tracks za singles na album zipatazo 125! Na mpaka usikikize zote ziishe ni zaidi ya sku mbili bila kupause[emoji2]Waooow! Mkuu we ni mcongo?
Iko vizuri