Muziki kutoka nchini Zaire (sasa ni D.R.C) uliwezaje kutamalaki na kupendwa sana hapa Tanzania ilhali tumepakana na jirani wengine takribani 6?

Yeap... However she's so sociable... Kama upo nae vizuri use that walau Kifaransa na Kilingala upate hapo kitu if hutofanikiwa kufanya nae major project

Sent from my SM-G970U1 using JamiiForums mobile app
No kako vizuri pia english

Kanataka kuja huku mwezi wa nne ale pasaka home, tuchonge deal zetu ila eti kanakuja na babaake[emoji848][emoji848][emoji57]

Mama zima kufatana na wazee kila kona
 
No kako vizuri pia english

Kanataka kuja huku mwezi wa nne ale pasaka home, tuchonge deal zetu ila eti kanakuja na babaake[emoji848][emoji848][emoji57]

Mama zima kufatana na wazee kila kona
Muelewe tu mkuu... Wenzetu wana parenting flan ya kipekee tofauti na kwetu... Nje ya Paris lazima atoke na baba yake

Sent from my SM-G970U1 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…