Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,774
- 47,866
Huyu mzee hajui kitu. Sorry to say this[emoji36]
Wee anae bwana ake mfaransa tajiri[emoji39]na hivi sijaoa itabidi nikutafute kakija,
Nakapenda pia... Kako vizuri kiufupi[emoji39]na hivi sijaoa itabidi nikutafute kakija,
Wee anae bwana ake mfaransa tajiri
Sista duuh sana yule. Tumekutana
ule wa " eeh kumaa kukeleee"Kuna ngoma yake moja naipenda sana, kaimba vizuri ,au ns yeye ni kama Defao maana Defao wimbo wake mmoja tu ndio huwa naona mzuri
Ukitaka kujua bozi anajua au hajui sikiliza nyimbo hiziHuyu mzee hajui kitu. Sorry to say this[emoji36]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tayari nimekatishwa tamaa niliposikia kana bwana mwenye pesa[emoji1787]
Mkali balaaa...tunaongeaga kwavideo call weuweee softtt[emoji8]
Ike wa " eeh kumaa kukeleee"
Huo mkali balaa
Defao kawa zombiii[emoji79][emoji79]
We komaa na Mwajuma ndala ndefu, yule noma, hela za baabake na za modelling zinampa wengeTayari nimekatishwa tamaa niliposikia kana bwana mwenye pesa[emoji1787]
We komaa na Mwajuma ndala ndefu, yule noma, hela za baabake na za modelling zinampa wenge
Hahahahhaha kana figure tam sanaMkali balaaa...tunaongeaga kuvideo call weuweee softtt[emoji8]
Duuuh,Hawa si wanajichubua!hapana upo mwingine ila hata uo ni mzuri pia, Jamaa ujanani alipendeza sana ila sasa hivi anatisha, alafu kumbe anagonga kiswahili nilimsikia juzi kati
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]tatizo kina mwajuma hawaoleki alafu uswahili mwingi sana aisee, kuna member humu alilalamika anarogwa na demu wake
Itakuwa maana jamaa lilikuwa lina mambo kama ya mzee machacheWee ngoma kweli?[emoji15]
Hawa jamaa ucharazaji wao wa gitaa la solo tu mi huniacha hoi. Ukiwakuta Dali Kimoko na Diblo Dibala wamewasha moto gitaa linalalamika lazima tu utaamka ucheze hata kama una homa [emoji16][emoji16]
View attachment 1660667
Kwani mzee mafewer ilikuwa ngoma ile?Itakuwa maana jamaa lilikuwa lina mambo kama ya mzee machache
Na ana katako flani ka kishenzi
Inawezekana asilimia kubwa msiniite mbea jamaniKwani mzee mafewer ilikuwa ngoma ile?