Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,774
- 47,866
Duh kweli amekwisha yaani anawaimbia nyang'au?
Kwahiyo Congo hapati airtime tena?
Kweli wakati ukuta.
Hivi why Congo man wanapenda kujichubua petit?
congo kuna vijana wamechipukia sasa hivi ni balaa ,wazee waliopo kwenye game ni well talented kama kina koffi
watu hujichubua kwa sababu ya kutaka kupendeza hii ndio sababu kubwa yani kutaka kuwa presentable ndio mana unamuona mtu kama Nyoshi anajali mno kupendeza