Muziki ni infinity(hauna mwisho)

BabaMorgan

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2017
Posts
4,869
Reaction score
13,137
Toka enzi za kale muziki ulikuwepo, upo na utaendelea kuwepo kwa wingi wa nyimbo zilizokuwepo duniani ilibidi kusiwe na melody tena but fun facts nyimbo zinaendelea kutoka zenye melody kali aina mpya za muziki zinazaliwa everyday hitsong zinaendelea kutengenezwa Kila uchwao.

Muziki hauna mwisho.
 
Kama ilivyo Kwa vizaz na vifo.watu wanazaliw na wengne wanakufa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…