Cytochrome p450
JF-Expert Member
- Mar 19, 2019
- 5,638
- 15,044
Habari viongozi,
Jana nimetoka kumsikia mtoto aliyezaliwa kwenye miaka ya 2004 (15) akiimba wimbo wa Kilimanjaro Band uitwao Boko.
Sasa najiuliza hawa vijana, wanawezaje kuimba nyimbo ambazo kipindi zinatamba wao hawakuwepo?
Au hizi nyimbo zinarithishwa kama zinavyorithishwa genetic information kutoka kwa wazazi wao?
Naomba mawazo yenu wakuu.
Jana nimetoka kumsikia mtoto aliyezaliwa kwenye miaka ya 2004 (15) akiimba wimbo wa Kilimanjaro Band uitwao Boko.
Sasa najiuliza hawa vijana, wanawezaje kuimba nyimbo ambazo kipindi zinatamba wao hawakuwepo?
Au hizi nyimbo zinarithishwa kama zinavyorithishwa genetic information kutoka kwa wazazi wao?
Naomba mawazo yenu wakuu.