Dah hizo mamou,nakei Nairobi haipiti siku sijasikiliza alafu mimi ni mtoto wa miaka ya 90 mwanzoni tu,watu huwa wananishangaa hasa vijana kwa aina yangu ya nyimbo,nakuongezea hapo ktk list yako zitafute,Vita imana,vie a zero, Kamasutra zote za ferre gora,ya Jean,nzele za madilu system.Ukiniskia naimba Nakei nairobi/ Mamou & Mario utasema nimezaliwa 70s tena naienjoy kuliko nikiskiliza Kanyaga ya diamond.. Wazee wetu walifaidi sana mziki wa zamani ni mziki unaoishi, hauchoshi kwanzia sound mpaka mashairi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sansa ya papier madilu, nyimbo kina mbaraka mwinshehe[emoji23] hata mi wananishangaaga sana. Sema uzuri nina nyimbo zote mpaka mnanda. mziki nikiupenda basi hata uwe wa aina gani naimbaDah hizo mamou,nakei Nairobi haipiti siku sijasikiliza alafu mimi ni mtoto wa miaka ya 90 mwanzoni tu,watu huwa wananishangaa hasa vijana kwa aina yangu ya nyimbo,nakuongezea hapo ktk list yako zitafute,Vita imana,vie a zero, Kamasutra zote za ferre gora,ya Jean,nzele za madilu system.
Sent using Jamii Forums mobile app
Machozi yanidondoka hohoo
Chakula hakimezeki ninaposikia
Nipeleke Arusha kwa kaka bushiri
Kupitia longido kwa shangazi mwajuma [emoji3072][emoji445][emoji449][emoji448][emoji450][emoji447]
Sent using Jamii Forums mobile app
Waisilamu wamekaririshwa Quran mpaka ZilipendwaHabari viongozi,
Jana nimetoka kumsikia mtoto aliyezaliwa kwenye miaka ya 2004 (15) akiimba wimbo wa Kilimanjaro Band uitwao Boko.
Sasa najiuliza hawa vijana, wanawezaje kuimba nyimbo ambazo kipindi zinatamba wao hawakuwepo?
Au hizi nyimbo zinarithishwa kama zinavyorithishwa genetic information kutoka kwa wazazi wao?
Naomba mawazo yenu wakuu.
Galbi nitumie huo wimboTupendane (Nyota Waziri)-Kilimanjaro band huu wimbo mzuri jamani
Galbi nitumie huo wimbo
[/QUOTE
kwa bahat mbaya mie naskilizaga online tu sina kwa simu, utafute mbona upo.