me nko salama sijui wewe unaendeleajeπ€£π€£π€£Uko poa lakini wangu?
Situmii kilevi sasaβΉοΈKAma uko single na hizi hali za hewa fanya hivi nunua bangi zako kadhaa ukitoka zako kazini ile night au jion kula zako bangi nunua zako vibites kadhaa kama umeshba au msos mtam uupendao then kula zako bangi then watch movie au music kulingana na vibe lako linakupeleka wapi then lala zako easy
Bas tena tafuta mtu akupe Uti na gonoSitumii kilevi sasaβΉοΈ
Nimeona πTayari, kitambo.
Au unachagua sana?Maisha tuπ
Mbona mimi hujanijibu [emoji2]Kweli hizi mvua hizi[emoji23][emoji23].
Mimi nipo kujibu PM za watu ambazo nilizipotezea sijui tangu mwezi wa ngapi sijui[emoji23]
Umeelewaje dakitare?Tuliosoma Kyuba tushakuelewa mama...
[emoji23][emoji23][emoji23]sasa okoa jahaz basiShemeji kasafiri [emoji851], anatafutwa shemeji mwingine...