Mvua imetuvua nguo kama Taifa. Aibu hii

Mvua imetuvua nguo kama Taifa. Aibu hii

Hapo lazima serikali iwajibike watake wasitake.

Tatizo huwezi kusikia kelele bungeni wakiwabana wahusika.

Kama mnakatwa kodi na miundombinu lazima iwe mizuri.

Drainage systems mbovu kila mahali.

Ni aibu kwa Taifa linalotoa PhD za heshima kama njugu halafu wanashindwa kujua tatizo liko wapi? Ni AIBU
 
Ifike mahali tuwe tunawalenga mawe kipindi cha kampen watajuaje kama wananchi tuna hasira nao mtu anapotea jimbon kwake anarud kipind cha kampen nabado tunampokea tuwalengen mawe wakiwa majukwaan heshima itakuwepo na hata kuongea upuuzi bungen watakua waoga
 
Mvua imenyesha na hakika ardhi imepokea maji hadi imetota.

Wakazi wa mijini tumeshuhudia adha kubwa inayotokana na ubovu wa miundombinu ya kutiririsha maji.

MTWARA
Nyumba zaidi ya 17 zimezingirwa na maji (kwa mujibu wa taarifa ya habari ITV) na wananchi wanalalamikia ufunyu wa mitaro iliyojengwa kutiririsha maji ya mvua

DAR
Ni mafuriko kila kona.
Wakazi wa Mwananyamala wanalalamikia mwekezaji kufunga njia za maji na kusababisha maji kuelekea makazi yao

Maeneo ya Kisiwani wananchi watalala nje siku kadhaa ili maji yapungue majumbani kwao

Picha inayofuata inaonesha eneo la mjini kati chuo cha biashara CBE likiwa ipo ndani ya maji. Na bado tulivyo na akili za usahaulifu watu watapanga foleni kuipigia kura CCM.
View attachment 2512135

Hali ya kukosa mipango sahihi yenye tija kwa ncbi ni utamaduni uliosimikwa na serikali ya CCM ambapo wanapambana kushikilia dola kwa gharama yeyote ile huku wakifanya mambo ya hovyo kwenye kuisimamia serikali.

Pale eneo la soko la samaki ferry ambapo ni hatua chache kuelekea baharini, mvua ikinyesha hata ya dakika tano inajaza maji ambayo yanakosa muelekeo na kutuama barabarani ambapo ujenzi wa barabara na kituo cha mwendokasi havikuzingatia matoleo ya maji kuelekea baharini. kumbuka hapo ndipo ilipo Ikulu yetu. Aibu hii inatufanya tuonekane kituko duniani.

Mkuu wa Mkoa yupo bize kupambana na wamachinga badala ya kusimamia tija ya miradi ya serikali mkoani kwake.

Bungeni ni drama za kupmbea kura 2025 zinaendelea wskijifanya wana uchungu na nchi huku wakijua wazo kwsmba hatima yao ipo mikononi mwa kamafi za chama na siyo wananchi.

Tufike mahala tuwaache wateuane na watenguane lakini wakija kwetu tuwachuje na kuwakataa kuanzia Rais hadi mwenyekiti wa kitongoji
suala la mafuriko siyo rahisi, sana kulithibiti, hata nchi zilizoendelea linawashindaga
 
NI makada kizazi cha 1970 hadi 1999 ndo wsnaohofia kuwapa kura upinzani wakiaminishwa wataleta vita.

Kitafutika kizazi hiko na CCM itategemea mitutu bila polisi
Ccm ilishachokwa Toka zamani,wao hutegemea kuiba chaguzi tu.Raia hawana tatizo na wao ccm wanajua hivyo ndo maana hawataki kusikia uchaguzi huru na wa haki.
 
Tatizo ni siasa.

Wananchi wanavamia na kujenga hovyo

Wananchi wanatupa taka hovyo
 
Tatizo ni siasa.

Wananchi wanavamia na kujenga hovyo

Wananchi wanatupa taka hovyo
Wananchi wanavamia na kujenga hovyo na wanaenda kuwaburuza Tanesxo wawawekee umeme na hata. TAMISEMI wanawekewa panga shingoni kuwawekea ofisi za serikali huko.

Ndugu
Uholela wote ni mazao ya CCM kushindwa chaguzi na badala yake wanang'ang'ania madarakani huku wakiwa hawana agenda za nchi
 
46759427-3DC0-41D6-A35C-21B86BC46FC7.jpeg

Hali mbaya mtaani, ndani yamejaa nje ndio usissme.
 
Mvua imenyesha na hakika ardhi imepokea maji hadi imetota.

Wakazi wa mijini tumeshuhudia adha kubwa inayotokana na ubovu wa miundombinu ya kutiririsha maji.

MTWARA
Nyumba zaidi ya 17 zimezingirwa na maji (kwa mujibu wa taarifa ya habari ITV) na wananchi wanalalamikia ufunyu wa mitaro iliyojengwa kutiririsha maji ya mvua

DAR
Ni mafuriko kila kona.
Wakazi wa Mwananyamala wanalalamikia mwekezaji kufunga njia za maji na kusababisha maji kuelekea makazi yao

Maeneo ya Kisiwani wananchi watalala nje siku kadhaa ili maji yapungue majumbani kwao

Picha inayofuata inaonesha eneo la mjini kati chuo cha biashara CBE likiwa ipo ndani ya maji. Na bado tulivyo na akili za usahaulifu watu watapanga foleni kuipigia kura CCM.
View attachment 2512135

Hali ya kukosa mipango sahihi yenye tija kwa ncbi ni utamaduni uliosimikwa na serikali ya CCM ambapo wanapambana kushikilia dola kwa gharama yeyote ile huku wakifanya mambo ya hovyo kwenye kuisimamia serikali.

Pale eneo la soko la samaki ferry ambapo ni hatua chache kuelekea baharini, mvua ikinyesha hata ya dakika tano inajaza maji ambayo yanakosa muelekeo na kutuama barabarani ambapo ujenzi wa barabara na kituo cha mwendokasi havikuzingatia matoleo ya maji kuelekea baharini. kumbuka hapo ndipo ilipo Ikulu yetu. Aibu hii inatufanya tuonekane kituko duniani.

Mkuu wa Mkoa yupo bize kupambana na wamachinga badala ya kusimamia tija ya miradi ya serikali mkoani kwake.

Bungeni ni drama za kupmbea kura 2025 zinaendelea wskijifanya wana uchungu na nchi huku wakijua wazo kwsmba hatima yao ipo mikononi mwa kamafi za chama na siyo wananchi.

Tufike mahala tuwaache wateuane na watenguane lakini wakija kwetu tuwachuje na kuwakataa kuanzia Rais hadi mwenyekiti wa kitongoji
Tatizo ni wakazi wa maeneo mengi kutupa taka,kwenye mitaro na njia za maji,wakati gari za taka zinapita na kukusanya taka.
 
Hapo lazima serikali iwajibike watake wasitake.

Tatizo huwezi kusikia kelele bungeni wakiwabana wahusika.

Kama mnakatwa kodi na miundombinu lazima iwe mizuri.

Drainage systems mbovu kila mahali.

Ni aibu kwa Taifa linalotoa PhD za heshima kama njugu halafu wanashindwa kujua tatizo liko wapi? Ni AIBU
Tatizo wakazi wa maeneo hayo,kutupa taka kwenye mitaro,mitaro inaziba.Wakati magari za kuzoa taka,yanapita,na kukuchukua taka.
 
Tatizo ni wakazi wa maeneo mengi kutupa taka,kwenye mitaro na njia za maji,wakati gari za taka zinapita na kukusanya taka.
Sheria za usafi wa miji anasimamia nani?

Hivi ile michanga na vifusi vinavyojikusanya kwenye barabara za lami ni tatizo la wakazi?

Mitaro inaziba kwa sababu nyingi sana lakini hata kama.isipoziba bado ufinyu wa moundombinu hiyo umesababishwa na mamlaka.

Mitaro ni midogo hawakuipanga kupokea maji ya mvua
 
Sheria za usafi wa miji anasimamia nani?

Hivi ile michanga na vifusi vinavyojikusanya kwenye barabara za lami ni tatizo la wakazi?

Mitaro inaziba kwa sababu nyingi sana lakini hata kama.isipoziba bado ufinyu wa moundombinu hiyo umesababishwa na mamlaka.

Mitaro ni midogo hawakuipanga kupokea maji ya mvua
Wakazi wa maeneo husika wanatakiwa,wawajibike kuweka maeneo yao yawe masafi,wanaozingirwa na maji ni wakazi wa maeneo hayo.
 
Wakazi wa maeneo husika wanatakiwa,wawajibike kuweka maeneo yao yawe masafi,wanaozingirwa na maji ni wakazi wa maeneo hayo.
Huna jipya
Unatafuta kichaka cha kujificha.

Haya pale CBE una nini la kuwaambia maana kwa serikali ya CCM adui namba moja ni mwananchi kama unavyothibitisha kwenye hoja zako
 
Back
Top Bottom