Mvua kubwa na radi jijini Dar es Salaam na Pwani yote. Mtaani kwako kwema?

Mvua kubwa na radi jijini Dar es Salaam na Pwani yote. Mtaani kwako kwema?

Tupeni mrejesho, hali ipoje huko mikoa ya nyumbani..Pwani-Kibiti, Rufiji mbaka Lindi Kilwa.

5/5
 
Huku Chalinze mvua kubwa ilinyesha kuanzia saa kumi kasoro usiku.
Mpaka sasa inanyesha ingawa imepungua ukali.
Radi pia zimetulia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom