kagombe
JF-Expert Member
- Mar 1, 2015
- 3,615
- 1,805
mbona kawaida tuMkuu unaishi Mlandizi unafanya kazi town au umetoka safari?
Kama unaishi Mlandizi nakufanya shughuli zako mjini daily sipati picha gharama za usafiri.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mbona kawaida tuMkuu unaishi Mlandizi unafanya kazi town au umetoka safari?
Kama unaishi Mlandizi nakufanya shughuli zako mjini daily sipati picha gharama za usafiri.
achana nae huyo mie niko mlandizi mkuu kazi karikoo tena tuko wengi huku usafiri upo mwingi tu,maisha kujipangaNiko Misugusugu nafanya Temeke. Usafiri sio changamoto kabisa. Kwa taarifa tu magari ya Mbezi Mlandizi huwa hayakatiki hata 9 ya usiku yapo
MKUU INATISHAAA KAWE NYUMBA ZIMESHUKA.MTONI ZA KUTOSHANaona unatupa chai mapema Mkuu, ila mvua ipo sio yakutisha Kama ulivyoelezea
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahahahaha watu wa Hali ya chini hicho ndo mnachojivuniaGongolamboto, Segerea,Tabata,Kinyerezi Pugu,mvua imenyesha Sana na kusababisha nyumba nyingi kuzingirwa na Maji.
Tulichofaidi raia ni kukinga Maji kwenye mapaa ya nyumba za kisasa na kuoga Maji ya mvua.
[emoji3][emoji3][emoji3]nataka nirudi nikalale, njia ya jangwani imeachia? kwa miguu napenya?
Duh n kweli au masiaraMKUU INATISHAAA KAWE NYUMBA ZIMESHUKA.MTONI ZA KUTOSHA
KABISA.MKUU SHUKA.TANKIBOVU ULIZA.MCHAnGAN NJOO.UJIONEE.NYUMbA ZILIZOONDOKA.NA ZINGINE.NUSU.ZIMESHALIWA WATU WAMETOA VYOMBO WANASUBIRIA ZISHUKE.TU.MTONI.MDA WA BWANA.UKIFIKA
Acha uongo hakuna hata toneHuku Morogoro imepiga kama ya milioni kumi hivi, + radi za kufa mtu.
Wanachemka kutoa utabili au Hali ya hewa Ina mtindo was kubadilika
Umeona hiyo post ni ya lini?na wewe umeandika lini?
Tunaishukuru serikali ya ccm mtaa wangu kwa kuruhusu hii mvua maana joto lilikuwa linanitesa
Sent using Jamii Forums mobile app