xfet
Member
- Aug 15, 2019
- 63
- 97
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We hauko Dar utakuwa Maeneo ya Chakwale au Mvumi.Naona unatupa chai mapema Mkuu, ila mvua ipo sio yakutisha Kama ulivyoelezea
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata hizo radi anazozungumzia sijasikia. Labda ni kwa sbb nilikotoka kulikuwa na radi za kutosha!!Naona unatupa chai mapema Mkuu, ila mvua ipo sio yakutisha Kama ulivyoelezea
Sent using Jamii Forums mobile app
Ving'andi - KisaraweEneo gani halina mvua bwashee?!
Picha ya gharama za usafiri wake ninayo ni kubwa sanaaMkuu unaishi Mlandizi unafanya kazi town au umetoka safari?
Kama unaishi Mlandizi nakufanya shughuli zako mjini daily sipati picha gharama za usafiri.
Hahahahahahaha mpka inyeshe ndo wasemeJioni lazima TMA watatoa taadhali kwa wanaoishi mabodeni na watawataka wahame mara moja
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha dah!
Hahaha kwamba wanalaana au ?Mtaani kwangu mvua ni kubwa na nyingi isipokuwa kwenye ofisi ya CCM hamna hata tone moja linalodondoka
Wana mabundi na magundu ndiye mmiliki
Hahahahahhahaaaa!!Mtaani kwangu mvua ni kubwa na nyingi isipokuwa kwenye ofisi ya CCM hamna hata tone moja linalodondoka