Mvua kubwa na radi jijini Dar es Salaam na Pwani yote. Mtaani kwako kwema?

Mvua kubwa na radi jijini Dar es Salaam na Pwani yote. Mtaani kwako kwema?

Gongolamboto, Segerea,Tabata,Kinyerezi Pugu,mvua imenyesha Sana na kusababisha nyumba nyingi kuzingirwa na Maji.
Tulichofaidi raia ni kukinga Maji kwenye mapaa ya nyumba za kisasa na kuoga Maji ya mvua.
 
Back
Top Bottom