Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Taadhali??? Really??? Kiswahili chetu masikini!Jioni lazima TMA watatoa taadhali kwa wanaoishi mabodeni na watawataka wahame mara moja
Sent using Jamii Forums mobile app
Hongera jitani yangu! Ila jina lako mmhNiko Misugusugu nafanya Temeke. Usafiri sio changamoto kabisa. Kwa taarifa tu magari ya Mbezi Mlandizi huwa hayakatiki hata 9 ya usiku yapo
mvua imewapiga chenga ya mwili... ila hata huku nyanda za juu jana na juzi imepiga mvua ya kufa mtu.. leo kidogo tuTMA walitoa taarifa kuwepo kwa mvua tarehe 12 / 01 kwa mikoa isiyo ya pwani....
t blj,
Sasa hiyo sio pwani yote, kafika Kisarawe, Bagamoyo na Kilwa?
.
Huu ni ujinga huwezi kusema mvua inanyesha pwani yote na dar yote wakati kuna maeneo kibao hayana mvua ndio maana hata TMA husema mvua itanyesha mkoa fulani kwa baadhi ya maeneo sio kotee
Mkuu uko sehemu ipi huku Misugusugu?Niko Misugusugu nafanya Temeke. Usafiri sio changamoto kabisa. Kwa taarifa tu magari ya Mbezi Mlandizi huwa hayakatiki hata 9 ya usiku yapo
Kisarawe sehemu gani mimi niko kijijini ving'andi
Msome Mtoa Mada vizuri ametoka kibaha , mbezi. Kimara ubungo hadi city center na mvua ilikuwa kubwa na kali, ndio akaanzisha uzi, na bado amekuua muungwana wa kuulizia Hali ya hapo ulipo ipoje sidhan kama amegeneralize, na sijaona Kosa la Mtoa mada
Sent using Jamii Forums mobile app
Umaskini wa akili huzaa maskini.USSR,
Wee Acha tuuuuu! Nawaza jinsi ya kutoka Vitz yangu na hili tope nashindwa kuelezea. Watoto nimewaambia wasiende Shule mvua ni nyingi barabara hazipitiki.
Stable woman labda tunaonana kwenye daladala asbh na jioni. Unasali wapi
Unasali sehemu gani? Labda tuko jumuiya mojaMkuu uko sehemu ipi huku Misugusugu?
usiku