Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Mkuu vipi umepata lunch kweli leo?Sawa imenyesha, nani kakuuliza? unasemaje sasa? Shithole kabisa π‘π‘π‘βββ
Wapi pameandikwa kuwa nikitu cha ajabu?Mvua kunyesha ndio kitu cha ajabu?
Hapana boss mimi sio mwalimu ni shamba boy kwenye hayo makazi.Mwalim bna naona imekukutia ofisin
Sure mkuu hapa hata miti imepuputishwa majani vibaya sanaUsiombe hiyo mvua ikute una bustani ya mazao kama nyanya alafu ndo zishaweka matunda, hata ziwe ekari 100 andika hasara
ππ Geita ya wapi hio Mzungu aliwekeza miaka ya hamsini?kuna story iliwahi kuwa humu kuwa miaka ya hamsini maeneo ya huko wazungu waliwekeza sana, labda ukiachana na madini ukanda huo pia hali ya hewa iliwavutia.
Nyaa ni kitu gani?Inakuja mvua ya Nyaa,jiandaeni.
Mkuu muache atumie uhuru wake wa kupata na kutoa taarifa- au wewe mambo mema ni ya CHADEMA tu.Sawa imenyesha, nani kakuuliza? unasemaje sasa? Shithole kabisa π‘π‘π‘βββ
We pambana na stress zako tu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sawa imenyesha, nani kakuuliza? unasemaje sasa? Shithole kabisa [emoji35][emoji35][emoji35][emoji777][emoji777][emoji777]
Yawezekana hajauona mchana hivyo kila kitu kina m-frustrate.We pambana na stress zako tu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
HuelewekiKimba
Hueleweki