Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
- Thread starter
- #21
Hivyo hivyo.mawe wamaanisha hayo yaliyopakwa rangi nyeupee ama??
mi naona vidude vidogo vyeupe (barafu) hahaaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivyo hivyo.mawe wamaanisha hayo yaliyopakwa rangi nyeupee ama??
mi naona vidude vidogo vyeupe (barafu) hahaaaa
Kitovu cha nini mkuu?Hongereni huko "kitovuni"
Dodoma labda inyeshe mvua ya mchanga.Daah!,,,Hilo bogi lingegonga Dom ingekua mukide kinyamela
Mwaka Jana mbona ilikosea njia ikanyesha julyDodoma labda inyeshe mvua ya mchanga.
Au ikukute barabarani unatembea kutoka kuchunga halafu una kipara umenyoa Zungu na hauna kofiaUsiombe hiyo mvua ikute una bustani ya mazao kama nyanya alafu ndo zishaweka matunda, hata ziwe ekari 100 andika hasara
[emoji23][emoji23][emoji23]Au ikukute barabarani unatembea kutoka kuchunga halafu una kipara umenyoa Zungu na hauna kofia
Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
Unajificha uvunguni mwa ng'ombeAu ikukute barabarani unatembea kutoka kuchunga halafu una kipara umenyoa Zungu na hauna kofia
Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
Huwa inatokeaMwaka Jana mbona ilikosea njia ikanyesha july
Wabongo wakuda tu ila na mimi kwasababu ni mbongo sisumbuliwa na wakuda wenzangu.Inawezekana wengi hamjawahi kuiona hiyo mvua lakini mmewekewa picha hapo bado mnajidai vichwa ngumu huku mnaziangalia kwa makini hasa.
Na ukila udongo wakati wa tetemeko l ardhi inatibu nini?Niliambiwa hivyo vibarafu ukila ni dawa ya majipu yaan majipu hayatokupata, miaka 15 iliyopita nilikula hivyo kule Njombe
Vipi hujawahi kupata jipu?Niliambiwa hivyo vibarafu ukila ni dawa ya majipu yaan majipu hayatokupata, miaka 15 iliyopita nilikula hivyo kule Njombe
Sio chokaa hiyo ni rangi. Chokaa na hizi mvua ingeshakuwa washed awayNilichoona ni mawe yaliyopakwa chokaa....
Mimi bado mgeni mkuu sielewi kitu. Hebu nipe somo vizuri.Ni mara ya kwanza kuona mvua mpaka ujaze server ya jf? Hujui mvua yoyote ni mabarafu yanadundoka mpaka yatufikie yanakuwa yameyeyuka?