Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Mwaka 2017, Shirika la hali ya hewa duniani (WMO) lilitangaza mvua kubwa ya mawe kuwahi kutokea duniani.
Baada ya uchunguzi wa kina, ilionekana mvua iliyowahi kutokea Uttar Pradesh, India, tarehe 30 April 1888 ndio mvua kubwa kuwahi kutokea duniani, na ikaingia kwenye rekodi ya dunia ya guiness.
Mvua hiyo ilikuwa na vimbuka na radi zenye nguvu, mawe ya mvua hiyo yalikuwa na ukubwa wa yai la bata mzinga au mpira wa cricket.
Taarifa hiyo ilisema mvua hiyo iliua watu 246, hiyo ndio mvua kubwa ya mawe iliyowahi kutokea duniani.
Baada ya uchunguzi wa kina, ilionekana mvua iliyowahi kutokea Uttar Pradesh, India, tarehe 30 April 1888 ndio mvua kubwa kuwahi kutokea duniani, na ikaingia kwenye rekodi ya dunia ya guiness.
Mvua hiyo ilikuwa na vimbuka na radi zenye nguvu, mawe ya mvua hiyo yalikuwa na ukubwa wa yai la bata mzinga au mpira wa cricket.
Taarifa hiyo ilisema mvua hiyo iliua watu 246, hiyo ndio mvua kubwa ya mawe iliyowahi kutokea duniani.