Mvua ya mawe kubwa kuwahi kutokea duniani

Mvua ya mawe kubwa kuwahi kutokea duniani

Acha mvua ya mawe! Niliwahi kushuhudia mvua ya samaki huko Kiomboi miaka ya 1980's.
Na ajabu samaki wengine walidondoka wakiwa hai kabisa na kutapatapa.
Acha huyo kuna mvua moja kubwa mvua ya kuku, ilitokea huko singida miaka ya 1973 , yaani hiyo mvua ilikua balaa kuku wengine walikua wana fika chini tu na kutaga mayai hapo hapo,
Nahisi hii mvua ndio itakua imepelekea singida kua na kuku wengi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom