Kiungopunda
JF-Expert Member
- Oct 24, 2023
- 1,349
- 3,145
Hapana ni ya kesho. IdiotUna uhakika hii ni ya leo boss..?
Makubwa!Hapana ni ya kesho. Idiot
Nini we dada mwalimu? πππMleta mada anagubu huyo π
Unataka comments na likes za fb...Hapana ni ya kesho. Idiot
π€£π€£π€£ Hutaki maswali kabisaaπ₯΄Nini we dada mwalimu? πππ
Wanachosha hawa madogo.π€£π€£π€£ Hutaki maswali kabisaaπ₯΄
π€£πWanachosha hawa madogo.
Ni sahihi alafu pia jamaa wanaoishi huko hawajilizi humu kama nyie wa Dar mnavyojilizaga kwa tumvua tudogo tu.Hali ya hewa huwa ni nzuri sana huko
Kuleni na mpakie kwenye magunia muhi wefadhi. Kiceho ni chakuna kutoka Mbinguni maana inakuja miaka ya njaaa. Hili ni sawa na kile wana waizrael walikishangaa na kukiona MANA na waarabu wakiig huuaLeo hapa mafinga kumepiga mvua ya mawe na hali ilikuwa kama hivi.
View attachment 3112538
Sehemu nyingine hali ilikuwa hivi.
View attachment 3112541
Hali ya barabara ya TANZAM ilikuwa hivi.
View attachment 3112543
Haki hii pia imeripotiwa maeneo mbalimbali ya mkoa wa Iringa.
Hahaaa Mitaa yangu hii na Juzi tuu nilikua huko Daslama ina wenyewe.Ni sahihi alafu pia jamaa wanaoishi huko hawajilizi humu kama nyie wa Dar mnavyojilizaga kwa tumvua tudogo tu.
ππππHapana ni ya kesho. Idiot
Ni ya leo, vinginevyo hayo mawe yangekuwa yamekwisha yeyuka.Una uhakika hii ni ya leo boss..?
Kisado kimoja kinauzwa kwa shilingi 2,500/= zikiwa kavu, zikianza kuyeyuka sh. 1,000/=Uyo nae anachota za nn hajui zinayeyuka ni maji tu ayo