Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 32,246
- 31,176
Shauri yako😁Maongo yale.
Yalisema kuna TSUNAMI iko wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shauri yako😁Maongo yale.
Yalisema kuna TSUNAMI iko wapi?
Asante sana, barikiwa sanaPole kwa kulowa
Ahsante, nawe ubarikiwe sana.Asante sana,barikiwa sana
Asante ila kesho kweli napumzika aiseeAhsante ,nawe ubarikiwe sana
Pumzika, usije sombwa na majiAsante,ila kesho kweli napumzika aisee
😂😂😂kwa kweliPumzika, usije sombwa na maji
Mkuu jana kuna mwanafunzi wa darasa la 4 amesombwa maji akitokea shule barabara zilijaa maji hadi sasa haijulikani alipo.Hoja yako ni ya msingi na inafaa kuungwa mkono na kila mtu mwenye utu.
Haiwezekani watoto wanaenda shule Kwa tabu namna hiyo tena wakifofia maisha yao .
Na wakifika shuleni akili zao zinabaki kuwaza mvua na wasiwe na uwezo wa kumsikiliza mwalimu wao .
Wakati huohuo waonapo rudi majumbani usalama ni nusu .
Serikali ifunge shule Kwa Chekechea,na shule za msingi mikoa yenye El nino
Mnapenda kusikia maafa ndo akili zinarudi.Usipende kuipangia serikali.
Yaani mvua ya siku moja, tena sehemu moja ndio isababishe kufungwa kwa shule?.
Utaenda tu huko kazini si una li honey lako litakuita likakununulie vitumbua na bajia mji mwaemwae...😂Mi mwenyewe nimelowa sana Leo wakati wa kurudi home...mvua gani haisikii hata mwamvuli....imeharibu mwamvuli wangu umegeuka juu kwa upepo mkali....kesho siendi kazini😖