TUKANA UONE
JF-Expert Member
- Jan 3, 2018
- 2,345
- 6,970
Mwanzo nilidhani Maji kutokutoka yawezekana ilikuwa ni upungufu wa maji kama tulivyokuwa tukiambiwa na Viongozi tuliowapa dhamana kumbe haikuwa hivyo zilikuwa ni porojo za wendawazimu.
Kila mahali kwa sasa mvua zinanyesha na mto Ruvu umejaa maji tele lakini jambo la kuiskitisha ni kwamba maji hayatoki,hapa nilipo leo ni wiki sasa hakuna maji.Hivi Tatizo huwa ni ukosefu wa Maji kweli au huwa mna agenda za siri?
Aisee hii nchi ngumu sana.
Kuna muda huwa nawaza sababu zinazofanya maji yasitoke au kukatwa kwa maji nabaki nakosa majibu naishia kuongea mwenyewe kama chizi.
Hebu DAWASA niambieni sababu za msingi za kutokutoka kwa maji.
Kila mahali kwa sasa mvua zinanyesha na mto Ruvu umejaa maji tele lakini jambo la kuiskitisha ni kwamba maji hayatoki,hapa nilipo leo ni wiki sasa hakuna maji.Hivi Tatizo huwa ni ukosefu wa Maji kweli au huwa mna agenda za siri?
Aisee hii nchi ngumu sana.
Kuna muda huwa nawaza sababu zinazofanya maji yasitoke au kukatwa kwa maji nabaki nakosa majibu naishia kuongea mwenyewe kama chizi.
Hebu DAWASA niambieni sababu za msingi za kutokutoka kwa maji.