Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AiseeeMaji sio kipaumbele, tumetenga billion 1 tujenge mnara wa mashujaa kwanza pale Dodoma. Ahsante
Kuna watalaam walisemq maji ya mvua sio mazuri kutokana na hewa chafu inayoenda huku juuHata uvivu unao kwanini usikinge ya mvua na ukaya tunza.tuanze na kwako kwanza
Kama huwezi kuvuna maji ya mvua na una uwezo wa kuyapata ya bomba la dawasco wewe unahitaji kupimwa akili yako kama ipo sawa.Wewe ni mpuuzi sio kila mtu anaweza kuvuna maji
Mjinga sana wewe
kama huwezi kuvuna maji ya mvua funga domo lakoWewe ni mpuuzi sio kila mtu anaweza kuvuna maji
Mjinga sana wewe
NakaziaWatakuja!