Mvua zinanyesha lakini Maji hayatoki

Mvua zinanyesha lakini Maji hayatoki

Maji sio kipaumbele, tumetenga billion 1 tujenge mnara wa mashujaa kwanza pale Dodoma. Ahsante
 
Mgao wa maji utatatulika 2025 januari. Endelea kuwa na subira.
 
Back
Top Bottom