Mvua zinanyesha nchi nzima, mavuno kwa wingi yanavunwa na kelele za "Bashe Funga Mipaka" zimekwisha

Mvua zinanyesha nchi nzima, mavuno kwa wingi yanavunwa na kelele za "Bashe Funga Mipaka" zimekwisha

Mleta mada ni taahira msameheni
Ningekuwa taahira usingesoma post yangu, ungeniweka kwenye kitufe cha IGNORE. Najuwa unatamani kuwa kama mimi ila mimi ni mimi tu, na Crimea huwezi kuwa kama mimi. Endelea kunisoma na kujibu pumba kwenye posts zangu
 
Unaonekana huna uelewa kabisa wa masuala ya kilimo.

Mazao makuu ya chakula kwa Watanzania ni mahindi, mpunga na maharage.

Mvua za sasa hazina msaada wowote kwenye mazao hayo, tena zinaharibu kabisa kidogo kilichokuwa kimepatikana. Mahindi kidogo yaliyopatikana, sahizi yamekauka na mengine hayajatolewa mashambani. Hayo sasa, kama mvua zitaendelea yataozea mashambani.

Siafiki suala la kufunga mipaka lakini ukweli ni kwamba mwaka huu kuna upungufu mkubwa sana wa mazao makuu ya chakula, na huenda, zaidi ya mwakajana. Bei jinsi zilivyo kwa sasa, tena wakati wa mavuno, ni juu zaidi kuliko mwakajana muda kama huu.

Mvua za sasa, kama zina msaada itakuwa ni kwenye mazao kama viazi vitamu na mihogo, ambavyo siyo mazao makuu ya chakula.
Unakiri kuna upungufu mkubwa wa chakula ila huafiki suala la kufunga mipaka?
 
Kuanzia Bashe amekuwa Waziri wa Kilimo msimamo wake ilikuwa ni kutofunga mipaka ili wakulima wapate bei nzuri ya mazao yao. Humu JF kuliandikwa nyuzi nyingi za kulaani kutofunga mipaka na kutabiri njaa kutokea Tanzania.

Kati ya Machi na Mei mikoa mingi sana wamevuna na bei zimeshuka chini. Na sasa tunapata mvua za kutosha kuanzia Mei hadi mwisho wa June 2023.

Wako wapi wale waliokuwa wanatoa macho kumuambia Bashe afunge mipaka ili chakula kisitoke?
Nimegundua humu tuna watu wengi sana wenye upeo kiduchu. Wewe ni Mmoja wao.. ila utabisha.
 
Kuanzia Bashe amekuwa Waziri wa Kilimo msimamo wake ilikuwa ni kutofunga mipaka ili wakulima wapate bei nzuri ya mazao yao. Humu JF kuliandikwa nyuzi nyingi za kulaani kutofunga mipaka na kutabiri njaa kutokea Tanzania.

Kati ya Machi na Mei mikoa mingi sana wamevuna na bei zimeshuka chini. Na sasa tunapata mvua za kutosha kuanzia Mei hadi mwisho wa June 2023.

Wako wapi wale waliokuwa wanatoa macho kumuambia Bashe afunge mipaka ili chakula kisitoke?
Hapo ulipo unanuka mavi. Maana unaliwa back
 
Unakuta mtu yupo Buguruni anapita dukani anakwambia bei za vyakula zimepanda nchi nzima asijue kwamba anaongelea Buguruni na bei za vyakula mikoani zipo vilevile. Kilichokuwa kimepanda ni bei za mafuta tu
Kenge usie na akili
 
Kukaa mjini tu siku zote bila kwenda mikoani huwezi jua lolote linalohusiana na hali ya mazao nchini.
Mvua inayonyesha haina impact yoyote kwa sasa.
Kwenye mikoa ya kanda ya ziwa mvua hunyesha kwa msimu mmoja tu.
Sasa mazao yote yalikauka baada ya kukosa mvua za mwanzo.
Huko mpaka sasa pamoja na kufunga mipaka mahindi na mchele bado yanabei kubwa Kama hujui.
Debe moja la mahindi linanunuliwa kwa Tshs 19000.
Mchele nao bei iko juu na unauzwa Tshs 25000.
 
Back
Top Bottom