Stuxnet
JF-Expert Member
- Feb 12, 2011
- 13,417
- 23,310
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unakiri kuna upungufu mkubwa wa chakula ila huafiki suala la kufunga mipaka?Unaonekana huna uelewa kabisa wa masuala ya kilimo.
Mazao makuu ya chakula kwa Watanzania ni mahindi, mpunga na maharage.
Mvua za sasa hazina msaada wowote kwenye mazao hayo, tena zinaharibu kabisa kidogo kilichokuwa kimepatikana. Mahindi kidogo yaliyopatikana, sahizi yamekauka na mengine hayajatolewa mashambani. Hayo sasa, kama mvua zitaendelea yataozea mashambani.
Siafiki suala la kufunga mipaka lakini ukweli ni kwamba mwaka huu kuna upungufu mkubwa sana wa mazao makuu ya chakula, na huenda, zaidi ya mwakajana. Bei jinsi zilivyo kwa sasa, tena wakati wa mavuno, ni juu zaidi kuliko mwakajana muda kama huu.
Mvua za sasa, kama zina msaada itakuwa ni kwenye mazao kama viazi vitamu na mihogo, ambavyo siyo mazao makuu ya chakula.
Nimegundua humu tuna watu wengi sana wenye upeo kiduchu. Wewe ni Mmoja wao.. ila utabisha.Kuanzia Bashe amekuwa Waziri wa Kilimo msimamo wake ilikuwa ni kutofunga mipaka ili wakulima wapate bei nzuri ya mazao yao. Humu JF kuliandikwa nyuzi nyingi za kulaani kutofunga mipaka na kutabiri njaa kutokea Tanzania.
Kati ya Machi na Mei mikoa mingi sana wamevuna na bei zimeshuka chini. Na sasa tunapata mvua za kutosha kuanzia Mei hadi mwisho wa June 2023.
Wako wapi wale waliokuwa wanatoa macho kumuambia Bashe afunge mipaka ili chakula kisitoke?
Kiko wapi Sasa. Mbona yamefungiwa?Unataka nikubali uwongo ili nikufurahishe wewe?
Unajisikiaje muda huu?Wako wapi wale waliokuwa wanatoa macho kumuambia Bashe afunge mipaka ili chakula kisitoke?
Hongera sana. Kweli umetambua kulima Chakula chako ni sawa na kuchapisha fedha zako mwenyewe. keep it up!Nimelima mazao yangu nimehifadhi kwenye ghala
Kichwa mfuniko wa shingo.Kwani mimi nina uwezo wa kuyafungulia?
Pumbavu mkubwa.Na wewe kichwa chako ni sawa na matako yako kasoro kina nywele tu
Hapo ulipo unanuka mavi. Maana unaliwa backKuanzia Bashe amekuwa Waziri wa Kilimo msimamo wake ilikuwa ni kutofunga mipaka ili wakulima wapate bei nzuri ya mazao yao. Humu JF kuliandikwa nyuzi nyingi za kulaani kutofunga mipaka na kutabiri njaa kutokea Tanzania.
Kati ya Machi na Mei mikoa mingi sana wamevuna na bei zimeshuka chini. Na sasa tunapata mvua za kutosha kuanzia Mei hadi mwisho wa June 2023.
Wako wapi wale waliokuwa wanatoa macho kumuambia Bashe afunge mipaka ili chakula kisitoke?
We shoga msomali na kundi la Msoga wanakula makalio yako sana. Unanuka maviMtu huandika sana kile alichozoea, wewe ndiyo unaliwa
Kenge usie na akiliUnakuta mtu yupo Buguruni anapita dukani anakwambia bei za vyakula zimepanda nchi nzima asijue kwamba anaongelea Buguruni na bei za vyakula mikoani zipo vilevile. Kilichokuwa kimepanda ni bei za mafuta tu
Na wewe Kamanda Asiyechoka ni mavi kamiliHapo ulipo unanuka mavi. Maana unaliwa back