Mvua zisiponyesha miezi 2 au 3 ijayo bado viongozi wataendelea kutupa sababu zilezile? Ikiwa uwezo wao wa kufikiri ndipo ulipoishia basi we are doomed

Mvua zisiponyesha miezi 2 au 3 ijayo bado viongozi wataendelea kutupa sababu zilezile? Ikiwa uwezo wao wa kufikiri ndipo ulipoishia basi we are doomed

Nobunaga

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2019
Posts
1,205
Reaction score
5,121
Huku mtaani kwetu tunaingia wiki ya 4 sasa tangu maji yakate, kipindi wanatangaza mgao tayari ulishaanza kimya kimya sehemu kibao za jiji la Dar.

Nimekaa nawaza hapa, ina maana hawa viongozi wetu wamekaa wamerelax kabisa kwamba hawana la kufanya? Hivi hawaoni kwamba this is an emergency state?

Ni kweli mmetulabel kwamba watu wa Dar kitu kidogo tuu wanalalamika, kwamba ni walalamishi sana. Lakini kweli inaingia akilini jiji namba 1 kwa biashara ambalo linaingiza GDP kubwa kushinda mikoa yote, linakuwa kwenye mgao mkali wa maji kwa mwezi au miezi bila serikali kuwa na rescue plan yoyote? Kwamba viongozi wote kuanzia Waziri Mkuu, Waziri wa Maji wamekaa tuu na wao wanasubiri mvua?

As a common citizen I find it difficult to understand our leaders.
 
Viongozi wenyewe ni kina Nape, Makamba Mwingulu, Mabula na Ridhiwani hhahha safari ni ndefu
 
Kuna mwamba mmoja anaejua kudanganya ambae alituaminisha marehemu kiongozi yupo hai wakati alishafariki, huyu kiumbe huwa hakosi sababu.

Zee ongo kama nini. Likikwambia kuwa kumepambazuka hakikisha unaenda kuchungulia na uone jua ndio uamini.

Sasa hili litakuja na sababu kuwa vita ya Ukraine imesababisha mvua zisinyeshe kupelekea uhaba wa maji.
Mbaya zaidi alie juu yake ndio mbumbu kabisa na mwenyewe atakuja kuwekea msisitizo.

Hii nchi ni bora kutawalia na mwendawazimu tungeweza kuwa na muelekeo kidogo.
 
E9433325-A306-415E-8062-AEA24C5880C2.jpg
 
Back
Top Bottom