Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukute ni kjiji ndani ya kolomije😅Ndio wap huko maana unaandika kana kwamba hilo n eneo Maarufu Sana
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Tanga ni balaa jua kali umeme unakatwa maji yana katwa kila wakati sijui watu wanashi je kwa kweli.Kwa yeyote aliye hapa Mvuha atakubaliana namimi kwamba hili joto siyo la kawaida.
Hebu tupashane habari za jotoridi hapo ulipo.
Nilipita apo mwezi wa tisa, kweli joto lake sio mchezoo.Mvuha ni morogoro njia ya kuelekea bwawa la mwl Nyerere kisaki.
Hiyo hospital nilibeba sana zege pale kipindi inajengwa enzi hizo nikekwama morogoro sielewi asee napakumbuka sanaNilipita apo mwezi wa tisa, kweli joto lake sio mchezoo.
Ili hospitali ya wilaya inayomalizika kujengwa si mchezoo, - RIP Magufuli
😅😅😅Tako kama takoMkuu ilo tako hapo juu ni lako [emoji3]
mkuu umemkomalia sana kuhusu tako hahahaMkuu ilo tako hapo juu ni lako au [emoji3][emoji3][emoji3]