alumn
JF-Expert Member
- Jul 15, 2018
- 2,370
- 3,163
Ni lake ndio. Si unaona account ni yakeMkuu ilo tako hapo juu ni lako au [emoji3][emoji3][emoji3]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni lake ndio. Si unaona account ni yakeMkuu ilo tako hapo juu ni lako au [emoji3][emoji3][emoji3]
Uzi tayari ??Kwa yeyote aliye hapa Mvuha atakubaliana namimi kwamba hili joto siyo la kawaida.
Hebu tupashane habari za jotoridi hapo ulipo.
Hzo hela unazitaftia wap , hyo misemo itawazeesha kenge nyie , daah sema mtoa mada ana bonge la TakoTafuteni pesa, joto litawaunguza, juzi na Jana nilikuwa fish market, Leo nipo beach kidimbwi, hilo joto msio napesa mtalitungia nyimbo. Tafuta hela ule bata. Tunakula misamaki na pisi kali kama zote.
Hasira dawa yake pesa.
Punguzeni dhambiKwa yeyote aliye hapa Mvuha atakubaliana namimi kwamba hili joto siyo la kawaida.
Hebu tupashane habari za jotoridi hapo ulipo.
Mbona inaonyesha ni 30c, ipo chini badoKwa yeyote aliye hapa Mvuha atakubaliana namimi kwamba hili joto siyo la kawaida.
Hebu tupashane habari za jotoridi hapo ulipo.
na bado mpaka mwezi wa nneNiko dsm ,jua linawaka Hadi mfukoni ,utafikili limetumwa ...
Ila jua sio la kawaida na joto pia sasa ikifika 35 itakuwaje?Mbona inaonyesha ni 30c, ipo chini bado View attachment 2402994
Ila jua sio la kawaida na joto pia sasa ikifika 35 itakuwaje?Mbona inaonyesha ni 30c, ipo chini bado View attachment 2402994
Safi sana ungueni tu hamna namna. Kwasababu hamna msaada nchini hamjawahi na hamtawahi kuwa msaada na hatutaki muwe.Uku dsm kinakaribia 40°C
Huu uongo ni PhD za jalalaniHapo mvuha joto ridi ni 59°C nmewasiliana na watu wa mamlaka wamenipa hizo °C
Niliposama nilifikiri amekusudia kuandika mvuaMvuha ni mkoa gani, wilaya gani?
Tako alishatoleaga ufafanuzi kuwa ni la mkewe na ameliweka hapo kama shukrani kwani kabla walipitia hali ngumu, mkewe alipauka na kuchakaa na sasa ni mambo bomba mke kanenepa na tako si haba😂Mkuu ilo tako hapo juu ni lako au [emoji3][emoji3][emoji3]
Ni kiwanda Cha U.T.I na Gonorrhea kinachotembea hicho.Tako kubwa kama hilo halikosi ka harufu 🤔
Niko iringa jua jua khaKwa yeyote aliye hapa Mvuha atakubaliana namimi kwamba hili joto siyo la kawaida.
Hebu tupashane habari za jotoridi hapo ulipo.