Kunguru wa Manzese
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 12,729
- 18,119
Huu mstari umenichoma for sure ..Lesson Learnt
What will you leave behind when you kick the bucket...?
Be Good person, whatever it takes [emoji3577]
Hata mimi nashangaana zinanunuliwa kweli? ila uko town nashangaaga kuna shop niliona wanauza tochi za tiger, pipi za tiffany sijui, duh nikabaki nashangaa, mtu unachukua fremu unauza ivo vitu town?
Yaani miziki kama yote hata Rhumbaza miziki gani?
Ndiyo mkuuKuna nyimbo za zamani ni ngumu kuzipata kwenye platform nyingine.
Yeah life span Yao iko high Sana siwaona kina bush . Clinton. anord . queen Elizabeth and the likes still wanadunda tuIla Mizungu inaishi jamani...94[emoji848][emoji848]
[emoji16][emoji16][emoji119]Huku kwetu ukifa na maiaka 70 gwajima anasema hawezi kukufufua eti umri wako unatosha kufa
[emoji16]Kaondoka wakati mmoja na jiwe
[emoji16][emoji16][emoji16] Bado Kuna viwanda vinazalisha hizo product !?na zinanunuliwa kweli? ila uko town nashangaaga kuna shop niliona wanauza tochi za tiger, pipi za tiffany sijui, duh nikabaki nashangaa, mtu unachukua fremu unauza ivo vitu town?
Huyu sasa ndiyo Injinia! Siyo hawa wa kwetu!! Mbwembwe nyiingi halafu hakuna kitu! Wanapenda tu kujiita Mainjinia huku wakiwa hawajawahi kuvumbua chochote!Habari,
Mvumbuzi wa kanda za kaseti Mholanzi, Lou Ottens amefariki wiki hii akiwa na umri wa miaka 94.
Mabilioni ya kaseti zimeuzwa duniani tangu zilipobuniwa miaka ya 1960
Mtoto wa kike wa mvumbuzi huyo, Arine Ottens alikiambia chombo cha habari cha WTOP News juu ya kifo hicho ”Tunasikitika sana kukuarifu kuwa Lou amefariki Dunia siku ya Jumamosi Machi 6, 2021.”
Ottens alianza kazi katika kampuni ya electronic ya Royal Philips mwanzo mwa miaka 20. Inakadiriwa kuwa kaseti bilioni 100 zimeuzwa duniani tangu zilipobuniwa miaka ya 1960. Uvumbuzi wa Ottens ulibadilisha jinsi watu walivyo sikiliza muziki, na katika miaka ya hivi karibuni kaseti zimeanza kutumika tena.
Injinia huyo amefariki nyumbani kwake Duizel wikendi iliyopita, familia yake ilitangaza Jumanne Jumanne ya wiki hii.
Ottens alikuwa mkuu wa kitengo cha utengenezaji bidhaa katika shirika la Philips miaka ya 1960, ambapo yeye na timu yake walitengeza kaseti.
Mwaka 1963, iliwasilishwa katika maonyesho ya bidhaa za kielektroniki ya Redio ya Berlin na muda mfupi baadae ikapata umaarufu duniani.
Ottens pia ilihusika katika utengenezaji wa CD, na zaidi ya diski bilioni 200 ziliiuzwa duniani hadi leo.
😂 😂 Injinia soma hiyoHuyu sasa ndiyo Injinia! Siyo hawa wa kwetu!! Mbwembwe nyiingi halafu hakuna kitu! Wanapenda tu kujiita Mainjinia huku wakiwa hawajawahi kuvumbua chochote!
Utawasikia tu Injinia Mfugale, Injinia Manyanya, Injinia Msukuma! Injinia Kibajaji! Injinia Jah People!! Bure kabisa!!
😁😁😁Nawaambia kanisa Katoliki kuwa mtu kama huyu apewe heshima ya utakatifu kwa alichofanyia dunia.
Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app
ntamtafutaYaani miziki kama yote hata Rhumba
Which bucket?Lesson Learnt
What will you leave behind when you kick the bucket...?
Be Good person, whatever it takes ✌️