TANZIA Mvumbuzi wa kanda za kaseti Mholanzi, Lou Ottens afariki dunia

na zinanunuliwa kweli? ila uko town nashangaaga kuna shop niliona wanauza tochi za tiger, pipi za tiffany sijui, duh nikabaki nashangaa, mtu unachukua fremu unauza ivo vitu town?
😳😳😳
 
R.I.P engineer
Ila kaseti bana zilikuwa na ladha yake hususani kuishi muda mrefu bila kuharibika.
Vifaa vya kidigital ni vizuri ila kudumu sasa ndio tatizo lingine.
Hasa hasa vya kichina
 
Huyu sasa ndiyo Injinia! Siyo hawa wa kwetu!! Mbwembwe nyiingi halafu hakuna kitu! Wanapenda tu kujiita Mainjinia huku wakiwa hawajawahi kuvumbua chochote!

Utawasikia tu Injinia Mfugale, Injinia Manyanya, Injinia Msukuma! Injinia Kibajaji! Injinia Jah People!! Bure kabisa!!
 
😂 😂 Injinia soma hiyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…