Mvutano wa Kisheria Waanza Kesi ya Boniface Jacob, Andiko Kuhusu Mafwele Lawekwa Kwenye Hati ya Mashtaka

hivi jina la mafwele ni la mtu mmoja, ukoo mzima mafwele ni huyo wanayemdhani tu au?
 
Swali la muhimu sana hili, pia DPP kama jamhuri (Complainant) ndio inapaswa ithibitishe uwongo wa kauli ya Boni (Accused)
Sidhani kama hili watakuwa wako tayari maana Mafwele atapaswa asimame kama shahidi wa jamhuri.
mafwele yupi, manake wapo wengi, na wengine sio mapolisi. kwani kwenye hati kuna majina yote yanayomtaja yeye tu au ni generic name ya ukoo wa mafwele? pengine yeye alimaanisha mafwele mkulima huko musoma je?
 
mafwele yupi, manake wapo wengi, na wengine sio mapolisi. kwani kwenye hati kuna majina yote yanayomtaja yeye tu au ni generic name ya ukoo wa mafwele? pengine yeye alimaanisha mafwele mkulima huko musoma je?
Mbona anatajwa kwa majina yote Faustine Mafwele, na kwa cheo chake kwenye taasisi anayohudumu
 
mafwele yupi, manake wapo wengi, na wengine sio mapolisi. kwani kwenye hati kuna majina yote yanayomtaja yeye tu au ni generic name ya ukoo wa mafwele? pengine yeye alimaanisha mafwele mkulima huko musoma je?
Ametajwa kwa majina yake yote matatu na rank yake ya kijeshi la polisi
 
Matumizi mabovu ya kodi na tozo za wananchi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…