Amna kbx napinga huu Uzi juhudi za mtu tuh nguvu za Giza wap bana weee
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wanachanja mpk makalioni
Warumi ni shida
Sent using Jamii Forums mobile app
Binamu wale wanachofanya,kupitia kipaji Mungu amekupa ndo wanakitumia!
Kwahiyo km unacho kipaji cha kuimba,instead kumuimbia Mungu wanageuza ni kuimba ngono na ushetani,vitu ambavyo havimpi Mungu utukufu!
Na wanajua wapi watakukamata,penye pesa,watakufanya ujulikane,usisike kifupi,utoke/utoboe....issue ni mikataba,na mashart hupewi yotewanajua utagoma,kwahiyo mashart mengine unakuta wakati umeshaingia ndani,sio siri wana mikataba migumu,kiasi kwamba wakishachoka wakitakaga kutoka wengi hawaelewi wanafanyaje wanaishia kufa vifo vya ajabu ajabu!
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu Jamaa anaitwa Shatle bundle... Jamaa anahela chafu chanzo cha utajiri wake haijulikani... Inasemekana kwamba anacheo Sana Illuminati NigeriaUnataka kusema jamaa. Ame sell his soul to the devil View attachment 1375552
Sent using Jamii Forums mobile app
hizi fikra ndo hutudumaza waafrika kuhusu mafanikio...
babu alinambia "mzungu na mwafrica tofaut ni rangi tu, akili tupo sawa bt tatizo la mwafrica hutumia zaid nguvu ya mwili kuliko nguvu ya akili ndo maana ni ngum kufanikiwa bt mzungu anaitumia zaid nguv ya akili ndo maana ni rahisi kufanikiwa"
tubadili fikra hakuna nguvu ya giza itakupa utajiri, kama ingekua hivo wachawi na waganga ndo wangekua matajiri wakubwa zaid duniani hapa maana na wao wanazpenda starehe
Ahahah nimependa sana jibu lako
Sent from my iPhone using JamiiForums