Mvuto wa mwanamke hupungua kadri muda unavyozidi kwenda

Mvuto wa mwanamke hupungua kadri muda unavyozidi kwenda

Denis1729

Member
Joined
Sep 9, 2021
Posts
35
Reaction score
110
Mapenzi kitu cha ajabu sana, wataalamu wanasema hata ungeukuwa mzuri kama miss dunia, hata ungekuwa mzui wa pekee yako dunia nzima, ila kadri unavyozidi kuishi na mumeo ndivyo unavyozidi kuwa wa kawaida kwake!

Yaani ule uzuri wako unaanza kuwa wa kawaida mbele yake. Lile umbo lako linaanza kuwa la kawaida mbele yake.

Wakati kwa wanaume wengine unaonekana mpya huko nje, una trend lakini kwa mumeo huo uzuri wako unaonekana kawaida tu!

Na hili ni moja ya tatizo kubwa sana lilonalochangia tendo la ndoa kwenye ndoa nyingi kupumulia mashine kila kunapokucha. Wakati mwili wako wewe unawavutia wanaume wa nje bahati mbaya sana ni pale mumeo atapoanza kuuchukulia poa uzuri wako.

Wanawake wengi sana walio ndani ya ndoa wanaumizwa na ukosefu full package ya tendo la ndoaa, Wengi hawafikishwi tena kama zamani, wengi wana kiu isiyoisha, wengi wanachukizwa na safari ya dakika tatu isiyowafikisha vilele vya kibo na mawenzi. Kuna haja mwanaume kutambua nafasi ya full packge ya tendo la ndoa kwenye ndoa yako.

Ukipata nafasi ya kuongea na wanawake kumi basi ni mmoja tu ambaye tendo la ndoa kwenye ndoa yake bado lipo vizuri, maajabu ni kuwa ukiangalia ndoa ndiyo kwanza haina hata miaka minne halafu tendo la ndoa liko taaban. Hebu vuta taswira ya miaka mitano mbelee. Je, huyu mwanamke ataweza kuvumiliaa?

Hapa ndipo tunapomuhitaji sana
MUNGU KWENYE HIZI NDOA.
 
Mapenzi kitu cha ajabu sana, wataalamu wanasema hata ungeukuwa mzuri kama miss dunia, hata ungekuwa mzui wa pekee yako dunia nzima,
Siyo katika mapenzi tu....

Ni kanuni ya jumla katika maumbile...

Kwenye Fizikia kuna kitu kinaitwa entropy. Kwa kadri muda unavyopita ndivyo vitu vinachakaa na kuparaganyika. Unachokiona kwa sasa siyo sawa na kile utakachokiona sekunde nyingine ijayo maana kitakuwa kimechakaa na kuparaganyika kwa kiasi fulani. Ndo maana wanafalsafa wakasema kuwa huwezi kuoga kwenye mto ule ule mara mbili!

Kama ulimpenda kwa ajili ya tako, sasa tako ushalizoea. Taswira uliyonayo ubongoni mwako ya tako hilo imeshachakaa na huoni upya wake tena. Papuchi ile iliyokuwa inakufanya mpaka chozi linakutoka kwa utamu sasa unaiona ya kawaida tu.....entropy ya kifikra!

Kazi kubwa kwenye mapenzi na ndoa ni kujaribu kupambana na uchakavu huu wa fikra unaoletwa na mazoea....ili kuhakikisha moto hauzimiki.....

Ni kazi ngumu sana!
 
Mapenzi kitu cha ajabu sana, wataalamu wanasema hata ungeukuwa mzuri kama miss dunia, hata ungekuwa mzui wa

Hapa ndipo tunapomuhitaji sana
MUNGU KWENYE HIZI NDOA.
Shida ya mke ukishamuoa anaona ndo keshafika anasahau kuwa wanaompenda huko akiwa nje wanamwona akiwa ameshajipamba, anasahau kuna mwanaume ndani anamwona akiwa hana hata nguo hana mekup anamwona akiwa hata hajapiga mswaki. Wanawake mjitahidi kujipamba hata mkiwa nyumbani
 
Siyo katika mapenzi tu....

Ni kanuni ya jumla katika maumbile...

Kwenye Fizikia kuna kitu kinaitwa entropy. Kwa kadri muda unavyopita vitu vinachakaa na kuparaganyika. Unachokiona kwa sasa siyo sawa na kile utakachokiona sekunde nyingine ijayo maana kitakuwa kimechakaa na kuparaganyika kwa kiasi fulani. Ndo maana wanafalsafa wakasema kuwa huwezi kuoga kwenye mto ule ule mara mbili!

Kama ulimpenda kwa ajili ya tako, sasa tako ushalizoea. Taswira uliyonayo ubongoni mwako ya tako hilo imeshachakaa na huoni upya wake tena. Papuchi ile iliyokuwa inakufanya mpaka chozi linakutoka kwa utamu sasa unaiona ya kawaida tu.....entropy ya kifikra!

Kazi kubwa kwenye mapenzi na ndoa ni kujaribu kupambana na uchakavu huu wa fikra unaoletwa na mazoea....ili kuhakikisha moto hauzimiki.....

Ni kazi ngumu sana!
Ndio maana binafsi nashindwa kutokuwaunga mkono wale team kataa ndoa kwa sababu kama hizi.

Taabu inakuwa kwa mwanaume kwa sababu anakuwa yupo kwenye mambano mengi maisha yake yote yaliyo bakia.

Unatakiwa kama mwanaume uhakikishe familia yako inakuwa kwenye ustawi bora hata kama wewe utaangamia
Unatakiwa upambane kumridhisha mke wako katika mambo mengi, ikumbukwe pia wanawake hawaridhiki.
Unatakiwa uendelee kuvutiwa na mwanamke wako hata kama amepoteza mvuto, hamna mpambano mkali kama huu.
Kwa wale wa ndoa ya mke mmoja unatakiwa uwe naye huyo huyo maisha yako yote pamoja na dharura zao nyingi walizo nazo mwanamke, hili nalo ni pambano kubwa sana linalomkabili mwanaume.

Maisha ya mwanaume sio kwa ajili yake bali kwaajili ya mwanamke na watoto, mwanaume akisha owa automatically anakuwa amepoteza maisha yake ya uhuru na furaha na amani mpaka atakapo maliza maisha yake hapa duniani.

Na kwa sababu ya mambo kama hayo atakua ni mtu mwenye hatia nyingi na dhambi nyingi asipojaliwa kutubu moto wa milele unamsubiria, hivyo mwanaume ni mtu anaeweza kuwa kwenye mateso maisha yake yote ya duniani na ahera.
 
Mapenzi kitu cha ajabu sana, wataalamu wanasema hata ungeukuwa mzuri kama miss dunia, hata ungekuwa mzui wa pekee yako dunia nzima, ila kadri unavyozidi kuishi na mumeo ndivyo unavyozidi kuwa wa kawaida kwake!

Yaani ule uzuri wako unaanza kuwa wa kawaida mbele yake. Lile umbo lako linaanza kuwa la kawaida mbele yake.

Wakati kwa wanaume wengine unaonekana mpya huko nje, una trend lakini kwa mumeo huo uzuri wako unaonekana kawaida tu!

Na hili ni moja ya tatizo kubwa sana lilonalochangia tendo la ndoa kwenye ndoa nyingi kupumulia mashine kila kunapokucha. Wakati mwili wako wewe unawavutia wanaume wa nje bahati mbaya sana ni pale mumeo atapoanza kuuchukulia poa uzuri wako.

Wanawake wengi sana walio ndani ya ndoa wanaumizwa na ukosefu full package ya tendo la ndoaa, Wengi hawafikishwi tena kama zamani, wengi wana kiu isiyoisha, wengi wanachukizwa na safari ya dakika tatu isiyowafikisha vilele vya kibo na mawenzi. Kuna haja mwanaume kutambua nafasi ya full packge ya tendo la ndoa kwenye ndoa yako.

Ukipata nafasi ya kuongea na wanawake kumi basi ni mmoja tu ambaye tendo la ndoa kwenye ndoa yake bado lipo vizuri, maajabu ni kuwa ukiangalia ndoa ndiyo kwanza haina hata miaka minne halafu tendo la ndoa liko taaban. Hebu vuta taswira ya miaka mitano mbelee. Je, huyu mwanamke ataweza kuvumiliaa?

Hapa ndipo tunapomuhitaji sana
MUNGU KWENYE HIZI NDOA.
Sikupingi kitafiti km ulivyofanya utafiti wewe ila naomba nami nichangie yafuatayo;
1 Kwa mwanaume ambaye ana uhaba wa tendo la ndoa akitunukiwa round ya kwanza anatumia dakika chache sana yaani chini ya 6 kumwaga manii. Hii ni kwa7bu haja yake ni kushusha huo mzigo uliokuwa umemuelemea na sii kumfurahisha mwanamke. Ila kadri round zinavyoongezeka basi umaridadi huongezeka kwani kiwango cha manii kwenye hifadhi kinakuwa kimepungua na hivyo inambidi atumie muda mrefu kuzishawishi zitoke na kama mwanamke akiwa siyo mbunifu wakati mwingine baadhi ya round uhairishwa.

2 Kwa kiasi kikubwa sana wanawake uongoza ktk mchakato wa kukataa kufanya tendo la ndoa na waume zao. Hii ni kwa7bu wengi huitumia hii km njia ya kuadhibu waume zao na wanaichukulia kuwa ndo adhabu ya kiwango cha juu na umkomoa mwanaume. Sasa wewe chukulia mwanaume hajanunua kijola cha kikoba halafu ananyimwa alichokosa kwa mama yake?
Kibaya zaidi anayemnyima ni yule aliyemtoa kwao kwa ajili ya kutoa huduma hiyo?


Mkuu,
Kafanye upya utafiti wako halafu uje tuendelee.

Naziweka shukurani zangu hapa chini.
 
Shida ya mke ukishamuoa anaona ndo keshafika anasahau kuwa wanaompenda huko akiwa nje wanamwona akiwa ameshajipamba, anasahau kuna mwanaume ndani anamwona akiwa hana hata nguo hana mekup anamwona akiwa hata hajapiga mswaki. Wanawake mjitahidi kujipamba hata mkiwa nyumbani
Kabisa
 
Ndio maana binafsi nashindwa kutokuwaunga mkono wale team kataa ndoa kwa sababu kama hizi.

Taabu inakuwa kwa mwanaume kwa sababu anakuwa yupo kwenye mambano mengi maisha yake yote yaliyo bakia.

Unatakiwa kama mwanaume uhakikishe familia yako inakuwa kwenye ustawi bora hata kama wewe utaangamia
Unatakiwa upambane kumridhisha mke wako katika mambo mengi, ikumbukwe pia wanawake hawaridhiki.
Unatakiwa uendelee kuvutiwa na mwanamke wako hata kama amepoteza mvuto, hamna mpambano mkali kama huu.
Kwa wale wa ndoa ya mke mmoja unatakiwa uwe naye huyo huyo maisha yako yote pamoja na dharura zao nyingi walizo nazo mwanamke, hili nalo ni pambano kubwa sana linalomkabili mwanaume.

Maisha ya mwanaume sio kwa ajili yake bali kwaajili ya mwanamke na watoto, mwanaume akisha owa automatically anakuwa amepoteza maisha yake ya uhuru na furaha na amani mpaka atakapo maliza maisha yake hapa duniani.

Na kwa sababu ya mambo kama hayo atakua ni mtu mwenye hatia nyingi na dhambi nyingi asipojaliwa kutubu moto wa milele unamsubiria, hivyo mwanaume ni mtu anaeweza kuwa kwenye mateso maisha yake yote ya duniani na ahera.
Umeongea kitu kizito sana mkuu. Na ndiyo maana tunakufa mapema maana majukumu yetu si ya kitoto aisee. Mungu na Atusaidie [emoji1545]
 
Ndio maana binafsi nashindwa kutokuwaunga mkono wale team kataa ndoa kwa sababu kama hizi.

Taabu inakuwa kwa mwanaume kwa sababu anakuwa yupo kwenye mambano mengi maisha yake yote yaliyo bakia.

Unatakiwa kama mwanaume uhakikishe familia yako inakuwa kwenye ustawi bora hata kama wewe utaangamia
Unatakiwa upambane kumridhisha mke wako katika mambo mengi, ikumbukwe pia wanawake hawaridhiki.
Unatakiwa uendelee kuvutiwa na mwanamke wako hata kama amepoteza mvuto, hamna mpambano mkali kama huu.
Kwa wale wa ndoa ya mke mmoja unatakiwa uwe naye huyo huyo maisha yako yote pamoja na dharura zao nyingi walizo nazo mwanamke, hili nalo ni pambano kubwa sana linalomkabili mwanaume.

Maisha ya mwanaume sio kwa ajili yake bali kwaajili ya mwanamke na watoto, mwanaume akisha owa automatically anakuwa amepoteza maisha yake ya uhuru na furaha na amani mpaka atakapo maliza maisha yake hapa duniani.

Na kwa sababu ya mambo kama hayo atakua ni mtu mwenye hatia nyingi na dhambi nyingi asipojaliwa kutubu moto wa milele unamsubiria, hivyo mwanaume ni mtu anaeweza kuwa kwenye mateso maisha yake yote ya duniani na ahera.
Umeandika Kwa uchungu mno....daa
 
Umeandika Kwa uchungu mno....daa
Yah na ni ukwel To yeye believe us.
Juz kat nilikaa nikawaazaaa nilikua na jamaa angu mmoja hiv.nikasema ujue haya maisha nayoishi kiukwel sio yangu.naishi kwa ajili ya watu tuu..mke na watoto.napata pesa kidogo lakin sina uhuru wa kuzitumia navyotaka..sina uhuru kurudi home navyotaka...wasipovaa watoto vizur mimi sina guts za kutupia pamba nikaonekana maana watu wasema siwajali...wamefukuzwa ada shuleni basi moyo wangu hauna amani kabisaaa..
MWISHO WA SIKU wananiacha kwenda kuanza maisha yao nao ya kujitegemea na wao mzunguko unakua kama wangu kama wakioa au kuoelewa..HAYA MAISHA SASA YANA MAANA GANI LAKINI?
hii ni kwa sisi wenye vipato vya kawaida kabisaa...

Kwakwel muda mwingi hasa ukiwa mtu wa kujali sana basi utajikuta unaandamwa na hatia tuuu Pendaelli umesema kwel man
 
Upendeleo hudanganya, uzuri ni batili..bali mwanamke amchaye bwana ndiye atakayesifiwa. In Eng bible it says Charm(the power or quality of attracting, fascinating or delighting others) and Beauty is deceptive, But the woman who fears the Lord is to be praised.

Sasa kulingana na mada hii, mvuto si kitu kinachodumu. Na Timotheo aliona hili wazi, mapema tu akatuonya gender yetu kwamba tujipambe kwa mavazi ya KUJISITIRI, adabu nzuri na moyo wa kiasi. Sio kwa kusuka nywele, dhahabu na vito vya thamani na nguo za thamani bali kwa matendo mema.

Mwanamke mwenye sifa za Mith 31, na 1Tim 2:9-10 ni mwanamke mzuri sana hata ipite miaka elfu na mia. Na zaidi ya hilo ni kwamba hata mume wake atamsifu malangoni kwa sababu uzuri wa mwanamke unaanzia ndani. Beauty starts from within then it radiates externally.

Lakin too bad weng wa wanaume unakuta walioa kwa kuangalia vgezo vya nje TU na hawakutaka kuhangaika na vgezo vya ndani. Unakuta mtu ndani ya miaka minne mmekua katika uchumba, mkaanza kwa kasi sana na matusi yakafanyika weee, ok mkaingia kwenye ndoa proudly kwamba we made it, rahisi sana uzuri wa nje kufade out kwa sabbu kuna tabia za ndani zilikua masked na great sex styles ama chura ama uzuri wa sura ama pesa.

Lakin imagine unakutana na mmama ana muonekano wa kawaida no chura no what lakin ana moyo mzuri, hekima, upendo, utu wema..iwe iweje atasifiwa tu kwamba ni mzuri na atapendwa na watoto, mume, ndugu na jamii kwa ujumla.

Uzuri katika miili yetu huwa unaexpire mapema sana. Lakini roho njema inaishi miaka mingi mno. Anayechagua achague vyema na anayechaguliwa ajitengeneze ndani ili achaguliwe na mchaguzi mzuri. Isije ikatokea mwanamke unakuwa mwema afu ukaishia kwa agent wa kuzimu. Uzuri wa nje hubatilika mapema sana. Seek God ufanywe mzuri from inside.
 
Mwanamke ukiwa una date naye Huwa ana viuchokiozi vya kiromantic vingi sana Mara ooooh nimekumiss,Mara aseme bae Jana show yako ilikuwa mzuri nilienjoy hata kama hukupiga show ya maana unajikuta na wewe umeongeza ufaninisi.Vitu ni vingi mkiwa mnadate ila Sasa ukishamuowa hivo vitu vyote vinaondoka vyote.Sasa Kwa nini mwanaume asikinahi??
 
Upendeleo hudanganya, uzuri ni batili..bali mwanamke amchaye bwana ndiye atakayesifiwa. In Eng bible it says Charm(the power or quality of attracting, fascinating or delighting others) and Beauty is deceptive, But the woman who fears the Lord is to be praised.

Sasa kulingana na mada hii, mvuto si kitu kinachodumu. Na Timotheo aliona hili wazi, mapema tu akatuonya gender yetu kwamba tujipambe kwa mavazi ya KUJISITIRI, adabu nzuri na moyo wa kiasi. Sio kwa kusuka nywele, dhahabu na vito vya thamani na nguo za thamani bali kwa matendo mema.

Mwanamke mwenye sifa za Mith 31, na 1Tim 2:9-10 ni mwanamke mzuri sana hata ipite miaka elfu na mia. Na zaidi ya hilo ni kwamba hata mume wake atamsifu malangoni kwa sababu uzuri wa mwanamke unaanzia ndani. Beauty starts from within then it radiates externally.

Lakin too bad weng wa wanaume unakuta walioa kwa kuangalia vgezo vya nje TU na hawakutaka kuhangaika na vgezo vya ndani. Unakuta mtu ndani ya miaka minne mmekua katika uchumba, mkaanza kwa kasi sana na matusi yakafanyika weee, ok mkaingia kwenye ndoa proudly kwamba we made it, rahisi sana uzuri wa nje kufade out kwa sabbu kuna tabia za ndani zilikua masked na great sex styles ama chura ama uzuri wa sura ama pesa.

Lakin imagine unakutana na mmama ana muonekano wa kawaida no chura no what lakin ana moyo mzuri, hekima, upendo, utu wema..iwe iweje atasifiwa tu kwamba ni mzuri na atapendwa na watoto, mume, ndugu na jamii kwa ujumla.

Uzuri katika miili yetu huwa unaexpire mapema sana. Lakini roho njema inaishi miaka mingi mno. Anayechagua achague vyema na anayechaguliwa ajitengeneze ndani ili achaguliwe na mchaguzi mzuri. Isije ikatokea mwanamke unakuwa mwema afu ukaishia kwa agent wa kuzimu. Uzuri wa nje hubatilika mapema sana. Seek God ufanywe mzuri from inside.
Akili kubwa sana hii.
Natamani na wengine badala ya kuendekeza akili za kiuana harakati wafikiri kwa namna hii.
Wengine wanadanganyika na kuishia kuponzeka
 
Back
Top Bottom