Mvuto wa mwanamke hupungua kadri muda unavyozidi kwenda

Mvuto wa mwanamke hupungua kadri muda unavyozidi kwenda

Mnachanganya mambo wakuu. Sex itabaki kua sex na ndoa itabaki kua ndoa. Ndoa inatoa fursa ya kuanzisha famili na msaidizi uliyemchagua ambalo ndio kazi maalumu chini ya dunia. Ila kiuhalisia ndoa haiwezi kukupa utoshelevu wa sex kwa mara zote, hii ni kutokana na mambo mengi na majukumu kibao yaliyomo ndani ya ndoa. Usimhukumu mwanamke kwa mabadiriko ambayo yeye hana udhibiti wa moja Kwa moja. Na mwaume asihukumiwe Kwa kukinai. Kama mnavyovumilia kuishi bila kua na vitu vyote mnavyovipenda ,kadharika akishi na mizuka ya minyanduano ikipungua tujifunze kuvumiliana.
Nakubali

Sent from my SM-G998B using JamiiForums mobile app
 
Wanaume Huwa tuna kinahi haraka sana.
Unakinai kwa sababu unafanya tendo la ndoa kwa kukomoa.

Fanya pale mwili unapohitaji siyo akili inapohitaji.

Fanya kwa mpangilio siyo kila wakati.

Upe mwili nafasi ya kupumzika na kujipanga kwa ajili ya tendo. Usifanye kama jogoo.

Mwandae mwandani wako kisaikolojia toka jana kwa ajili ya tendo leo. Usimkurupushe.

Iambie akili yako kuwa huyo ndiye mkeo na ndiye unayepaswa kutenda nae.

Kwa uchache tu zingatia hayo.

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
Mara ya kwanza kumuona mwembamba,chuchu kama askari traffic, trakoo kama matikiti. Sasa namuweka ndani kawa kama Kiboko lazima anitoke hamu🤣
Sijaona comment yoyote wakilikumbuka hili.
Huu nao ni ukweli mchngu kama shubiri na watu hawauongelei.
 
Wanawake wakishaingia tu kwenye ndoa ya mashamsham masaptasapta mipinduko yote yanaisha alikuwa anatumia mbinu zote aingie kwenye ndoa plus na wewe kuchakata miaka nenda rudi kiukweli anakuwa kama ndugu yako tu mnaweza kukaa wiki nzima usile chakula cha usiku.Kikubwa ndoa ni maisha minyanduo ni sehemu ya ndoa kuna watoto minyanduo yenu haiwahusu wanataka kuishi vizuri na wasome.
 
Upendeleo hudanganya, uzuri ni batili..bali mwanamke amchaye bwana ndiye atakayesifiwa. In Eng bible it says Charm(the power or quality of attracting, fascinating or delighting others) and Beauty is deceptive, But the woman who fears the Lord is to be praised.

Sasa kulingana na mada hii, mvuto si kitu kinachodumu. Na Timotheo aliona hili wazi, mapema tu akatuonya gender yetu kwamba tujipambe kwa mavazi ya KUJISITIRI, adabu nzuri na moyo wa kiasi. Sio kwa kusuka nywele, dhahabu na vito vya thamani na nguo za thamani bali kwa matendo mema.

Mwanamke mwenye sifa za Mith 31, na 1Tim 2:9-10 ni mwanamke mzuri sana hata ipite miaka elfu na mia. Na zaidi ya hilo ni kwamba hata mume wake atamsifu malangoni kwa sababu uzuri wa mwanamke unaanzia ndani. Beauty starts from within then it radiates externally.

Lakin too bad weng wa wanaume unakuta walioa kwa kuangalia vgezo vya nje TU na hawakutaka kuhangaika na vgezo vya ndani. Unakuta mtu ndani ya miaka minne mmekua katika uchumba, mkaanza kwa kasi sana na matusi yakafanyika weee, ok mkaingia kwenye ndoa proudly kwamba we made it, rahisi sana uzuri wa nje kufade out kwa sabbu kuna tabia za ndani zilikua masked na great sex styles ama chura ama uzuri wa sura ama pesa.

Lakin imagine unakutana na mmama ana muonekano wa kawaida no chura no what lakin ana moyo mzuri, hekima, upendo, utu wema..iwe iweje atasifiwa tu kwamba ni mzuri na atapendwa na watoto, mume, ndugu na jamii kwa ujumla.

Uzuri katika miili yetu huwa unaexpire mapema sana. Lakini roho njema inaishi miaka mingi mno. Anayechagua achague vyema na anayechaguliwa ajitengeneze ndani ili achaguliwe na mchaguzi mzuri. Isije ikatokea mwanamke unakuwa mwema afu ukaishia kwa agent wa kuzimu. Uzuri wa nje hubatilika mapema sana. Seek God ufanywe mzuri from inside.
Naomba kukuchagua wewe!!
 
Mambo yote ni ubatili na kujilisha upepo.
Huwa najaribu kuwaza ndo maana ndoa za mababu zetu au watu wanaoletewa wachumba..huwa zinadumu..Huyu mtu inakuwa huna tamaa juu yake kivile lkn unaona sababu umeletewa na akili inaji-chune...kichwa kinakaa sawa, chemistry inakuja taratibu kwa wote wawili...wanaelewana wanakuwa na urafiki ambao haujajengwa kwenye tamaa ya mwili au vitu.

LKN vijana sasa tunachagua kwa matamanio...umependa ngozi nyeupe, ta..k, paja, sauti...ukishakutana naye kimwili tayari unagundua kumbe ni kawaida, hamna jipya lolote - shida zinaanza..ulioa tako kumbe..sasa umelizoea..kwisha kazi..akili kubwa inahitajika hapo.

Usioe mwanamke uliyemhangaikia sana, usioe mwanamke uliyejieleza, ukahongaa weee..baada ya miaka miwili ndo akubali, usikubali kufanya maamuzi ya kuwa na mwanamke kwa kutumia mguu wa tatu - hisia, zikikata hutaona uzuri wowote.

Mwanamke ambae nature/ Mungu anakupa siku mkionana tu....na mkatongozana......yeye atakuwa huru nafsini kwake na wewe utakuwa calm tu na amani sababu roho haziwasuti nyote. Huyo ndo fanya nae maisha...
HATA HISIA ZIKIWA HAZIPO MTAENDELEA KUWA NA AMANI NA FURAHA TU MKISUBIRI KWA UTULIVU KIPINDI MKO HIGH TENA KUENDELEZA MTANANGE..
 
Back
Top Bottom