Mwabukusi alienda kwenye Press na Kina Slaa akiwa Kalewa

Mwabukusi alienda kwenye Press na Kina Slaa akiwa Kalewa

Mimi ni Rafiki ya mmoja wa Waandishi wa Habari walioalikwa kwenye press walioitisha kina Slaa na Wakili Madeleka katika kupinga uwekezaji wa kwenye Bandari ya Dar es salaam.

Rafiki yangu huyo ambaye Jina simtaji, ameniambia alipata wasaha wa kuongea na Wakili Msomi Mtanganyika Mwabukusi kabla na Baada ya Press hiyo na alikiri Kabisa Wakili Mwabukusi alikuwa akitoa Harufu ya Pombe. Hivyo ni dhahiri Wakili Mwabukusi alikuwa amekunywa pombe kabla ya press na hivyo naamini alikuwa haongei yeye Bali ni pombe.

Hata ukimuangalia katika Video utamuona kabisa Wakili Mwabukusi akiwa anaonekana yupo High yaani yupo Vyombo katika video Ile huku akiwa na uzubavu wa macho wa mtu Mlevi.

Wakili Mwabukusi anajulikana huko anapoishi Mbeya kuwa ni mtu wa Kulewa Sana Pombe kalibna mtu wa Kukesha Bar. Hivyo nawaasa watanzania kumpuuza huyu Wakili Mlevi Msomi Mwabukusi, na tujikite katika Hoja.
Muulize huyo rafiki yako kala ngapi ili apindishe kalam., maana siku hiz wanafanya kazi ya kuandika ambayo hayakuzungumzwa.
 
Mimi ni Rafiki ya mmoja wa Waandishi wa Habari walioalikwa kwenye press walioitisha kina Slaa na Wakili Madeleka katika kupinga uwekezaji wa kwenye Bandari ya Dar es salaam.

Rafiki yangu huyo ambaye Jina simtaji, ameniambia alipata wasaha wa kuongea na Wakili Msomi Mtanganyika Mwabukusi kabla na Baada ya Press hiyo na alikiri Kabisa Wakili Mwabukusi alikuwa akitoa Harufu ya Pombe. Hivyo ni dhahiri Wakili Mwabukusi alikuwa amekunywa pombe kabla ya press na hivyo naamini alikuwa haongei yeye Bali ni pombe.

Hata ukimuangalia katika Video utamuona kabisa Wakili Mwabukusi akiwa anaonekana yupo High yaani yupo Vyombo katika video Ile huku akiwa na uzubavu wa macho wa mtu Mlevi.

Wakili Mwabukusi anajulikana huko anapoishi Mbeya kuwa ni mtu wa Kulewa Sana Pombe kalibna mtu wa Kukesha Bar. Hivyo nawaasa watanzania kumpuuza huyu Wakili Mlevi Msomi Mwabukusi, na tujikite katika Hoja.
Acha kusingizia pombe na ujinga wako!yaani kwanza hajalewa vizuri maana inampa material ya kiwango cha PHD!mwambukusi ongeza kinywaji nakuja kulipa!
 
Fanya juhudi kubwa sana kuliko "conquistadors", hamtaYeweza kuizima nuru.
Tatizo lako Uarabu umekukaa ...Ndio maa Ukiona kanzu unalegea...kama utakavyolegea Peponi wakati ukigida pombezinazotiririka kwenye mito ..huku mume wako akichakata Bikira 72 😂😂
 
Alileweshwa na Slaa. Cheza na Slaa?

Jamani kwani hatujuwi Slaa katokea kanisa lipi? Leo tunajifanya tumesahau mambo yao?
Yaelekea pombe unazijua ...na utakuwà umekamia sana hukompeppni ambako mmeahidiwa Mito ya Konyagi,Safari,Gongo,Wanzuki nk
 
Yaelekea pombe unazijua ...na utakuwà umekamia sana hukompeppni ambako mmeahidiwa Mito ya Konyagi,Safari,Gongo,Wanzuki nk
Upo forodhani unauliza baharini wapi? Uishi Tanzania hii milevi usiijuwe?

Unanchekesha!
 
We ni fala,
Tafuna idea na vitu anavyosema mwabukusi.
Nakwambia Ukanda wote ule pombe ni km uji tu.
Kuanzia kimpumu,kyindi na komoni nyingine sie tumetwanga tukiwa watoto tu.
Huyo alikua ananuka mdomo,sio pombe.
Huyo pumbavu mwenzio alienda kumuhoji au kusikia harufu ya pombe?
Fwata kilichokupeleka,mwabukusi si baba yako wala mama yako unampangia kitu cha kufanya mtu hakutegemei kwa lolote.

Nyie wajingawajinga sijui hata nani anawaambia kuna JF.
Ulitakiwa ukamuhoji sio kunusa pombe we nyau.
Anaweza kunywa masaa 24 as long atakaa anafanya mambo yake yanaenda.
 
Bora kuwa na mlevi mmoja mwenye akili kuliko wabunge wote wa ccm pamoja na spika wao wasio kunywa pombe.
 
Ulijua uku ni FACEBOOK? Ona unaukimbia uzi wako.
 
A
Mimi ni Rafiki ya mmoja wa Waandishi wa Habari walioalikwa kwenye press walioitisha kina Slaa na Wakili Madeleka katika kupinga uwekezaji wa kwenye Bandari ya Dar es salaam.

Rafiki yangu huyo ambaye Jina simtaji, ameniambia alipata wasaha wa kuongea na Wakili Msomi Mtanganyika Mwabukusi kabla na Baada ya Press hiyo na alikiri Kabisa Wakili Mwabukusi alikuwa akitoa Harufu ya Pombe. Hivyo ni dhahiri Wakili Mwabukusi alikuwa amekunywa pombe kabla ya press na hivyo naamini alikuwa haongei yeye Bali ni pombe.

Hata ukimuangalia katika Video utamuona kabisa Wakili Mwabukusi akiwa anaonekana yupo High yaani yupo Vyombo katika video Ile huku akiwa na uzubavu wa macho wa mtu Mlevi.

Wakili Mwabukusi anajulikana huko anapoishi Mbeya kuwa ni mtu wa Kulewa Sana Pombe kalibna mtu wa Kukesha Bar. Hivyo nawaasa watanzania kumpuuza huyu Wakili Mlevi Msomi Mwabukusi, na tujikite katika Hoja.
Acha utahira wako ! Nani kakudanganya kwamba kunywa pombe ni kubaya?!
Serikali imewapa TBL leseni ya kufanya kazi gani?!
Wewe wambie hao mabwana zako kuwa kaeni mjibu hoja za Msomi Boniface Mwabukusi, period!
 
Mimi ni Rafiki ya mmoja wa Waandishi wa Habari walioalikwa kwenye press walioitisha kina Slaa na Wakili Madeleka katika kupinga uwekezaji wa kwenye Bandari ya Dar es salaam.

Rafiki yangu huyo ambaye Jina simtaji, ameniambia alipata wasaha wa kuongea na Wakili Msomi Mtanganyika Mwabukusi kabla na Baada ya Press hiyo na alikiri Kabisa Wakili Mwabukusi alikuwa akitoa Harufu ya Pombe. Hivyo ni dhahiri Wakili Mwabukusi alikuwa amekunywa pombe kabla ya press na hivyo naamini alikuwa haongei yeye Bali ni pombe.

Hata ukimuangalia katika Video utamuona kabisa Wakili Mwabukusi akiwa anaonekana yupo High yaani yupo Vyombo katika video Ile huku akiwa na uzubavu wa macho wa mtu Mlevi.

Wakili Mwabukusi anajulikana huko anapoishi Mbeya kuwa ni mtu wa Kulewa Sana Pombe kalibna mtu wa Kukesha Bar. Hivyo nawaasa watanzania kumpuuza huyu Wakili Mlevi Msomi Mwabukusi, na tujikite katika Hoja.
Kwani ile sehemu ya ibada?
 
Mimi ni Rafiki ya mmoja wa Waandishi wa Habari walioalikwa kwenye press walioitisha kina Slaa na Wakili Madeleka katika kupinga uwekezaji wa kwenye Bandari ya Dar es salaam.

Rafiki yangu huyo ambaye Jina simtaji, ameniambia alipata wasaha wa kuongea na Wakili Msomi Mtanganyika Mwabukusi kabla na Baada ya Press hiyo na alikiri Kabisa Wakili Mwabukusi alikuwa akitoa Harufu ya Pombe. Hivyo ni dhahiri Wakili Mwabukusi alikuwa amekunywa pombe kabla ya press na hivyo naamini alikuwa haongei yeye Bali ni pombe.

Hata ukimuangalia katika Video utamuona kabisa Wakili Mwabukusi akiwa anaonekana yupo High yaani yupo Vyombo katika video Ile huku akiwa na uzubavu wa macho wa mtu Mlevi.

Wakili Mwabukusi anajulikana huko anapoishi Mbeya kuwa ni mtu wa Kulewa Sana Pombe kalibna mtu wa Kukesha Bar. Hivyo nawaasa watanzania kumpuuza huyu Wakili Mlevi Msomi Mwabukusi, na tujikite katika Hoja.
Analewa na mama yako bladifaken
 
Mimi ni Rafiki ya mmoja wa Waandishi wa Habari walioalikwa kwenye press walioitisha kina Slaa na Wakili Madeleka katika kupinga uwekezaji wa kwenye Bandari ya Dar es salaam.

Rafiki yangu huyo ambaye Jina simtaji, ameniambia alipata wasaha wa kuongea na Wakili Msomi Mtanganyika Mwabukusi kabla na Baada ya Press hiyo na alikiri Kabisa Wakili Mwabukusi alikuwa akitoa Harufu ya Pombe. Hivyo ni dhahiri Wakili Mwabukusi alikuwa amekunywa pombe kabla ya press na hivyo naamini alikuwa haongei yeye Bali ni pombe.

Hata ukimuangalia katika Video utamuona kabisa Wakili Mwabukusi akiwa anaonekana yupo High yaani yupo Vyombo katika video Ile huku akiwa na uzubavu wa macho wa mtu Mlevi.

Wakili Mwabukusi anajulikana huko anapoishi Mbeya kuwa ni mtu wa Kulewa Sana Pombe kalibna mtu wa Kukesha Bar. Hivyo nawaasa watanzania kumpuuza huyu Wakili Mlevi Msomi Mwabukusi, na tujikite katika Hoja.
Ni kweli alilewa, lakini ataachaje kulewa wakati anaona kabisa raslimali za watanzania zinaporwa na viongozi wetu, kwa kutumia mgongo wa kampuni ya DP world? Kama ukilewa unakuwa na uwezo wa kuongea ukweli hivyo, ni vyema watanzania wote tuwe walevi, maana huo ni ulevi wenye faida.
 
Back
Top Bottom