Mwabukusi alienda kwenye Press na Kina Slaa akiwa Kalewa

Muulize huyo rafiki yako kala ngapi ili apindishe kalam., maana siku hiz wanafanya kazi ya kuandika ambayo hayakuzungumzwa.
 
Acha kusingizia pombe na ujinga wako!yaani kwanza hajalewa vizuri maana inampa material ya kiwango cha PHD!mwambukusi ongeza kinywaji nakuja kulipa!
 
Fanya juhudi kubwa sana kuliko "conquistadors", hamtaYeweza kuizima nuru.
Tatizo lako Uarabu umekukaa ...Ndio maa Ukiona kanzu unalegea...kama utakavyolegea Peponi wakati ukigida pombezinazotiririka kwenye mito ..huku mume wako akichakata Bikira 72 😂😂
 
Alileweshwa na Slaa. Cheza na Slaa?

Jamani kwani hatujuwi Slaa katokea kanisa lipi? Leo tunajifanya tumesahau mambo yao?
Yaelekea pombe unazijua ...na utakuwà umekamia sana hukompeppni ambako mmeahidiwa Mito ya Konyagi,Safari,Gongo,Wanzuki nk
 
Yaelekea pombe unazijua ...na utakuwà umekamia sana hukompeppni ambako mmeahidiwa Mito ya Konyagi,Safari,Gongo,Wanzuki nk
Upo forodhani unauliza baharini wapi? Uishi Tanzania hii milevi usiijuwe?

Unanchekesha!
 
We ni fala,
Tafuna idea na vitu anavyosema mwabukusi.
Nakwambia Ukanda wote ule pombe ni km uji tu.
Kuanzia kimpumu,kyindi na komoni nyingine sie tumetwanga tukiwa watoto tu.
Huyo alikua ananuka mdomo,sio pombe.
Huyo pumbavu mwenzio alienda kumuhoji au kusikia harufu ya pombe?
Fwata kilichokupeleka,mwabukusi si baba yako wala mama yako unampangia kitu cha kufanya mtu hakutegemei kwa lolote.

Nyie wajingawajinga sijui hata nani anawaambia kuna JF.
Ulitakiwa ukamuhoji sio kunusa pombe we nyau.
Anaweza kunywa masaa 24 as long atakaa anafanya mambo yake yanaenda.
 
Bora kuwa na mlevi mmoja mwenye akili kuliko wabunge wote wa ccm pamoja na spika wao wasio kunywa pombe.
 
Ulijua uku ni FACEBOOK? Ona unaukimbia uzi wako.
 
A
Acha utahira wako ! Nani kakudanganya kwamba kunywa pombe ni kubaya?!
Serikali imewapa TBL leseni ya kufanya kazi gani?!
Wewe wambie hao mabwana zako kuwa kaeni mjibu hoja za Msomi Boniface Mwabukusi, period!
 
Kwani ile sehemu ya ibada?
 
Analewa na mama yako bladifaken
 
Ni kweli alilewa, lakini ataachaje kulewa wakati anaona kabisa raslimali za watanzania zinaporwa na viongozi wetu, kwa kutumia mgongo wa kampuni ya DP world? Kama ukilewa unakuwa na uwezo wa kuongea ukweli hivyo, ni vyema watanzania wote tuwe walevi, maana huo ni ulevi wenye faida.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…