Mwabukusi asipotumia taaluma yake vyema, hekima na busara kuongoza TLS atavurunda zaidi ya ilivyokuwa kwa Tundu Lissu na Fatma Karume

Huu ujumbe wako waambie serikali..ndio mahali pake.
huu sio ujumbe gentleman,
ni ushauri wangu wa kitaalamu kwa boss mpya wa TLS na wote wenye nafasi au mamlaka kwenye idara, taasisi na mashirika mbalimbali nchini na duniani kwa ujumla πŸ’
 
mimi sijatathmini gentleman, ni metoa tu professional technical advice ili afanikiwe kirahisi na hatimae historia itamkumbuka πŸ’

tizama LISU na Fatma wanakumbukwa kwa kiburi tu 🀣
Hadi hapo alipo alishafanikiwa sabb yaliyokuwa yamepangwa aliyashinda..Fatma na Lissu hawakuwekewa zengwe alilopitia Mwabukusi..yeye.ni mshindi tayari
.
 
LISU na Fatma walirejesha kiburi TLS right?πŸ’
"Kiburi" ukiwa na maana gani?! Kuikosoa Serikali ni jambo la kawaida tu Serikali ya USA yenyewe huwa inakosolewa na inajirekebisha sembuse hii Banana Republic?!
 
"Kiburi" ukiwa na maana gani?! Kuikosoa Serikali ni jambo la kawaida tu Serikali ya USA yenyewe huwa inakosolewa na inajirekebisha sembuse hii Banana Republic?!
kwani hiyo heshima uloitaja hapo juu ilikua na maana gani gentleman πŸ’

hata hivyo,
ikiwa huelewi hiyo, si tufanye sasa iwe story for other day na tustiki kwenye hoja mahususi mezani?πŸ’
 
Chukua hiyo hekima na busara ukale nyumbani kwako..busara kwa wapumbavu..
 
Hadi hapo alipo alishafanikiwa sabb yaliyokuwa yamepangwa aliyashinda..Fatma na Lissu hawakuwekewa zengwe alilopitia Mwabukusi..yeye.ni mshindi tayari
.
amefanikiwa kuonyesha umma kwamba yeye ana kiburi na ni mjeuri zaid ya LISU na Fatma, right?

sijafanikiwa kumuona Lakini πŸ’
 
Chukua hiyo hekima na busara ukale nyumbani kwako..busara kwa wapumbavu..
si ndio ninayoitumia kwenye mjadala huu ndio maana sina papara wala mbamba,

nashangaa tu alibaki na makasiriko na mihemko ni wew tu sijui umekula nini asubuhi πŸ’
 
amefanikiwa kuonyesha umma kwamba yeye ana kiburi na ni mjeuri zaid ya LISU na Fatma, right?

sijafanikiwa kumuona Lakini πŸ’
Sawa kama hicho ndicho unachoona, so far kimempa trust na dignity mbele ya wengi Tanzania..
 
kwani hiyo heshima uloitaja hapo juu ilikua na maana gani gentleman πŸ’

hata hivyo,
ikiwa huelewi hiyo, si tufanye sasa iwe story for other day na tustiki kwenye hoja mahususi mezani?πŸ’
TLS ikitiwa mfukoni na Serikali Wananchi huwa wanaidharau haiwezekani Taasisi ya Wanataaluma wa Sheria ifanywe kama Jumuiya za CCM.

Sasa TLS imepata Kiongozi sahihi. COME ON MWABUKUSI!✊️✊️✊️
 
Sawa kama hicho ndicho unachoona, so far kimempa trust na dignity mbele ya wengi Tanzania..
mie sijamuona gentleman,
actually niko njiani nilikua nje ya nchi mara moja but nadhani that will be my first task kujua amefanya nini tangu ameapishwa πŸ’
 
TLS ikitiwa mfukoni na Serikali Wananchi huwa wanaidharau haiwezekani Taasisi ya Wanataaluma wa Sheria ifanywe kama Jumuiya za CCM.

Sasa TLS imepata Kiongozi sahihi. COME ON MWABUKUSI!✊️✊️✊️
LISU na Fatma walipewa sifa na kuvimbishwa vichwa zaidi ya unavyo mpandosha mori boss mpya wa TLS,

but ukweli ni kwamba akizingatia na kufuata ushauri wangu, arafanikiwa but akilewa sifa za kijinga ataingia kwenye record za hivyo sana kama ya lisu na Fatma pale TLS πŸ’
 
SEREKALI zinaongozwa na BINADAMU kama SISI, na huwa ZINAKOSEA kote Duniani na ZINAKOSOLEWA kote Duniani, lakini hapa Tanzania Ukikosoa unaambiwa Humpendi MAMA.

Mwabukusi anastahili pongezi!✊️
 
Huyu anakaa kwenye kiti miaka mitatu, mtasema yote safari hii.
 
Mwabukusi fanya kazi yako ya kutetea haki, na kuhakikisha haki inatendeka na hiyo kazi tunaamini unaoweza, pambana tuko pamoja na wewe, achana na hizi kelele za wanaojifanya wanabusara huku ndani wana roho za kikatili mno, na uuaji, watu wanatekwa wapo kimya, viongozi wa Chadema wamepigwa na polisi tukasikia wanalipongeza jeshi la polisi kwa kitendo hicho, hao hao leo ndo wanajifanya wanakupa ushauri sijui wa uongozi, wakat wao wanafurahia wenzao wakiwa kwenye shida wapuuuze
 
Mwambukusi tupo pamoja nawe endelea kulengesha usipindishe kitu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…