Mwabukusi asipotumia taaluma yake vyema, hekima na busara kuongoza TLS atavurunda zaidi ya ilivyokuwa kwa Tundu Lissu na Fatma Karume

SEREKALI zinaongozwa na BINADAMU kama SISI, na huwa ZINAKOSEA kote Duniani na ZINAKOSOLEWA kote Duniani, lakini hapa Tanzania Ukikosoa unaambiwa Humpendi MAMA.

Mwabukusi anastahili pongezi!✊️
haina uhusiano,
ni muhimu kuzingatia taaluma yako, hekima na busara kumfanikisha malengo na mipango mahususi ya taasisi yako πŸ’

kiburi na jeuri kavitumie kupambana vibaka huko mitaani πŸ’
 
Cccm ndiyo chanzo cha wengi kukosa HAKI ZAO ...SHWAIIIIIINI
 
Wajinga watabweka tu. Jinga la kwanza hili hapa limeanza kubwabwaja. Wewe una taaluma Gani zaidi ya taaluma ya ujinga.
 
Cccm ndiyo chanzo cha wengi kukosa HAKI ZAO ...SHWAIIIIIINI
hapa hakuna mambo ya CCM gentleman,

huu ni ushauri wangu wa jumla kwa TLS na wote wenye nafasi kwenye idara mamlaka na taasisi mbalimbali kwamba watumie ujuzi wao wa kitaaluma kwa hekima na busara katika kufanikisha malengo na matarajio ya taasisi wanazoziongozaπŸ’
 
Wajinga watabweka tu. Jinga la kwanza hili hapa limeanza kubwabwaja. Wewe una taaluma Gani zaidi ya taaluma ya ujinga.
muerevu unababaika tena kwa mihemko ghadhabu hali ya kua huna hoja, mawazo mapya wala fikra mbadala?🀣

umejaa makasiriko tu na ati ni muerevu?🀣
 
Kwa hivyo tukufundishe kujua jana sio leo..?
mimi sifundishi,
Kazi yangu kubwa kibobevu ni kusema ukweli, kushauri na kuonyesha njia ya mafanikio kwa anaependa kufanikiwa....

ukishupaza shingo na kuamua kukumbatia kiburi na jeuri ukaacha kutumia maarifa yako ya kitaalamu kwa hekima na busara kufanikiwa hiyo ni juu yako pia πŸ’
 
Mpo busy na Mwabukusi badala ya kudili na Mwanasheria wa Serikali kuhusu Nchi wanavyooingiza kwenye madeni yanayolipwa kila siku hao TLS wanatuingiza hasara gani?
akina nani hao wako bize na boss mpya wa TLS?

au ukiniona mie online ni kama vile unaiona nchi nzima right?🀣
 
Kuna huyu na yule choice wanateseka sana wakiona upinzani umeshika nafasi

Kula kibao cha acha waisome namba eeπŸŽΆπŸ˜‚
waupinzani wamewahi kushika nafasi wap gentleman, acha upotoshaji bas...

kwahivyo mwabukusi ni mpinzani? wa chama gani kwan 🀣
 
Ccm bwana haya.......Teteeeni ugali wenu lakini hapa umeandika Hoja Dhaifu. Hakuna pointi.
na hujaandika hoja ya nguvu gentleman, na hiyo si ni sawa na useless tu πŸ’

ukisema hoja hii ni dhaifu ni vema ukatoa hoja yenye nguvu na mashiko..

sasa unakuja kumbwelambwela na kumanga manga hapa ukiwa umefikia ukomo wa kufikiria kwako,

huna wazo jipya wala huna fikra mbadala eti hoja dhaifu, hiyo ni nonsense gentleman πŸ’
 
Kubwa la machawa wote katika ubora wako. Wewe ni wa kupuuzwa tu kama wapuuzi wenzako.
utanipuuzaje kwa mfano hali ya kua ukweli unakuvuruga na kufurukuta moyo mwako ?πŸ’

relax bana utazoea tu gentleman kua mvumilivu, mstahimilivu na mwenye subra πŸ’
 
boss mpya wa TLS can do nothing asipo kua na hekima na busara ya kufanya kazi na serikali Sikivu ya CCM chini ya kiongozi madhubuti sana comrade Dr Samia Suluhu Hassan...

otherwise atakwama mbaya sana zaid ya wenye kiburi na jeuri waliomtangulia πŸ’
 
Eti bunge wameliteka ni mapambio yao tu yanasikika mtaani nako machawa lukuki mapambio tu vyama vingine vya kitaaluma vimetiwa mfukoni tumeona TLS nayo chupu chupu kutukiwa mfukoni kama hapo awali hawataki kuambiwa hii hapana mmekosea hawajazoea banga hizo walizoea kina Hosea na Sungusia harakati za kumuweka Nkuba zikagonga mwamba
 
Kama can do nothing si mumuache afanye kazi yake, mbona meanza kupiga kelele na kujifanya watoa ushauri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…