Mwabukusi asipotumia taaluma yake vyema, hekima na busara kuongoza TLS atavurunda zaidi ya ilivyokuwa kwa Tundu Lissu na Fatma Karume

Mwabukusi asipotumia taaluma yake vyema, hekima na busara kuongoza TLS atavurunda zaidi ya ilivyokuwa kwa Tundu Lissu na Fatma Karume

Kwani si anatakiwa kufanya kazi Kwa mujibu wa Sheria inavyosema? Mnataka awe anaitikia chama Cha siasa kinasemaje? Msianze kupiga ramli chonganishi mtu hajamaliza hata mwezi !
 
Kama can do nothing si mumuache afanye kazi yake, mbona meanza kupiga kelele na kujifanya watoa ushauri
anaehangaika nae ni nyinyi wa kumvimbisha kichwa ili apotee maboya na ashindwe kabisaa kutekeleza majukumu yake kama ambavyo ilikua kwa watangulizi wake hususani niliowataja hapo juu,

hata hivyo mtu makini na mwanadiplomasia mbobevu kama mimi siwezi kusita hata kidogo kutia neno la busara kama njia ya kutia moyo na kuongeza ufanisi wa kazi na majukumu ya muhusika....

itakua ni dhambi nikikaa kimya gentleman, na nitaulizwa siku ya mwisho, na mimi sitaki hiyo dhambi ndrogo zangoni 🐒
 
Yaani kusema watu wanapotea potea hovyo na kutaka kuwaburuza kina Awazi na mwenzake kwa pilato ndiyo Kuvurunda bwaa sheikh.
 
Sifahamu kama kuna mtu anakumbuka au kufahamu kilifanyika wakati wa uongozi TLS chini ya Lissu na huyu mwanamama mwingine Fatma Karume, zaidi ya malumbano, mipasho na mambambano dhidi ya Serikali zilizokuako wakati huo, ambapo matokeo yake sasa, hapakuwezekana kufanyika chochote TLS kwa maslahi na manufaa mapana ya waTanzania.

Na kwahivyo basi,
Ni muhimu sana kwa Rais wa TLS wa sasa kutumia taaluma yake kuiongoza TLS, na kwa hekima na busara, kwa niaba ya waTanzania kutumia njia muafaka za kisheria kuwatetea waTanzania na kufikia hitimisho lenye manufaa kwa ustawi bora wa haki, uhuru na usawa miongoni mwa waTanzania.

Hakuna haja ya kutumia kiburi, majivuno, jeuri, huruma au hisia kwenye mambo muhimu tena ya kisheria kwenye vyombo vya kutolea haki, huko ni kufanya mzaha na harakati binafsi za siasa kwenye haki za wananchi.

Na kwa kufanya hivyo wengi watakosa haki zao za msingi na TLS inaweza kua sababu ya waTanzania wengi kupoteza haki zao, jambo ambalo ni aibu na fedheha kubwa sana kwa jumuiya na familia muhimu sana nzima ya wanasheria Tanzania.🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Sema tu kwa urahisi utaeleweka kuwa anatakiwa awe kondoo kwa serekali. Hebu tuambie walipokuwa makondoo wa serekali ni haki gani hao wananchi walipata?
 
Kwani si anatakiwa kufanya kazi Kwa mujibu wa Sheria inavyosema? Mnataka awe anaitikia chama Cha siasa kinasemaje? Msianze kupiga ramli chonganishi mtu hajamaliza hata mwezi !
ndicho nilichoshauri atumie ujuzi wake wa kitaaluma katika sheria kutafsiri sheria, na kwa hekima na busara kushirikiana na mamlaka za uma na zisizo za uma katika kulinda na kutetea haki za wanastahili 🐒

kinyume na hapo pamoja,
akileta ujuaji wa vyama kama huo unaojaribu kuleta kwenye hoja yako, akiunganisha na kiburi na jeuri atakwama tu vizuri bila mbambamba youote 🐒
 
Sifahamu kama kuna mtu anakumbuka au kufahamu kilifanyika wakati wa uongozi TLS chini ya Lissu na huyu mwanamama mwingine Fatma Karume, zaidi ya malumbano, mipasho na mambambano dhidi ya Serikali zilizokuako wakati huo, ambapo matokeo yake sasa, hapakuwezekana kufanyika chochote TLS kwa maslahi na manufaa mapana ya waTanzania.

Na kwahivyo basi,
Ni muhimu sana kwa Rais wa TLS wa sasa kutumia taaluma yake kuiongoza TLS, na kwa hekima na busara, kwa niaba ya waTanzania kutumia njia muafaka za kisheria kuwatetea waTanzania na kufikia hitimisho lenye manufaa kwa ustawi bora wa haki, uhuru na usawa miongoni mwa waTanzania.

Hakuna haja ya kutumia kiburi, majivuno, jeuri, huruma au hisia kwenye mambo muhimu tena ya kisheria kwenye vyombo vya kutolea haki, huko ni kufanya mzaha na harakati binafsi za siasa kwenye haki za wananchi.

Na kwa kufanya hivyo wengi watakosa haki zao za msingi na TLS inaweza kua sababu ya waTanzania wengi kupoteza haki zao, jambo ambalo ni aibu na fedheha kubwa sana kwa jumuiya na familia muhimu sana nzima ya wanasheria Tanzania.[emoji205]

Mungu Ibariki Tanzania
[emoji7][emoji7][emoji7]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Sema tu kwa urahisi utaeleweka kuwa anatakiwa awe kondoo kwa serekali. Hebu tuambie walipokuwa makondoo wa serekali ni haki gani hao wananchi walipata?
hiyo ungeuliza wale mabosi wa TLS wa zamani, ile ujuaji, jeuri na kiburi ilisaidia nani?🐒
 
ndicho nilichoshauri atumie ujuzi wake wa kitaaluma katika sheria kutafsiri sheria, na kwa hekima na busara kushirikiana na mamlaka za uma na zisizo za uma katika kulinda na kutetea haki za wanastahili 🐒

kinyume na hapo pamoja,
akileta ujuaji wa vyama kama huo unaojaribu kuleta kwenye hoja yako, akiunganisha na kiburi na jeuri atakwama tu vizuri bila mbambamba youote 🐒
Bila shaka hata yeye ana washauri pia, au kwasababu ya sekeseke la bandari ndiyo maana unahofia ? Aliomchagua Kwa wingi wanamwamini
 
Sifahamu kama kuna mtu anakumbuka au kufahamu kilifanyika wakati wa uongozi TLS chini ya Lissu na huyu mwanamama mwingine Fatma Karume, zaidi ya malumbano, mipasho na mambambano dhidi ya Serikali zilizokuako wakati huo, ambapo matokeo yake sasa, hapakuwezekana kufanyika chochote TLS kwa maslahi na manufaa mapana ya waTanzania.

Na kwahivyo basi,
Ni muhimu sana kwa Rais wa TLS wa sasa kutumia taaluma yake kuiongoza TLS, na kwa hekima na busara, kwa niaba ya waTanzania kutumia njia muafaka za kisheria kuwatetea waTanzania na kufikia hitimisho lenye manufaa kwa ustawi bora wa haki, uhuru na usawa miongoni mwa waTanzania.

Hakuna haja ya kutumia kiburi, majivuno, jeuri, huruma au hisia kwenye mambo muhimu tena ya kisheria kwenye vyombo vya kutolea haki, huko ni kufanya mzaha na harakati binafsi za siasa kwenye haki za wananchi.

Na kwa kufanya hivyo wengi watakosa haki zao za msingi na TLS inaweza kua sababu ya waTanzania wengi kupoteza haki zao, jambo ambalo ni aibu na fedheha kubwa sana kwa jumuiya na familia muhimu sana nzima ya wanasheria Tanzania.🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Tatizo Lenu Ndugu Zetu Wa Kijani Mmekuwa Too Comfortable Kiasi Kwamba Hata Mtu Anapotaka Kukukosoa Unataka Awakosoe Kwa Kuwabembeleza, Hell No. Mtaambiwa Ukweli By Any Means Possible Hii Nchi Ni Ya Wananchi Wenyewe Sio Mali Ya Watu Wa Lumumba
 
Mkuu Tlaatlaah Mh. Tundu Lissu aliifanyia TLS jambo kubwa has kwa Mawakili vijana kwa kuwaondolea mzigo wa malipo kwao.

Raisi wa TLS anatakiwa kujua kuwa namba moja ni wanachama wa TLS ambao ni Mawakili, kisha sasa ndio TLS iendelee kushughulika na majukumu waliyopewa na sheria.

Ila kwa maono ya mtendaji mmoja haitaweza kufanyashughuli zake ipasavyo.

Kinachofanyika sasa ni kuaminisha na kulazimisha shughuli namba moja.ya TLS kuwa ni masuala yanayoendelea kwenye jamii, hili ni kosa kubwa kwa uongozi huu.

Mimi kama mwanachama hai wa TLS siwezi kuunga mkono jambo hili tupo tuliosema wazi mapema na wapo wanaofahamu hili na kuamua kukaa kimya mambo yadode waanze kuchekana.

Kuna matamko ya sasa ukiyasoma unaona tone yake kabisa kuwa huyu ni Mwambukusi sasa hii ni shida, haitachukua muda kugundua mambo hayapaswi kwenda hivi yanavyotaka kupelekwa.

Uongozi wa sasa unatakiwa ukubali kuwa ni kweli umma ni muhimu lakini wanachama wa TLS ni muhimu zaidi kwao.
 
Bila shaka hata yeye ana washauri pia, au kwasababu ya sekeseke la bandari ndiyo maana unahofia ? Aliomchagua Kwa wingi wanamwamini
mimi kama mbobevu ni wajibu wangu kutoa ushauri mujarabu tena hadhara tofauti na hao washauri wake wa kificho gentleman 🐒

hofu ni hulka ambayo kila binadamu anayo, kuna wanaume wanaogopa hadi panya sembuse uongozi gentleman 🐒
 
Sifahamu kama kuna mtu anakumbuka au kufahamu kilifanyika wakati wa uongozi TLS chini ya Lissu na huyu mwanamama mwingine Fatma Karume, zaidi ya malumbano, mipasho na mambambano dhidi ya Serikali zilizokuako wakati huo, ambapo matokeo yake sasa, hapakuwezekana kufanyika chochote TLS kwa maslahi na manufaa mapana ya waTanzania.

Na kwahivyo basi,
Ni muhimu sana kwa Rais wa TLS wa sasa kutumia taaluma yake kuiongoza TLS, na kwa hekima na busara, kwa niaba ya waTanzania kutumia njia muafaka za kisheria kuwatetea waTanzania na kufikia hitimisho lenye manufaa kwa ustawi bora wa haki, uhuru na usawa miongoni mwa waTanzania.

Hakuna haja ya kutumia kiburi, majivuno, jeuri, huruma au hisia kwenye mambo muhimu tena ya kisheria kwenye vyombo vya kutolea haki, huko ni kufanya mzaha na harakati binafsi za siasa kwenye haki za wananchi.

Na kwa kufanya hivyo wengi watakosa haki zao za msingi na TLS inaweza kua sababu ya waTanzania wengi kupoteza haki zao, jambo ambalo ni aibu na fedheha kubwa sana kwa jumuiya na familia muhimu sana nzima ya wanasheria Tanzania.🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Bado hujasema chawa mwandamizi🤣
 
miaka mi3?😳

nchi hii inaendeshwa kwa misingi ya sheria na katiba, kiburi, jeuri na majivuno vinatumika wap, tena kwa watu wabobevu hususan katika sheria?🐒

nadhan hakuna sababu hata moja kuiga kiburi, ujuaji mwingi, kutumia hisia na huruma kuongoza vyombo mbalimbali vya umma kwa maslahi mapana ya wananchi wote 🐒
Kiburi unacho wewe mpumbavu ambaye unaona watanzania wote wendawazimu
 
mimi kama mbobevu ni wajibu wangu kutoa ushauri mujarabu tena hadhara tofauti na hao washauri wake wa kificho gentleman 🐒

hofu ni hulka ambayo kila binadamu anayo, kuna wanaume wanaogopa hadi panya sembuse uongozi gentleman 🐒
We mbobevu au mlamba mataco ya mbogamboga party
 
sifahamu msimamo wa TLS kwenye maeneo hayo,
ushauri wangu ni katika kumfanya ajizuie na namna au style anayotumia kutaka kufikia muafaka wa mambo kadiri anavyoamini wakati huo akiwa anafanya siasa....

hata hivyo,
hivi kulikua na mtu mjeuri na mjuaji kama Lisu au Fatma Karume humu nchini, tena kwenye awamu ya5?

kuna mtu leo hii anaweza kuja kusema kwama lisu au fatma walifanya hili au lile wakati wa oungozi wao? Y

You know why?
kiburi na jeuri zao za kisiasa huko nje wakaingia nazo uongozini, plus ulevi wa sifa za kijinga kama unazojaribu kumpampu muungwa,

ikiwa hata tumia hekima na busara mathalani akakuskiza,atakwama mchana kweupe, na muda wake utafika atakwenda nyumbani na hata tamani tena hata kukiskia tu TLS 🐒
Mwabukusi ni carbon copy ya viongozi wapenda haki waliopita. Nyie wapenda dhuluma lazma mineno iwatoke sana tu
 
Back
Top Bottom