Valencia_UPV
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 6,974
- 8,750
Mwanaharakati na Rais wa TLS Boniface Mwabukusi anatajwa kuwepo kwenye timu ya Wanasheria kwenye kesi itakayofunguliwa London dhidi ya Kampuni ya Tigo.
Soma Pia:
Soma Pia:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yupo vizuri, hawawezi chagua papai.Kiingereza chake kina Hali gani?
Vumbi litatimka huko London. Tumuombee asafiri salamaYupo vizuri, hawawezi chagua papai.
HahahaMwanaharakati na Rais wa TLS Boniface Mwabukusi anatajwa kuwepo kwenye timu ya Wanasheria kwenye kesi itakayofunguliwa London dhidi ya Kampuni ya Tigo.
Najaribu kufikiria mpaka nacheka.Vumbi litatimka huko London. Tumuombee asafiri salama
Nani ametetesa hizi tetesi?Mwanaharakati na Rais wa TLS Boniface Mwabukusi anatajwa kuwepo kwenye timu ya Wanasheria kwenye kesi itakayofunguliwa London dhidi ya Kampuni ya Tigo.
Tetesi ni habari yoyote hata wewe unaweza kubuni.ya kwako ukaita tetesiNani ametetesa hizi tetesi?
Wakishiinda jamhuri na huyu bibi safari kuna siku watazuia ndege huko, wazungu hawana uswahili kama sisi...Vumbi litatimka huko London. Tumuombee asafiri salama
Shida nini! Yeye ni wakili kama mawakili wengine na uwemo wake hautahusisha kwa vyovyote vile chama chao, sasa shida iko wapi!Mwanaharakati na Rais wa TLS Boniface Mwabukusi anatajwa kuwepo kwenye timu ya Wanasheria kwenye kesi itakayofunguliwa London dhidi ya Kampuni ya Tigo.
Soma Pia:
Sidhani kama anajua kingerezaMwanaharakati na Rais wa TLS Boniface Mwabukusi anatajwa kuwepo kwenye timu ya Wanasheria kwenye kesi itakayofunguliwa London dhidi ya Kampuni ya Tigo.
Soma Pia:
I'm sorrySidhani kama anajua kingereza
Unafikiri ULAYA mawakili ni dizaini ya MWABU. Watoto wanasoma sheria toka chekechea na wako VERBRIGHT. Kam tu maprof wenu wanaambuliaga patupu sembuse huyo MEMKWA wenu wa sheria?.Iwe iweje akiwepo itafaa sana, hajalishi kingreza wala nini la msingi yupo.
Kwani hajui?Kiingereza chake kina Hali gani?
Uwe mwanasheria Nguli Halafu usijue kiingereza huu utani wa makuli!Iwe iweje akiwepo itafaa sana, hajalishi kingreza wala nini la msingi yupo.