Tetesi: Mwabukusi kujumuishwa kwenye jopo la Wanasheria kesi kampuni ya Tigo Mahakamani London

Tetesi: Mwabukusi kujumuishwa kwenye jopo la Wanasheria kesi kampuni ya Tigo Mahakamani London

Mwanaharakati na Rais wa TLS Boniface Mwabukusi anatajwa kuwepo kwenye timu ya Wanasheria kwenye kesi itakayofunguliwa London dhidi ya Kampuni ya Tigo.

Soma Pia:
Extrovert Tundu has opted to pet a ghost death rather than survival relief.

1. He may win his case if he sues Tigo as an entity and its employees who acted in a manner that facilitated the infiltration of private data prior consent was obtained as the ethics prescribe.
2. He won't win the case if he sues individuals especially if linked to the executive/state power....period
 
Extrovert Tundu has opted to pet a ghost death rather than survival relief.

1. He may win his case if he sues Tigo as an entity and its employees who acted in a manner that facilitated the infiltration of private data prior consent was obtained as the ethics prescribe.
2. He won't win the case if he sues individuals especially if linked to the executive/state power....period
Tupe kwa kiswahili na sisi tuelewe.
 
Mwanaharakati na Rais wa TLS Boniface Mwabukusi anatajwa kuwepo kwenye timu ya Wanasheria kwenye kesi itakayofunguliwa London dhidi ya Kampuni ya Tigo.

Soma Pia:
Kuwa serious kwenye mambo serious. Mwabukusi huyu huyu?? Jamani huyu wa kuunga unga LLB ndiyo aingie Mahakama za London??

Kuwa President wa LLB siyo kipimo cha uwezo wa kujenga hoja kisheria. Huyu Mwabukusi yeye ni bingwa wa harakati.

Haya maeneo ya international laws yana mabingwa wake. Siyo type ya Mwabukusi
 
Wakufungua Tanzania kesi ya jinai itakuwa kama ya Wakili Peter Madeleka aliyofungua dhidi ya Mbunge wa Babati Pauline Gekul.

Ukifungua tu na DPP anakuwa mhusika upande wako. Then baada ya mention moja anakuja na "nolle prosecui"
Ndio Nini Nolle prosecui!
 
Unafikiri ULAYA mawakili ni dizaini ya MWABU. Watoto wanasoma sheria toka chekechea na wako VERBRIGHT. Kam tu maprof wenu wanaambuliaga patupu sembuse huyo MEMKWA wenu wa sheria?.
Wanasheria wa tz hushindwa kutokana na mikataba ya kiboya iliyokwisha sainiwa na watangulizi mfano mkataba wa Loliondo kati ya EMIRATES NA TZ ni siri kubwa kati ya waarabu na viongozi siku tukishtuka tutampeleka KABUDI ataishia kung'oa macho na kurudi patupu sio kwamba hana akili au hajui
 
Back
Top Bottom