milele amina
JF-Expert Member
- Aug 16, 2024
- 6,045
- 8,080
Mwanaharakati na Rais wa TLS Boniface Mwabukusi anatajwa kuwepo kwenye timu ya Wanasheria kwenye kesi itakayofunguliwa London dhidi ya Kampuni ya Tigo.
Soma Pia:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwanaharakati na Rais wa TLS Boniface Mwabukusi anatajwa kuwepo kwenye timu ya Wanasheria kwenye kesi itakayofunguliwa London dhidi ya Kampuni ya Tigo.
Soma Pia:
Yaani wenye akili timamu wamemchagua wewe CHIZI hutaki rudi jalalani ukale takataka zakoSidhani kama anajua kingereza
Kuna genge lipo radhi liishushe ndege atakayosafiri nayoMwanaharakati na Rais wa TLS Boniface Mwabukusi anatajwa kuwepo kwenye timu ya Wanasheria kwenye kesi itakayofunguliwa London dhidi ya Kampuni ya Tigo.
Soma Pia:
Kwa mabomu au uchawi?Kuna genge lipo radhi liishushe ndege atakayosafiri nayo
Huyo mlevi wa kimpumu toka Busokelo haendi popote.Mbeya to London
Tigo, SAKO KWA BAKO.Mwanaharakati na Rais wa TLS Boniface Mwabukusi anatajwa kuwepo kwenye timu ya Wanasheria kwenye kesi itakayofunguliwa London dhidi ya Kampuni ya Tigo.
Soma Pia:
Majaji wa bongo ni wateule wa CCM na Tigo walitii agizo la Bwana wao we unaona kutakua na case hapo...?Kesi kwanini inafunguliwa London?
Kwahiyo unataka mtu aseme lugha kama wenye nayo? Mbona hata wao wanatofautiana? Ili mradi aelewekeKiingereza chake kina hali gani? Hana the the the nyingi?
Hahaha,TLS ina wanachama wa aina gani mpaka wapitishe rais mwenye sifa hizi. Inafikirisha sana.Huyo mlevi wa kimpumu toka Busokelo haendi popote.
AfadhaliMwanaharakati na Rais wa TLS Boniface Mwabukusi anatajwa kuwepo kwenye timu ya Wanasheria kwenye kesi itakayofunguliwa London dhidi ya Kampuni ya Tigo.
Soma Pia:
Patatimka mahakamani huko LondoniAfadhali