Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Memkwa lakini aliwagaragaza maprof wenu kwenye kesi zakeUnafikiri ULAYA mawakili ni dizaini ya MWABU. Watoto wanasoma sheria toka chekechea na wako VERBRIGHT. Kam tu maprof wenu wanaambuliaga patupu sembuse huyo MEMKWA wenu wa sheria?.
Sheria ni tasninia muhimu sanaNA mvi hizi embu ngoja nirudi darasani nikasomee sheria hata hapo choo kikuu huria.. nahisi kama hii tasnia adhimu inanihitaji
Extrovert Tundu has opted to pet a ghost death rather than survival relief.Mwanaharakati na Rais wa TLS Boniface Mwabukusi anatajwa kuwepo kwenye timu ya Wanasheria kwenye kesi itakayofunguliwa London dhidi ya Kampuni ya Tigo.
Soma Pia:
Tupe kwa kiswahili na sisi tuelewe.Extrovert Tundu has opted to pet a ghost death rather than survival relief.
1. He may win his case if he sues Tigo as an entity and its employees who acted in a manner that facilitated the infiltration of private data prior consent was obtained as the ethics prescribe.
2. He won't win the case if he sues individuals especially if linked to the executive/state power....period
Hapo na mimi ndio nashindwa kuelewa🤔🤔🤔Kesi kwanini inafunguliwa London?
ukilinganisha na Ma ccm, he is the best!Kiingereza chake kina Hali gani?
Kuwa serious kwenye mambo serious. Mwabukusi huyu huyu?? Jamani huyu wa kuunga unga LLB ndiyo aingie Mahakama za London??Mwanaharakati na Rais wa TLS Boniface Mwabukusi anatajwa kuwepo kwenye timu ya Wanasheria kwenye kesi itakayofunguliwa London dhidi ya Kampuni ya Tigo.
Soma Pia:
Wakufungua Tanzania kesi ya jinai itakuwa kama ya Wakili Peter Madeleka aliyofungua dhidi ya Mbunge wa Babati Pauline Gekul.Kesi kwanini inafunguliwa London?
Sababu mahakama za bongo huwa zinafuata 'maelekezo'Kesi kwanini inafunguliwa London?
Kumbuka ni Open UniversityUwe mwanasheria Nguli Halafu usijue kiingereza huu utani wa makuli!
Kwa faida ya Dotto Magari et Al.?Tupe kwa kiswahili na sisi tuelewe.
😂 choo kikuuuNA mvi hizi embu ngoja nirudi darasani nikasomee sheria hata hapo choo kikuu huria.. nahisi kama hii tasnia adhimu inanihitaji
HahahKwa faida ya Dotto Magari et Al.?
Kwenu majaji wanipigiwa simu kutoka juu na kupewa maelekezo jinsi ya kuendesha kesi.Kesi kwanini inafunguliwa London?
Ndio Nini Nolle prosecui!Wakufungua Tanzania kesi ya jinai itakuwa kama ya Wakili Peter Madeleka aliyofungua dhidi ya Mbunge wa Babati Pauline Gekul.
Ukifungua tu na DPP anakuwa mhusika upande wako. Then baada ya mention moja anakuja na "nolle prosecui"
Nolle prosecui= Hati hii hutolewa na DPP akieleza kutokuwa na nia ya kuendelea na kesi na hivyo kuiomba mahakama kufuta mashtaka dhidi ya mtuhumiwaNdio Nini Nolle prosecui!
Wanasheria wa tz hushindwa kutokana na mikataba ya kiboya iliyokwisha sainiwa na watangulizi mfano mkataba wa Loliondo kati ya EMIRATES NA TZ ni siri kubwa kati ya waarabu na viongozi siku tukishtuka tutampeleka KABUDI ataishia kung'oa macho na kurudi patupu sio kwamba hana akili au hajuiUnafikiri ULAYA mawakili ni dizaini ya MWABU. Watoto wanasoma sheria toka chekechea na wako VERBRIGHT. Kam tu maprof wenu wanaambuliaga patupu sembuse huyo MEMKWA wenu wa sheria?.