CCM MKAMBARANI
JF-Expert Member
- Mar 15, 2017
- 2,031
- 1,514
Anaeoa shoga,nayeye ni shoga,hivyo najua huwa wanakupump ili upump,takataka wewe,ndio maana mnatetea ushoga kwenye chama chenu.endelea tu siku ukianza kujinyea bila breki utajuta.Na
nakwambia baba yako ni mke wangu. Imeisha hiyo! Nakublock baada ya dakika 10. lkn ujue hilo moyoni
Aisee MkuuMtikisiko huo kabambe umetokea kwenye Mkutano wa hadhara uliovurumishwa mjini humo
Ajenda kuu ya mikutano ya sasa ni kuwaamsha Wananchi kudai haki zao ikiwemo Katiba mpya na Tume Huru ya Uchaguzi kwa kushiriki Wiki ya Maandamano
View attachment 2961830
Huku wananchi wengine wakiendelea kusisitiziwa kwamba SHETANI hana na wala hajawahi kuwa na rafiki
Hali ilikuwa hivi
View attachment 2961832View attachment 2961833
Sugu keshaanza kuwekwa kando na Chadema. 2025 Chadema watamuweka Mwabukusi kama mgombea mbeya mjiniMasikini mwabukusi,amedanganywa na mwizi wa magari
Kabisa mkuu,Maana Mwabukusi anakubalika kuliko Mbowe.Sugu keshaanza kuwekwa kando na Chadema. 2025 Chadema watamuweka Mwabukusi kama mgombea mbeya mjini
Hiyo ndio ajenda ya wananchi, sio huo ujanja ujanja waoWamechelewa sasa hivi wangepigania unga na nyama vishuke bei!
Kwa mbali kuna fusoMtikisiko huo kabambe umetokea kwenye Mkutano wa hadhara uliovurumishwa mjini humo
Ajenda kuu ya mikutano ya sasa ni kuwaamsha Wananchi kudai haki zao ikiwemo Katiba mpya na Tume Huru ya Uchaguzi kwa kushiriki Wiki ya Maandamano
View attachment 2961830
Huku wananchi wengine wakiendelea kusisitiziwa kwamba SHETANI hana na wala hajawahi kuwa na rafiki
Hali ilikuwa hivi
View attachment 2961832View attachment 2961833
dah, hii sasa kali 🐒Mtikisiko huo kabambe umetokea kwenye Mkutano wa hadhara uliovurumishwa mjini humo
Ajenda kuu ya mikutano ya sasa ni kuwaamsha Wananchi kudai haki zao ikiwemo Katiba mpya na Tume Huru ya Uchaguzi kwa kushiriki Wiki ya Maandamano
View attachment 2961830
Huku wananchi wengine wakiendelea kusisitiziwa kwamba SHETANI hana na wala hajawahi kuwa na rafiki
Hali ilikuwa hivi
View attachment 2961832View attachment 2961833
Hivi mwabukusi ni chama gani mpaka Sasa?Mtikisiko huo kabambe umetokea kwenye Mkutano wa hadhara uliovurumishwa mjini humo
Ajenda kuu ya mikutano ya sasa ni kuwaamsha Wananchi kudai haki zao ikiwemo Katiba mpya na Tume Huru ya Uchaguzi kwa kushiriki Wiki ya Maandamano
View attachment 2961830
Huku wananchi wengine wakiendelea kusisitiziwa kwamba SHETANI hana na wala hajawahi kuwa na rafiki
Hali ilikuwa hivi
View attachment 2961832View attachment 2961833
Litakuwa linapakuwa Vitunguu sokoni , mkutano ulifanyika karibu na sokoKwa mbali kuna fuso
Sifahamu , alikuwa Chadema akahamia NCCR MAGEUZI , kwa sasa sijui kama kahamia kwingineHivi mwabukusi ni chama gani mpaka Sasa?
Aiseeh jamaa ana upepo wa kisiasa lakini naona kama hautumii vizuriSifahamu , alikuwa Chadema akahamia NCCR MAGEUZI , kwa sasa sijui kama kahamia kwingine
Alikuwa wakili wa Chadema Mbeya kabla ya kukengeukaAiseeh jamaa ana upepo wa kisiasa lakini naona kama hautumii vizuri