Mwabukusi na mfupa uliowalemea wengi

Mwabukusi na mfupa uliowalemea wengi

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Walisema waungwana "mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni."

Kama ilivyo kokote hatuwezi kulingana katika yote. Mpaji ni Mola. Aliyekupa wewe ndiye aliyeninyima mimi.

"Hali kadhalika, kukiri mapungufu si dalili ya unyonge."

Hii ni dibaji tu:



"Yaani mwanzo wa ngoma .."

Kwamba kama ni mvua, hapo ni manyunyu. Bado vuli, masika, hadi ile ya el nino kwa mujibu wa utabiri wa hali ya hewa.

Safari, uelekeo Tahrir ni ngumu na ndefu. Kwamba inaponukia, ni vizuri tukafahamiana vyema. Japo kwa kukanusha au kuthibitisha tu, propaganda uchwara kama hizi zinapojitokeza na bila ya kuchelewa:



"Tunajenga nyumba moja."

Aluta continua!
 
Walisema waungwana "mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni."

Kama ilivyo kokote hatuwezi kulingana katika yote. Mpaji ni Mola. Aliyekupa wewe ndiye aliyeninyima mimi.

"Hali kadhalika, kukiri mapungufu si dalili ya unyonge."

Hii ni dibaji tu:

View attachment 2776199

"Yaani mwanzo wa ngoma .."

Kwamba kama ni mvua, hapo ni manyunyu. Bado vuli, masika, hadi ile ya el nino kwa mujibu wa utabiri wa hali ya hewa.

Safari, uelekeo Tahrir ni ngumu na ndefu. Kwamba inaponukia, ni vizuri tukafahamiana vyema. Japo kwa kukanusha au kuthibitisha tu, propaganda uchwara kama hizi zinapojitokeza na bila ya kuchelewa:

View attachment 2776201

"Tunajenga nyumba moja."

Aluta continua!
Thinking yako ni kuwa anapaa! zaidi ....anashindana na nani na atampita nani? Tatizo lako ni kuwa shallow thinking takes you to a wrong judgement... why? atapita wapi na hana chama/platform firm ya kupigia kura yake? Samia, for that matter Mtungi, will never allow him to have a party of his own!

Ningelikuwa Mwabukusi ningelitafuta platform kama Chadema nikauza sera zangu for future upladder! The problem nikuwa anaanza kuwa rival wa chadema akimfuata Slaa ambaye mwenye akili anajua kuwa huyu kakosa Ubalozi hivyo ana "bifu" na Samia!
 
Walisema waungwana "mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni."

Kama ilivyo kokote hatuwezi kulingana katika yote. Mpaji ni Mola. Aliyekupa wewe ndiye aliyeninyima mimi.

"Hali kadhalika, kukiri mapungufu si dalili ya unyonge."

Hii ni dibaji tu:

View attachment 2776199

"Yaani mwanzo wa ngoma .."

Kwamba kama ni mvua, hapo ni manyunyu. Bado vuli, masika, hadi ile ya el nino kwa mujibu wa utabiri wa hali ya hewa.

Safari, uelekeo Tahrir ni ngumu na ndefu. Kwamba inaponukia, ni vizuri tukafahamiana vyema. Japo kwa kukanusha au kuthibitisha tu, propaganda uchwara kama hizi zinapojitokeza na bila ya kuchelewa:

View attachment 2776201

"Tunajenga nyumba moja."

Aluta continua!
agana na nyonga kabisa
 
Thinking yako ni kuwa anapaa! zaidi ....anashindana na nani na atampita nani? Tatizo lako ni kuwa shallow thinking takes you to a wrong judgement... why? atapita wapi na hana chama/platform firm ya kupigia kura yake? Samia for that matter mtungi, will never allow him to have a party of his own!

Ningelikuwa Mwabukusi ningelitafuta platform kama Chadema nikauza sera zangu for future upladder! The problem nikuwa anaanza kuwa rival wa chadema akimfuata Slaa ambaye mwenye akili anajua kuwa huyu kakosa Ubalozi hivyo ana "bifu" na Samia!
Mwenzako anashindana na Serikali kufuta mkataba mbovu wa Bandari na kupata Katiba.
Wewe umekwama kwenye uvyama na akili zako nyingi.
 
Thinking yako ni kuwa anapaa! zaidi ....anashindana na nani na atampita nani?

Sina hakika unayapata wapi haya uliyoyaandika. Kwamba ni illusions tu? Umeandika kwa kirefu, nitakujibu vivyo hivyo:

1. Hapana hiyo si thinking yangu. Ni jambo la kushangaza sana hata Ile kuwa na wazo tu. Kulikoni kunibashiria thinking zako ndugu?

"Sijui kwa nini mna makasiriko hivi?"

Kufanana kwa Wanaowanyanyapaa kina Mwabukusi na visa vya Yesu

Nini tofauti yenu na ya kisa cha kaka wa mwana mpotevu?

Tatizo lako ni kuwa shallow thinking takes you to a wrong judgement... why? atapita wapi na hana chama/platform firm ya kupigia kura yake?

2. Unajielekeza kusiko. Maneno ya hekima haya yanaweza kukuhusu sana ndugu:

F6kGqZLXMAATAgq.jpeg


Si busara hata kidogo kuwafikiria wengine namna ambayo kumbe yaweza kuwa inakuhusu wewe. Uswahilini wakisema nyani haoni k*ndule.

Samia for that matter mtungi, will never allow him to have a party of his own!

3. Kwani una maana hivi vyama vilivyopo kuna wenye hati miliki? Nani anataka kusajili vyama vingine? Kulikoni kujikita kwenye yasiyokuwapo?

Kama mkristo ninaweza kusali kwa Mzee wa upako, Rashid, kwa Mwamposa hadi TEC huko na nikapata upako vile vile.

"Hivi huwa hata mnasoma au hata kufuatilia au kujitahidi kuelewa lolote? Wekeni makasiriko pembeni ndugu, mtaweza kuona vizuri.

Agenda zake kasema ni hizi hapa;

1. Katiba mpya ni sasa.
2. Hakuna katiba mpya, hakuna uchaguzi.
3. Bandari haziko sokoni.

"Kwani wewe hutaki katiba mpya? Kwani wewe ni dalali wa DP world?"

Ningelikuwa Mwabukusi ningelitafuta platform kama Chadema nikauza sera zangu for future upladder! The problem nikuwa anaanza kuwa rival wa chadema akimfuata Slaa ambaye mwenye akili anajua kuwa huyu kakosa Ubalozi hivyo ana "bifu" na Samia!

4. Hili ni jambo jingine la kushangaza mno. Wewe si Mwabukusi. Unaweza vipi hata kufikiria kuwa yeye?

Ushauri wa bure kwako:

"Wewe si uutumie huo ushauri wako mzuri, Ili ukafanye vyema zaidi? Tukikuelewa utatuona tu wala hutatuita."

"Mwabukusi hajatuita bali tumemwona kwenye tunayosimama nayo tukamwelewa."

Zingatia uzi huu ni wa Machi 21, 2023:

Uchaguzi 2024/25 wa nini kama hakuna Katiba Mpya?

Kumbe basi, nani anamwunga mkono nani? Kumwunga mkono mtu ni haki ya mtu yeyote.

Tushindane kwa hoja. Hoja haipingwi jwa rungu

Wapi kawa rival na Chadema? Ushahidi uko wapi? Wengine sisi hatu advocate rivalry:

"Hatuna adui wa kudumu wala rafiki.'

Habari ndiyo hiyo.
 
Amini nawaambia hii nguvu itaongezeka. Muda ni mwalimu
Raia tuna kiu ya watu wakuongelea shida zetu na kupambana na CCM kuhusu mikataba mibovu.
Anguko la CHADEMA naliona live
 
Amini nawaambia hii nguvu itaongezeka. Muda ni mwalimu
Raia tuna kiu ya watu wakuongelea shida zetu na kupambana na CCM kuhusu mikataba mibovu.
Anguko la CHADEMA naliona live

Sauti ya Watanzania si chama cha siasa wala wenye nia ya kuwatoa wanavyama huko waliko.

Agenda ziko wazi:

1. Katiba mpya Sasa
2. Hakuna katiba mpya hakuna uchaguzi
3. Bandari haziko sokoni.

Tofauti ya hao au wengine na huyu ni approach tu. Mchele mmoja mapishi mengi.

Tunajenga nyumba moja.

Aluta continua.
 
Mkuu brazaj wakati mwingine unaposimama na jambo lako hauhitaji kujua wala kuomba ruhusa kwa yeyote ndani ya chama chako au nje.........nawafahamu sana ndugu zangu CDM watapinga ulichoandika lakini wewe songa mbele....
 
Thinking yako ni kuwa anapaa! zaidi ....anashindana na nani na atampita nani? Tatizo lako ni kuwa shallow thinking takes you to a wrong judgement... why? atapita wapi na hana chama/platform firm ya kupigia kura yake? Samia for that matter mtungi, will never allow him to have a party of his own!

Ningelikuwa Mwabukusi ningelitafuta platform kama Chadema nikauza sera zangu for future upladder! The problem nikuwa anaanza kuwa rival wa chadema akimfuata Slaa ambaye mwenye akili anajua kuwa huyu kakosa Ubalozi hivyo ana "bifu" na Samia!
The problem nikuwa anaanza kuwa rival wa chadema akimfuata Slaa ambaye mwenye akili anajua kuwa huyu kakosa Ubalozi hivyo ana "bifu" na Samia![emoji419][emoji375]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu brazaj wakati mwingine unaposimama na jambo lako hauhitaji kujua wala kuomba ruhusa kwa yeyote ndani ya chama chako au nje.........nawafahamu sana ndugu zangu CDM watapinga ulichoandika lakini wewe songa mbele....

Huo ndiyo ulio ukweli mchungu. Tunayo haki ya maoni. Na huo ndiyo uanaume wa shoka. Tofauti ya huo kuna jina lake hawalipendi kulisikia ....

Tuko pamoja Mkuu tukutane Tahrir mwisho wa matatizo:

Tunataka haki? Hatutaki tozo? Tukutane Tahrir
 
Thinking yako ni kuwa anapaa! zaidi ....anashindana na nani na atampita nani? Tatizo lako ni kuwa shallow thinking takes you to a wrong judgement... why? atapita wapi na hana chama/platform firm ya kupigia kura yake? Samia for that matter mtungi, will never allow him to have a party of his own!

Ningelikuwa Mwabukusi ningelitafuta platform kama Chadema nikauza sera zangu for future upladder! The problem nikuwa anaanza kuwa rival wa chadema akimfuata Slaa ambaye mwenye akili anajua kuwa huyu kakosa Ubalozi hivyo ana "bifu" na Samia!
Hapana hao manyangau ukishaawapatia ummarufu na kura zikaongezeeka wankudampo hapo chini na kujiona wanaweza bila ninyi
 
The problem nikuwa anaanza kuwa rival wa chadema akimfuata Slaa ambaye mwenye akili anajua kuwa huyu kakosa Ubalozi hivyo ana "bifu" na Samia![emoji419][emoji375]

Sent using Jamii Forums mobile app

Rivalry mnaiona wapi wenzetu? Mbona hata Kwa tochi tumeisaka haipo?

"Hoja haipingwi kwa rungu."

Tukereke na nini hicho: "to the extent of throwing the baby out with the bath water."

Hizi siyo hekaya za vilingeni kwa wachawi.

Lugha hizi ndizo rasmi ambazo CCM wanazielewa.

Tunataka haki? Hatutaki tozo? Tukutane Tahrir

Tukutane Tahrir mwisho wa matatizo.
 
Back
Top Bottom