Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
Katiba ni shibe, malazi na furaha yako na familia yako fanya bidii acha uvivuHiyo nilishaagana nayo zamani tangia nilipoona CCM hatatupa katiba mpya Kwa amani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Katiba ni shibe, malazi na furaha yako na familia yako fanya bidii acha uvivuHiyo nilishaagana nayo zamani tangia nilipoona CCM hatatupa katiba mpya Kwa amani
Kwaiyo kupinga mkataba wa bandari ni kuwa na bifu na Samia? Na wala sio kutetea maslahi ya taifa?The problem nikuwa anaanza kuwa rival wa chadema akimfuata Slaa ambaye mwenye akili anajua kuwa huyu kakosa Ubalozi hivyo ana "bifu" na Samia![emoji419][emoji375]
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe umeelewa vyema.
Siasa haiko na formula hiyo.Thinking yako ni kuwa anapaa! zaidi ....anashindana na nani na atampita nani? Tatizo lako ni kuwa shallow thinking takes you to a wrong judgement... why? atapita wapi na hana chama/platform firm ya kupigia kura yake? Samia for that matter mtungi, will never allow him to have a party of his own!
Ningelikuwa Mwabukusi ningelitafuta platform kama Chadema nikauza sera zangu for future upladder! The problem nikuwa anaanza kuwa rival wa chadema akimfuata Slaa ambaye mwenye akili anajua kuwa huyu kakosa Ubalozi hivyo ana "bifu" na Samia!
haya Bwana, ngoja tuone kama ataivunja serikaliSiasa haiko na formula hiyo.
Mwabukusi is a real deal kwa sasa.
Siasa haiko na formula hiyo.
Mwabukusi is a real deal kwa sasa.
Umelewa pombe na nyama ya KitimotoThinking yako ni kuwa anapaa! zaidi ....anashindana na nani na atampita nani? Tatizo lako ni kuwa shallow thinking takes you to a wrong judgement... why? atapita wapi na hana chama/platform firm ya kupigia kura yake? Samia for that matter mtungi, will never allow him to have a party of his own!
Ningelikuwa Mwabukusi ningelitafuta platform kama Chadema nikauza sera zangu for future upladder! The problem nikuwa anaanza kuwa rival wa chadema akimfuata Slaa ambaye mwenye akili anajua kuwa huyu kakosa Ubalozi hivyo ana "bifu" na Samia!
haya Bwana, ngoja tuone kama ataivunja serikali
Sikushangai.Ubavu upo
Tunatoa sadaka kila siku
Huu ni mjadala huhitajiki kuchagiza hoja yako ni vikejeli vya kitoto.. Bishana kwa hoja achana na ujinga usio na tijaKwaiyo kupinga mkataba wa bandari ni kuwa na bifu na Samia? Na wala sio kutetea maslahi ya taifa?
Wafuasi wa MBOWE ni manyumbu
Umelewa pombe na nyama ya Kitimoto
Akunyimae kunde...Dp world tunajua wanao ubavu huo ila hatuna haja nazo
atafanya nini kwa ukaidi wa serikali wakifanya uchaguzi bila katib mpya wala tume huru? Na ninakwambia kwa Samia alivyo (dikiteita mkubwa kuwahi kutokea at least) hakuna katiba wala tume huru ya uchaguzi. Atafanya nini kama mwabukusi? au Slaa (mchumia tumbo la ubalozi, unadhani angelikuwa Sweden angelikuwa na Mwabukusi), au Mdude?2. Hakuna katiba mpya, hakuna uchaguzi.
Matusi si hoja! Matusi, Nimesema time and again kuwa matusi ya nini? kama huna hoja we pita tu.....Nikukutukana utafurahi? Basi hiyo pombe niko hapa na mama yako tunagida kwa kwenda mbele na furaha tele.....kama matusi ni mazuri. Jiepushe na matusi pleaseUmelewa pombe na nyama ya Kitimoto
Naanza kukuogopa sasa, kumbe uko hivi. kwaheri
Matusi si hoja! Matusi, Nimesema time and again kuwa matusi ya nini? kama huna hoja we pita tu.....Nikukutukana utafurahi? Basi hiyo pombe niko hapa na mama yako tunagida kwa kwenda mbele na furaha tele.....kama matusi ni mazuri. Jiepushe na matusi please
Vikejeli vya kitoto inawezekana mnavyo isipokuwa hamjui km mnavyo.Huu ni mjadala huhitajiki kuchagiza hoja yako ni vikejeli vya kitoto.. Bishana kwa hoja achana na ujinga usio na tija
Sent using Jamii Forums mobile app
Naanza kukuogopa sasa, kumbe uko hivi. kwaheri
Kama kweli Chadema wamelalamika kwa nyimbo zao kupigwa nadhani hawajui wafanyalo.Hivi CCM wakipiga nyimbo za Chadema kwenye mikutano yao,Chadema wangelalamika? Maana yake wanakuwa wanaitangaza Chadema badala ya CCM.Walisema waungwana "mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni."
Kama ilivyo kokote hatuwezi kulingana katika yote. Mpaji ni Mola. Aliyekupa wewe ndiye aliyeninyima mimi.
"Hali kadhalika, kukiri mapungufu si dalili ya unyonge."
Hii ni dibaji tu:
View attachment 2776199
"Yaani mwanzo wa ngoma .."
Kwamba kama ni mvua, hapo ni manyunyu. Bado vuli, masika, hadi ile ya el nino kwa mujibu wa utabiri wa hali ya hewa.
Safari, uelekeo Tahrir ni ngumu na ndefu. Kwamba inaponukia, ni vizuri tukafahamiana vyema. Japo kwa kukanusha au kuthibitisha tu, propaganda uchwara kama hizi zinapojitokeza na bila ya kuchelewa:
View attachment 2776201
"Tunajenga nyumba moja."
Aluta continua!