Mwabukusi: Tundu Lissu amebeba na kusimamia maono, wengine wamebeba chama chao, tuende na chama au maono?

Mwabukusi: Tundu Lissu amebeba na kusimamia maono, wengine wamebeba chama chao, tuende na chama au maono?

The Watchman

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
896
Reaction score
1,427
TL Kabeba Maono na Anasimami na kulinda Maono.Wengine wamebeba chama chao na kusimamia na kulinda chama .Twende na Chama au Maono.

Tundu Antipas Mugwai ni mtu mwenye misimamo thabiti na mwenye akili bora ya kuwa sehemu ya harakati yoyote ya upinzani yenye uaminifu. Ni mtu wa kuaminika, anayestahili kupewa imani, na mwenye uadilifu wa hali ya juu.

Si tu kwamba wananchi wanamuhitaji kwa hamu, lakini pia utofauti na uwajibikaji katika harakati za upinzani vinadai hivyo.

Ninaweza kumuweka madarakani kwa kujiamini. Yeye ni zawadi ambayo Watanganyika wanastahili kupewa.
Kupiga Kura kwa Maslahi ya Mageuzi ni kumpigia Kura ya Ndiyo Tundu Antipas Mugway Lisu kwa nafasi ya Mwenyekiti wa CHADEMA TAIFA
Screenshot_20241222-095254.png
 
TL Kabeba Maono na Anasimami na kulinda Maono.Wengine wamebeba chama chao na kusimamia na kulinda chama .Twende na Chama au Maono.

Tundu Antipas Mugwai ni mtu mwenye misimamo thabiti na mwenye akili bora ya kuwa sehemu ya harakati yoyote ya upinzani yenye uaminifu. Ni mtu wa kuaminika, anayestahili kupewa imani, na mwenye uadilifu wa hali ya juu.

Si tu kwamba wananchi wanamuhitaji kwa hamu, lakini pia utofauti na uwajibikaji katika harakati za upinzani vinadai hivyo.

Ninaweza kumuweka madarakani kwa kujiamini. Yeye ni zawadi ambayo Watanganyika wanastahili kupewa.
Kupiga Kura kwa Maslahi ya Mageuzi ni kumpigia Kura ya Ndiyo Tundu Antipas Mugway Lisu kwa nafasi ya Mwenyekiti wa CHADEMA TAIFA
View attachment 3182291
Unataka uenyekiti kwa kumshambulia Mwenyekiti aliepo hadharani,ulisha ona wapi hii?😄😀
 
Hata shetani, ukisoma kwenye Biblia, alikuwa na maono.

Katika maandiko, kuna mifano kadhaa ambapo shetani anajitokeza na kutoa maono au kujaribu watu kwa njia mbalimbali.

Kwa mfano, katika Injili ya Mathayo, shetani anajaribu Yesu kwa kumwonyesha falme zote za dunia na kumwambia kwamba atamtoa mamlaka juu yao.

Maono haya yanaweza kuashiria jinsi shetani anavyoweza kujitokeza kama mshawishi au kujaribu kuongoza watu mbali na imani yao.

Kwa hivyo, ni muhimu kuelewa kwamba maono ya shetani yanapotajwa katika Biblia, yanaweza kuwa na maana ya kujaribu au kupotosha, badala ya kuwa na lengo la mema.
 
TL Kabeba Maono na Anasimami na kulinda Maono.Wengine wamebeba chama chao na kusimamia na kulinda chama .Twende na Chama au Maono.

Tundu Antipas Mugwai ni mtu mwenye misimamo thabiti na mwenye akili bora ya kuwa sehemu ya harakati yoyote ya upinzani yenye uaminifu. Ni mtu wa kuaminika, anayestahili kupewa imani, na mwenye uadilifu wa hali ya juu.

Si tu kwamba wananchi wanamuhitaji kwa hamu, lakini pia utofauti na uwajibikaji katika harakati za upinzani vinadai hivyo.

Ninaweza kumuweka madarakani kwa kujiamini. Yeye ni zawadi ambayo Watanganyika wanastahili kupewa.
Kupiga Kura kwa Maslahi ya Mageuzi ni kumpigia Kura ya Ndiyo Tundu Antipas Mugway Lisu kwa nafasi ya Mwenyekiti wa CHADEMA TAIFA
View attachment 3182291
Safi..
✍️✍️✍️
 
Back
Top Bottom