Tunajadili Ngorongoro sasa Vatican inaingiaje hapa?NDIYO MTULIE SASA,MMEPIGA KELELE WEEEE,MARA BANDARI IMEUZWAA BANDARI IMEUZWA,IMEUZWA WAPI BANDARI??
NA MKAENDA HADI KUSHITAKI VATICAN ETI NCHI INAUZWA KWA WAARABU,SASA HAT MKISEMA VATICAN ITASIAIDIA NINI,VATICAN WANA HELA??HELA ZENYEWE WANATEGEMEA HADI WAUZE MISALBA,SASA ALIEKUAMBIA MISALABA NI DEAL NANI??
ACHENI CHOKO CHOKO MLETEWE MAENDELEO,NA MKILETA FUJO MNAKULA VIBAO VYA USO TUH.
Ili tuache hoja ya msingi tuanze kujadili dini za mashariki ya kati.Tunajadili Ngorongoro sasa Vatican inaingiaje hapa?
MIMI TOKA LINI NIKAJIPENDEKEZA KWA WAARABU DR MATOLA (PhD)??kwanza Matola huna adabu kabisa,we PhD umeitolea wapi na ili hali bado hujahama hapo nyumbani??Ukijadili kila kitu kwa mrengo wa kidini unakuwa mpumba na juha kabisa.
Samia ni kweli ana wajomba zake kama ilivyo kwa Wazanzibar wengi walivyo na mafungamano na Oman.
Labda kama hujui Zanzibar ilikuwa ni sehemu ya Oman na makazi ya Sultan kama unavyoona Comoro ya Mayotte ni wilaya ya Ufaransa.
Wewe hata ujipendekeze vipi kwa Waarabu wewe siyo Mwarabu ni Mmakonde tu.
This is Legal Bar.Baraza la Uongozi la TLS limeona jambo hili la Ngorongoro na maeneo mengine linahitaji ufuatiliaji wa kina zaidi na kwa sababu hiyo, Baraza limeamua kuunda kamati maalum itakayofuatilia jambo hili kwa ukaribu ikiwa ni pamoja na kuwasiliana na Idara, Wizara na vyombo vyote vinavohusika na suala la Ngorongoro ili kujua ukweli zaidi na kuhakikisha misingi ya sheria za nchi yetu inafuatwa.
Kamati iliyoundwa inajumuisha wajumbe wafuatao:
*Dr. Rugemeleza Nshala
*Tike Mwambipile
*Bumi Mwaisaka
*Laetitia Petro Ntagazwa na
*Paul Kisabo.
TrueHongera Raid wa Tanganyika!
malyafaleRais wa Tanganyika Law Society (TLS) Boniface Mwabukusi, amesema Waziri hana Mamlaka ya Kufuta Vijiji vya Ngorongoro
Ameyasema hayo leo 20/08/2024 Mkoani Dar Es Salaam alipokuwa anaongea na Waandishi wa habari. Amesema kama TLS wanaaangalia cha kufanya. "Wale wananchi wa Ngorongoro hawapaswi kupuuzwa, Warudishiwe huduma Muhimu pia Warudishiwe vituo cha kupigia Kura. Ni lazima tujue chanzo cha Tatizo Ngorongoro ni nini?". Amesema Mwabukusi
Mwabukusi amelipongeza Jeshi la Polisi kwa kuwakamta wabakaji na kuwafikisha Mahakamani. Amesema kuwafikisha mahaksmani ni hatua ya kwanza, ametaka Polisi imfikishe Mahakamani aliyewatuma pia. Pia amewata Polisi kumuachia na kumuweka wazi mwanamke alipata madhira ili haki yake ipatikane ikiwrmo kupewa msaada wa kisheria..
Stsy tuned
=====
20 Agosti, 2024
TAARIFA KWA UMMA
KUHUSU WITO WA WANANCHI WA NGORONGORO NA MAENEO MENGINE KUTAKA KUHESHIMIWA KWA HAKI ZAO
Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) kimepata taarifa kupitia mitandao ya kijamii kwa njia ya video iliyosambaa kwenye mitandao hiyo ikionyesha maandamano yaliyofanywa mnamo tarehe 18 mwezi Agosti, 2024 na mamia ya Wananchi wa Ngorongoro wakidai kuheshimiwa kwa haki zao. Katika maandamano yao miongoni mwa mambo mengine, Wananchi hao wamesikika wakilalamikia kuondolewa kwenye maeneo yao kinyume na utaratibu bila wao kuridhia pamoja na kuondolewa kwa huduma zote za kijamii kama vile shule, huduma za afya pamoja na maji. Kutokuwepo kwa huduma hizi muhimu kumepelekea Wananchi hao kuendelea kuishi katika mazingira magumu.
Tamko la Umoja wa Mataifa Juu ya Haki za Watu wa Asili la Mwaka 2007 limeeleza wazi katika ibara ya 10 kwamba watu wa asili hawataondolewa kwa nguvu kutoka kwenye ardhi au maeneo yao, uhamisho wowote wa watu wa asili hauwezi kufanyika bila idhini yao huru
Kwa mujibu wa ibara ya 24 (1) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya Mwaka 1977, kila mtu anayo haki ya kumiliki mali na haki ya hifadhi ya mali yake aliyonayo. Haki ya kumiliki mali ni moja ya haki ya msingi ya binadamu. Ibara 24 (2) imeeleza wazi kwamba mtu yoyote hatonyang’anywa mali yake isipokuwa kwa kuzingatia taratibu za kisheria ikiwepo ulipwaji wa fidia stahiki.
TLS inatoa rai kwa Serikali kuonyesha nia yake ya dhati kwa kurudisha huduma zote za kijamii kwa Wanachi wa Ngorongoro kwa kuwa ni haki yao. Pia, vituo vya kujiandikisha kwa ajili ya kupigia kura ambavyo Wanachi wa Ngorongoro wanalalamika kwamba havipo katika maeneo yao virudishwe ili wapate kuitumia haki yao ya kikatiba ya kujiandikisha na kuboresha taarifa zao kwa ajili ya uchaguzi wa Serikali za mitaa uliopangwa kufanyika mwezi Novemba mwaka 2024 pamoja na Uchaguzi mkuu utakaofanyika mwaka 2025.
Baraza la Uongozi la TLS limeona jambo hili la Ngorongoro na maeneo mengine linahitaji ufuatiliaji wa kina zaidi na kwa sababu hiyo, Baraza limeamua kuunda kamati maalum itakayofuatilia jambo hili kwa ukaribu ikiwa ni pamoja na kuwasiliana na Idara, Wizara na vyombo vyote vinavohusika na suala la Ngorongoro ili kujua ukweli zaidi na kuhakikisha misingi ya sheria za nchi yetu inafuatwa.
Kamati iliyoundwa inajumuisha wajumbe wafuatao:
*Dr. Rugemeleza Nshala
*Tike Mwambipile
*Bumi Mwaisaka
*Laetitia Petro Ntagazwa na
*Paul Kisabo.
Miongoni mwa mambo mengine kamati itafanya mambo yafuatayo:
*Kufanya mashauriano na taasisi mbalimbali pamoja na kutembelea baadhi ya maeneo yenye migogoro ili kujua uhalisia wa migogoro husika.
*Kufanya Mapitio ya Sera ,Sheria na Mazoea pamoja na kuzichambua kuhusiana na umiliki wa Ardhi kwa Wazawa pamoja na shughuli za uwekezaji na Uhifadhi na kubaini uzingativu wa Haki za Msingi za Raia katika maeneo husika kwa kuzingatia Katiba, Sera na Sheria za Nchi.
*Kuandaa kongamano (Symposium) la Kitaifa kuhusiana na namna bora ya kufanya maendeleo kwa kuzingatia na kulinda haki za Wazawa katika Ardhi zao za Asili pamoja na haki zao za Kijamii, Kiuchumi na Kiutamaduni katika maeneo yanayofikiwa na shughuli za uwekezaji.
*Kubaini mashauri au hatua zote ambazo zimechukuliwa na walalamikaji pamoja na walalamikiwa kisheria na kiutaratibu katika kuhakikisha uzingativu wa sheria na kubaini majina ya watu ambao kweli wameridhia kuondoka kwa hiyari kwenye maeneo yao na ambao hawakuridhia kuondoka kwa hiyari kwa sababu ya wao kuamua kubaki katika eneo lao la asili Ngorongoro.
*Kubaini na kulishauri Baraza la Uongozi la Chama Cha Mawakili wa Tanganyika juu ya hatua zakuchua ili kupata ufumbuzi wa kudumu kuhusu swala la migogoro ya Ardhi inayosababishwa na mipango ya uwekezaji au uhifadhi.
Kamati inatarajiwa kumaliza kazi tajwa ndani ya muda wa kipindi cha siku 30.
.TLS inawaomba Wanachama, Wananchi pamoja na wadau mbalimbali wa Sheria kutoa ushirikiano kwa Kamati maalum iliyoundwa ili TLS kwa mamlaka iliyopewa chini ya kifungu cha 4 cha Sheria iliyounda TLS (Tanganyika Law Society Act Cap. 307) iweze kutimiza wajibu wake wa kuishauri Serikali na Kulinda haki za Wananchi kwa lengo la kupata suluhisho la kudumu.
Imetolewa na Baraza la Uongozi la Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS)
Boniface A.K Mwabukusi
Rais
Uongozi wote wa awamu ya 6 akiwemo Alhaj Bashe walienda Vatican kubusu Pete ya Papa Francisco anayeketi kitini pake Mtume Petro 😂😂😂MBONA MAGUFULI ALIIKABIDHI VATICAN KWA BABU ZENU NA SISI HATUKUSEMA KITU??
Unaandika vitu usivyo na ufahamu navyo, unajuwa ni nani aliyepiga marufuku biashara ya utumwa?MIMI TOKA LINI NIKAJIPENDEKEZA KWA WAARABU DR MATOLA (PhD)??kwanza Matola huna adabu kabisa,we PhD umeitolea wapi na ili hali bado hujahama hapo nyumbani??
Bila shaka mimi ni Mmakonde,na siwezi kujipendekeza kwa mwarabu,tunamuuliza huyo mwehu nani kamuongopea kuwa SAMIA KAUZA BANDARI KWA MWARABU??
Zanzibar haikukaliwa na waarabu pekee,hata wazungu walitawala zanzibar na kuifanya kama sehemu yao ya kupokelea na kusafirishia watumwa,ushahidi upo hadi leo lipo kanisa ambalo watumwa walikuwa wanaombewa na kubarikiwa hapo kabla ya kusafrishwa kwenda kwenye mashamba ya Miwa America,Mauritius na kadhalika...
Tafuteni hii hukumu hapa halafu mukaikatie rufaa. Waziri hajakurupuka:Rais wa Tanganyika Law Society (TLS) Boniface Mwabukusi, amesema Waziri hana Mamlaka ya Kufuta Vijiji vya Ngorongoro
Ameyasema hayo leo 20/08/2024 Mkoani Dar Es Salaam alipokuwa anaongea na Waandishi wa habari. Amesema kama TLS wanaaangalia cha kufanya. "Wale wananchi wa Ngorongoro hawapaswi kupuuzwa, Warudishiwe huduma Muhimu pia Warudishiwe vituo cha kupigia Kura. Ni lazima tujue chanzo cha Tatizo Ngorongoro ni nini?". Amesema Mwabukusi
Mwabukusi amelipongeza Jeshi la Polisi kwa kuwakamta wabakaji na kuwafikisha Mahakamani. Amesema kuwafikisha mahaksmani ni hatua ya kwanza, ametaka Polisi imfikishe Mahakamani aliyewatuma pia. Pia amewata Polisi kumuachia na kumuweka wazi mwanamke alipata madhira ili haki yake ipatikane ikiwrmo kupewa msaada wa kisheria..
Stsy tuned
=====
20 Agosti, 2024
TAARIFA KWA UMMA
KUHUSU WITO WA WANANCHI WA NGORONGORO NA MAENEO MENGINE KUTAKA KUHESHIMIWA KWA HAKI ZAO
Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) kimepata taarifa kupitia mitandao ya kijamii kwa njia ya video iliyosambaa kwenye mitandao hiyo ikionyesha maandamano yaliyofanywa mnamo tarehe 18 mwezi Agosti, 2024 na mamia ya Wananchi wa Ngorongoro wakidai kuheshimiwa kwa haki zao. Katika maandamano yao miongoni mwa mambo mengine, Wananchi hao wamesikika wakilalamikia kuondolewa kwenye maeneo yao kinyume na utaratibu bila wao kuridhia pamoja na kuondolewa kwa huduma zote za kijamii kama vile shule, huduma za afya pamoja na maji. Kutokuwepo kwa huduma hizi muhimu kumepelekea Wananchi hao kuendelea kuishi katika mazingira magumu.
Tamko la Umoja wa Mataifa Juu ya Haki za Watu wa Asili la Mwaka 2007 limeeleza wazi katika ibara ya 10 kwamba watu wa asili hawataondolewa kwa nguvu kutoka kwenye ardhi au maeneo yao, uhamisho wowote wa watu wa asili hauwezi kufanyika bila idhini yao huru
Kwa mujibu wa ibara ya 24 (1) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya Mwaka 1977, kila mtu anayo haki ya kumiliki mali na haki ya hifadhi ya mali yake aliyonayo. Haki ya kumiliki mali ni moja ya haki ya msingi ya binadamu. Ibara 24 (2) imeeleza wazi kwamba mtu yoyote hatonyang’anywa mali yake isipokuwa kwa kuzingatia taratibu za kisheria ikiwepo ulipwaji wa fidia stahiki.
TLS inatoa rai kwa Serikali kuonyesha nia yake ya dhati kwa kurudisha huduma zote za kijamii kwa Wanachi wa Ngorongoro kwa kuwa ni haki yao. Pia, vituo vya kujiandikisha kwa ajili ya kupigia kura ambavyo Wanachi wa Ngorongoro wanalalamika kwamba havipo katika maeneo yao virudishwe ili wapate kuitumia haki yao ya kikatiba ya kujiandikisha na kuboresha taarifa zao kwa ajili ya uchaguzi wa Serikali za mitaa uliopangwa kufanyika mwezi Novemba mwaka 2024 pamoja na Uchaguzi mkuu utakaofanyika mwaka 2025.
Baraza la Uongozi la TLS limeona jambo hili la Ngorongoro na maeneo mengine linahitaji ufuatiliaji wa kina zaidi na kwa sababu hiyo, Baraza limeamua kuunda kamati maalum itakayofuatilia jambo hili kwa ukaribu ikiwa ni pamoja na kuwasiliana na Idara, Wizara na vyombo vyote vinavohusika na suala la Ngorongoro ili kujua ukweli zaidi na kuhakikisha misingi ya sheria za nchi yetu inafuatwa.
Kamati iliyoundwa inajumuisha wajumbe wafuatao:
*Dr. Rugemeleza Nshala
*Tike Mwambipile
*Bumi Mwaisaka
*Laetitia Petro Ntagazwa na
*Paul Kisabo.
Miongoni mwa mambo mengine kamati itafanya mambo yafuatayo:
*Kufanya mashauriano na taasisi mbalimbali pamoja na kutembelea baadhi ya maeneo yenye migogoro ili kujua uhalisia wa migogoro husika.
*Kufanya Mapitio ya Sera ,Sheria na Mazoea pamoja na kuzichambua kuhusiana na umiliki wa Ardhi kwa Wazawa pamoja na shughuli za uwekezaji na Uhifadhi na kubaini uzingativu wa Haki za Msingi za Raia katika maeneo husika kwa kuzingatia Katiba, Sera na Sheria za Nchi.
*Kuandaa kongamano (Symposium) la Kitaifa kuhusiana na namna bora ya kufanya maendeleo kwa kuzingatia na kulinda haki za Wazawa katika Ardhi zao za Asili pamoja na haki zao za Kijamii, Kiuchumi na Kiutamaduni katika maeneo yanayofikiwa na shughuli za uwekezaji.
*Kubaini mashauri au hatua zote ambazo zimechukuliwa na walalamikaji pamoja na walalamikiwa kisheria na kiutaratibu katika kuhakikisha uzingativu wa sheria na kubaini majina ya watu ambao kweli wameridhia kuondoka kwa hiyari kwenye maeneo yao na ambao hawakuridhia kuondoka kwa hiyari kwa sababu ya wao kuamua kubaki katika eneo lao la asili Ngorongoro.
*Kubaini na kulishauri Baraza la Uongozi la Chama Cha Mawakili wa Tanganyika juu ya hatua zakuchua ili kupata ufumbuzi wa kudumu kuhusu swala la migogoro ya Ardhi inayosababishwa na mipango ya uwekezaji au uhifadhi.
Kamati inatarajiwa kumaliza kazi tajwa ndani ya muda wa kipindi cha siku 30.
TLS inawaomba Wanachama, Wananchi pamoja na wadau mbalimbali wa Sheria kutoa ushirikiano kwa Kamati maalum iliyoundwa ili TLS kwa mamlaka iliyopewa chini ya kifungu cha 4 cha Sheria iliyounda TLS (Tanganyika Law Society Act Cap. 307) iweze kutimiza wajibu wake wa kuishauri Serikali na Kulinda haki za Wananchi kwa lengo la kupata suluhisho la kudumu.
Imetolewa na Baraza la Uongozi la Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS)
Boniface A.K Mwabukusi
Rais
Endapo kama kweli Serikali Ina Nia njema katika kuwahamisha watu hao huko Ngorongoro, Je, kwa nini basi Serikali inatumia nguvu kubwa sana namna hiyo??Rais wa Tanganyika Law Society (TLS) Boniface Mwabukusi, amesema Waziri hana Mamlaka ya Kufuta Vijiji vya Ngorongoro
Ameyasema hayo leo 20/08/2024 Mkoani Dar Es Salaam alipokuwa anaongea na Waandishi wa habari. Amesema kama TLS wanaaangalia cha kufanya. "Wale wananchi wa Ngorongoro hawapaswi kupuuzwa, Warudishiwe huduma Muhimu pia Warudishiwe vituo cha kupigia Kura. Ni lazima tujue chanzo cha Tatizo Ngorongoro ni nini?". Amesema Mwabukusi
Mwabukusi amelipongeza Jeshi la Polisi kwa kuwakamta wabakaji na kuwafikisha Mahakamani. Amesema kuwafikisha mahaksmani ni hatua ya kwanza, ametaka Polisi imfikishe Mahakamani aliyewatuma pia. Pia amewata Polisi kumuachia na kumuweka wazi mwanamke alipata madhira ili haki yake ipatikane ikiwrmo kupewa msaada wa kisheria..
Stsy tuned
=====
20 Agosti, 2024
TAARIFA KWA UMMA
KUHUSU WITO WA WANANCHI WA NGORONGORO NA MAENEO MENGINE KUTAKA KUHESHIMIWA KWA HAKI ZAO
Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) kimepata taarifa kupitia mitandao ya kijamii kwa njia ya video iliyosambaa kwenye mitandao hiyo ikionyesha maandamano yaliyofanywa mnamo tarehe 18 mwezi Agosti, 2024 na mamia ya Wananchi wa Ngorongoro wakidai kuheshimiwa kwa haki zao. Katika maandamano yao miongoni mwa mambo mengine, Wananchi hao wamesikika wakilalamikia kuondolewa kwenye maeneo yao kinyume na utaratibu bila wao kuridhia pamoja na kuondolewa kwa huduma zote za kijamii kama vile shule, huduma za afya pamoja na maji. Kutokuwepo kwa huduma hizi muhimu kumepelekea Wananchi hao kuendelea kuishi katika mazingira magumu.
Tamko la Umoja wa Mataifa Juu ya Haki za Watu wa Asili la Mwaka 2007 limeeleza wazi katika ibara ya 10 kwamba watu wa asili hawataondolewa kwa nguvu kutoka kwenye ardhi au maeneo yao, uhamisho wowote wa watu wa asili hauwezi kufanyika bila idhini yao huru
Kwa mujibu wa ibara ya 24 (1) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya Mwaka 1977, kila mtu anayo haki ya kumiliki mali na haki ya hifadhi ya mali yake aliyonayo. Haki ya kumiliki mali ni moja ya haki ya msingi ya binadamu. Ibara 24 (2) imeeleza wazi kwamba mtu yoyote hatonyang’anywa mali yake isipokuwa kwa kuzingatia taratibu za kisheria ikiwepo ulipwaji wa fidia stahiki.
TLS inatoa rai kwa Serikali kuonyesha nia yake ya dhati kwa kurudisha huduma zote za kijamii kwa Wanachi wa Ngorongoro kwa kuwa ni haki yao. Pia, vituo vya kujiandikisha kwa ajili ya kupigia kura ambavyo Wanachi wa Ngorongoro wanalalamika kwamba havipo katika maeneo yao virudishwe ili wapate kuitumia haki yao ya kikatiba ya kujiandikisha na kuboresha taarifa zao kwa ajili ya uchaguzi wa Serikali za mitaa uliopangwa kufanyika mwezi Novemba mwaka 2024 pamoja na Uchaguzi mkuu utakaofanyika mwaka 2025.
Baraza la Uongozi la TLS limeona jambo hili la Ngorongoro na maeneo mengine linahitaji ufuatiliaji wa kina zaidi na kwa sababu hiyo, Baraza limeamua kuunda kamati maalum itakayofuatilia jambo hili kwa ukaribu ikiwa ni pamoja na kuwasiliana na Idara, Wizara na vyombo vyote vinavohusika na suala la Ngorongoro ili kujua ukweli zaidi na kuhakikisha misingi ya sheria za nchi yetu inafuatwa.
Kamati iliyoundwa inajumuisha wajumbe wafuatao:
*Dr. Rugemeleza Nshala
*Tike Mwambipile
*Bumi Mwaisaka
*Laetitia Petro Ntagazwa na
*Paul Kisabo.
Miongoni mwa mambo mengine kamati itafanya mambo yafuatayo:
*Kufanya mashauriano na taasisi mbalimbali pamoja na kutembelea baadhi ya maeneo yenye migogoro ili kujua uhalisia wa migogoro husika.
*Kufanya Mapitio ya Sera ,Sheria na Mazoea pamoja na kuzichambua kuhusiana na umiliki wa Ardhi kwa Wazawa pamoja na shughuli za uwekezaji na Uhifadhi na kubaini uzingativu wa Haki za Msingi za Raia katika maeneo husika kwa kuzingatia Katiba, Sera na Sheria za Nchi.
*Kuandaa kongamano (Symposium) la Kitaifa kuhusiana na namna bora ya kufanya maendeleo kwa kuzingatia na kulinda haki za Wazawa katika Ardhi zao za Asili pamoja na haki zao za Kijamii, Kiuchumi na Kiutamaduni katika maeneo yanayofikiwa na shughuli za uwekezaji.
*Kubaini mashauri au hatua zote ambazo zimechukuliwa na walalamikaji pamoja na walalamikiwa kisheria na kiutaratibu katika kuhakikisha uzingativu wa sheria na kubaini majina ya watu ambao kweli wameridhia kuondoka kwa hiyari kwenye maeneo yao na ambao hawakuridhia kuondoka kwa hiyari kwa sababu ya wao kuamua kubaki katika eneo lao la asili Ngorongoro.
*Kubaini na kulishauri Baraza la Uongozi la Chama Cha Mawakili wa Tanganyika juu ya hatua zakuchua ili kupata ufumbuzi wa kudumu kuhusu swala la migogoro ya Ardhi inayosababishwa na mipango ya uwekezaji au uhifadhi.
Kamati inatarajiwa kumaliza kazi tajwa ndani ya muda wa kipindi cha siku 30.
TLS inawaomba Wanachama, Wananchi pamoja na wadau mbalimbali wa Sheria kutoa ushirikiano kwa Kamati maalum iliyoundwa ili TLS kwa mamlaka iliyopewa chini ya kifungu cha 4 cha Sheria iliyounda TLS (Tanganyika Law Society Act Cap. 307) iweze kutimiza wajibu wake wa kuishauri Serikali na Kulinda haki za Wananchi kwa lengo la kupata suluhisho la kudumu.
Imetolewa na Baraza la Uongozi la Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS)
Boniface A.K Mwabukusi
Rais
Anajifanya kutetea hifadhi kumbe maslahi ya muarabu yameguswa. Sijui waarabu waliwafana nini hawa wenzetu maana huku ni zaidi ya kuwasujudu. Wako radhi waue watanzania wenzao kwa sababu ya muarabu.Ukijadili kila kitu kwa mrengo wa kidini unakuwa mpumba na juha kabisa.
Samia ni kweli ana wajomba zake kama ilivyo kwa Wazanzibar wengi walivyo na mafungamano na Oman.
Labda kama hujui Zanzibar ilikuwa ni sehemu ya Oman na makazi ya Sultan kama unavyoona Comoro ya Mayotte ni wilaya ya Ufaransa.
Wewe hata ujipendekeze vipi kwa Waarabu wewe siyo Mwarabu ni Mmakonde tu.
Siyo kweli unachosema. Serikali ya Uingereza kupitia Gavana wa Tanganyika mwaka 1951 waliwahamisha Wamasai kutoka Serengeti ili kutengeneza Serengeti National Park"ANCESTRAL LAND" bora hata Serikali ya Mkoloni haijawahi kufanya mambo kama haya.
Siyo kweli. Huli suala limeanza mwaka 2017. Soma hapaSamia amedhamiria kuikabidhi Tanganyika yote kwa wajomba zake waarabu
Chadema wametoka wapi hapo? Au kila aliye tofauti na wewe ni chadema?MAHOTELI YANAHARIBU VIPI MAZINGIRA??HAO WAFUGAJI WAMEKUWA WENGI NA MIFUGO YAO KILA SIKU INAZIDI KUKUA,MALISHO YA MIFUGO YAO NI HAPO HAPO MBUGANI,SHUGHULI ZAO ZA KIBINADAMU KAMA KUKATA KUNI,MITI NA KUCHOMA MOTO MISITU NI HAPO HAPO MBUGANI,SASA UNATAKA WAACHWE HAPO HADI LINI??NA SISI TUNATEGEMEA SERENGETI NA NGORO NGORO KUTUINGIZIA FEDHA ZA KIGENI KWA UTALII??
KWANINI LAKINI CHADEMA HAMTUMII AKILI MAFALA NYINYI??
Serengeti to Ngorongoro hapo ni kuwasogeza tu na fidia walilipwa.Siyo kweli unachosema. Serikali ya Uingereza kupitia Gavana wa Tanganyika mwaka 1951 waliwahamisha Wamasai kutoka Serengeti ili kutengeneza Serengeti National Park
View attachment 3074787
Na katiba lazima ibadirishwe mshenzi yeyote kutoka vile visiwa vya Seyyid Barghash asiwe Rais tena; wameonyesha sana udhaifu kuuza NCHI; Mwinyi sasa huyuMBONA MAGUFULI ALIIKABIDHI VATICAN KWA BABU ZENU NA SISI HATUKUSEMA KITU??