Mwabukusi: Waziri hana Mamlaka ya kufuta Kijiji na asili ya Watu wa Ngorongoro

Serikali inauwezo kubadili matumizi ya ardhi kwa namna inavyoona inafaa
EEeeeeenHeeeeee!

Sijui ni lini tutasikia serikali inawapokunya mapori watu wa 'Carbon Credit' kabla ya muda waliokubaliana (siri); kwa vile "ina uwezo kubadili matumizi ya ardhi" ya maeneo hayo?
Hawa wawekezaji wanao kuja hapa kutafuta madini tu, hata kabla madini hayajapatikana, wakipokonywa maeneo serikali inalizwa (Tanzania inalizwa)!

Haya yote hayawezi kutufundisha kitu sisi raia kwa uonevu tunao fanyiwa?
 
ufumbuzi wa kisheria na kikatiba kuhusu jambo hili, umehitimishhwa rasmi na tangazo la serikali, la kuifuta rasmi
halmashauiri, kata, vijiji na vitongoji vya eneo la hifadhi asili ya taifa ngorongoro...

bahati nzuri hakuna watu tena wanaoishi ndani ya hifadhi ya taifa ya ngorongoro,
wate walisha hamia msomera mkoani Tanga, kea hiyari yao na maisha yao ni mazuri mno huko....

hao wavamizi wanaokuja na magari ya watalii watakabiliana na ngivu ya dola. ni vizuri wakajitenga na kiburi na ukaidi wa kutii sheria bila shuruti kwa kurubuniwa kifikra na watu kama huyu kaidi mwenye kiburi wa TLS....

shughuli za kibinadamu haziruhusiwi tena eneo hilo, ili kuziua uharibifu wa mazingira nadni ya hifadhi hiyo muhimu kwa urithi wa vizazi vijavyo na maslahi mapana ya Taifa
 
Kwa kweli mtu/shetani wewe unasikitisha sana.
Hao walio andamana siyo watu?
Lakini ngoja nikae vizuri hapa, tuanze ligi!
 
Kwa kweli mtu/shetani wewe unasikitisha sana.
Hao walio andamana siyo watu?
Lakini ngoja nikae vizuri hapa, tuanze ligi!
unababaika huku kazi ya maendeleo inaendelea gentlemen?

ligi ya kiongozi na mwananchi ni kuchelewesha au kuzuia waTanzania wengine nao wasipate fursa ya conversations na engagements ya mambo ya msingi mbalimbali nchini
 
unababaika huku kazi ya maendeleo inaendelea gentlemen?

ligi ya kiongozi na mwananchi ni kuchelewesha au kuzuia waTanzania wengine nao wasipate fursa ya conversations na engagements ya mambo ya msingi mbalimbali nchini
Hakuna ninacho sikitikia hapa, kwa sababu hii ni hatua nzuri mliyo fanya kusaidia ukombozi wa nchi yetu. Shetani kwa njia zake naye mara nyingine husababisha matokeo mazuri hata kama lengo la mashetani ni kuangamiza binaadam.
 
Anajifanya kutetea hifadhi kumbe maslahi ya muarabu yameguswa. Sijui waarabu waliwafana nini hawa wenzetu maana huku ni zaidi ya kuwasujudu. Wako radhi waue watanzania wenzao kwa sababu ya muarabu.
Ni wajinga sana
 
Hakuna ninacho sikitikia hapa, kwa sababu hii ni hatua nzuri mliyo fanya kusaidia ukombozi wa nchi yetu. Shetani kwa njia zake naye mara nyingine husababisha matokeo mazuri hata kama lengo la mashetani ni kuangamiza binaadam.
hebu keti kando kidogo acha na wenzio wapate fursa kujadiliana na kiongozi wao gentlemen..
 
kuchelewesha au kuzuia waTanzania wengine nao wasipate fursa ya conversations na engagements ya mambo ya msingi mbalimbali nchini
Sijawahi kusikia hadithi wala habari yoyote ikielezea "shetani mvuta bangi", hadi nilipo kutana na wewe humu JF!
 
kua na heshima kidogo bas ndugu mwananchi na huna hoja
Heshima kwa shetani mvuta bangi? Naona hata uchizi unakuandama vilevile!
Hilo lisahau kabisa.

Ukitaka heshima, ni lazima uwaheshimu waTanzania kwanza. Na mweleze hivyo hivyo anaye kuleta hapa JF kuwalaghai na kuwadharau waTanzania.
 
Samia amedhamiria kuikabidhi Tanganyika yote kwa wajomba zake waarabu
Siyo kukabidhi kwa wajomba,hoja hapo ni ongezeko kubwa la Wamasai ktk hifadhi ya ngorongoro kitu ambacho kitasababisha hifadhi hiyo kutoweka.ukweli usemwe tuache siasa.mbona mnaongelea ngorongoro tu vipi kasulu,Kakonko,rombo,hai na kwingineko?you should be pragmatic avoid biasness.
 
Kwanza ukiona mpumbavu anaandika all Caps ni dalili za kupanic na mpumbavu kabisa.

Jibu maswali niliyokuuliza pimbi wa kimakonde wewe, kula panya kumekuondowa akili. Fanculo.
 
Kwanza ukiona mpumbavu anaandika all Caps ni dalili za kupanic na mpumbavu kabisa.

Jibu maswali niliyokuuliza pimbi wa kimakonde wewe, kula panya kumekuondowa akili. Fanculo.
Matola,fanya kwanza uhame hapo Kwa shemeji yako unapotunzwa ndipo uje USIMAME kuongea na wanaume Matola.

HUONI aibu kuishi mjini hapa Kwa kutegemea mgongo wa Dada?

Ondoka haraka ukaanze kujitegemea,huyo mume wa dada yako siku akikuchoka utafanyaje?
 
Matola,fanya kwanza uhame hapo Kwa shemeji yako unapotunzwa ndipo uje USIMAME kuongea na wanaume Matola.

HUONI aibu kuishi mjini hapa Kwa kutegemea mgongo wa Dada?

Ondoka haraka ukaanze kujitegemea,huyo mume wa dada yako siku akikuchoka utafanyaje?
Wenye akili tayari wameshapata majibu kwamba wewe ni porojo tu zimekujaa huna ulijuwalo.

Haya Mtwara gesi imetoka au haijatoka? Tangu utatuliwe marinda na wajeda akili zimekuruka.

Lete vyoko tena kwa wajeda wakuchane kabisa kijambio.
 
Yana muda basi?yaani hapo ni kelele TU halafu mkichunguza mnafanya nini?
 
Wenye akili tayari wameshapata majibu kwamba wewe ni porojo tu zimekujaa huna ulijuwalo.

Haya Mtwara gesi imetoka au haijatoka? Tangu utatuliwe marinda na wajeda akili zimekuruka.

Lete vyoko tena kwa wajeda wakuchane kabisa kijambio.
Kama umegoma kuhama Kwa shemeji yako anaemgonga dada yako basi JIANDAE na wewe kumsaidia majukumu ya ndoa dada yako.

Mtoto wa kiume kupenda vya Bure mwishowake ona Sasa unakuja kugeuka chakula,hakuna vya Bure town hapo, wewe hata hiyo miwani yako ununuliwe na shemeji kweli??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…