Mwadui FC Vs Simba SC

Mwadui FC Vs Simba SC

Simba hawawezi kushinda mpaka mamia ya watanzania wafe
 
Dk ya 81, mwadui wanaandika goli la Kwanza

Mwadui 1, simba 3
 
Baada ya maafande wa JKT Tanzania kutulindia nafasi yetu kwa mda mrefu.. Hatimae Mnyama karejea kwenye nafasi yake (1).. Mpaka sasa msimamo wa ligi.. Simba SC anaongoza ligi.

Haya sasa laki si pesa na dada yako Hajar ligi ikiisha mda huu.. Nani atakua bingwa?
Na kwann iishe saizi?
 
Simba 3 - Mwadui - 1 Simba Watapewa penaiti ambayo itawachanganya Mwadui
Mkuu wapatie sasa Ndala matokeo ya 30/09/2018.. Maana sisi Simba SC tunayo tayari.
 
Back
Top Bottom