Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha.....Bocco amefanya makusudi apewe red ili mechi ya Yanga watakapochezea kichapo, awe hayupoDah.. Naona nguvu ya muamala inafanya kazi hapa.. Bocco anakula umeme hapa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha.. Kumbe mnamuogopa?Hahaha.....Bocco amefanya makusudi apewe red ili mechi ya Yanga watakapochezea kichapo, awe hayupo
acha mambo ya kijinga bhana, usihusishe michezo na vifo vya watu.Simba hawawezi kushinda mpaka mamia ya watanzania wafe
Hilo garasa lililofukuzwa Azam kwa kiwango kibovu nani aliogope?
Aiseemwad 2
simba 0
Ft 2-0
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]Mwadui 1 Simba 1
mbona hukujitokeza mapema mkuu![emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]Simba 3 - Mwadui - 1 Simba Watapewa penaiti ambayo itawachanganya Mwadui
Na kwann iishe saizi?Baada ya maafande wa JKT Tanzania kutulindia nafasi yetu kwa mda mrefu.. Hatimae Mnyama karejea kwenye nafasi yake (1).. Mpaka sasa msimamo wa ligi.. Simba SC anaongoza ligi.
Haya sasa laki si pesa na dada yako Hajar ligi ikiisha mda huu.. Nani atakua bingwa?
Mm nipo bukheri mkuuWakuu mnaendeleaje na kazi za utabiri huko mlipo?
inaendelea vyema kabisaWakuu mnaendeleaje na kazi za utabiri huko mlipo?
Nilikuwa mbali na simu mkuu [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]mbona hukujitokeza mapema mkuu!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji196] [emoji196] [emoji196] [emoji196] [emoji196]Mikia kichapo tu,simba wa uturuki!!
[emoji196] [emoji23] [emoji23] [emoji12] [emoji12]Hao wa matopeni wapigwe tu, hakuna lugha nyingne ya kusema hapo!